Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hotuba za Uchaguzi na Ilani zinaandaliwa kwa umakini wa hali ya juu. Nimechungulia ya Chama kimoja - wameshindwa kukosoa asilimia 18 tu yaliyowekwa kwenye Ilani ya CCM inayomalizika yameshindwa...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio...
11 Reactions
94 Replies
6K Views
Hili jimbo kwa ujumla ni gumu kupata mwakilishi sahihi kwa upande wa Chama chetu Tawala. Ni jimbo liko mjini, lina wapiga kura wataalazi sababu ya literacy level iko juu, na linachangamoto nyingi...
4 Reactions
31 Replies
6K Views
Askofu Josephat Gwajima ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na leo amefika kwenye ofisi za chama hicho kupewa utaratibu. Kuhusu kuunga mkono UKAWA...
18 Reactions
282 Replies
36K Views
Jana Mwenyekiti wa ZEC amefutilia mbali majimbo 4 ya Unguja kutokana na kuingiliana Kwa kata Kati ya Jimbo moja na jingine Ikumbukwe mwaka 2015 yalitokea malalamiko mengi baada ya majimbo hayo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Simuoni mtu mwingine kati ya watia nia ya urais kutoka vyama vyote mwenye uwezo wa kutupa uongozi katika level ya uchumi wa kati zaidi ya Rais Magufuli. Nitazungumza na viongozi wa vyama vyote...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inasubiri tangazo kwenye gazeti la Serikali la kuvunjwa kwa Bunge ili iweze kuweka tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu. Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Wilson Mahera...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Wananchi wa kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoani Morogoro wamemuahidi Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Profesa Kabudi ni mzaliwa wa Kimamba na alisomea...
7 Reactions
129 Replies
18K Views
Kwanza kabisa sifikiri kama Tanzania kwa mwaka huu kwenye nafasi ya urais upinzani utashidwa. Pamoja na ukweli kwamba Magufuli kafanya zaidi ya Kikwete kwenye kipindi chake cha kwanza lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuelekeaa uchaguzi mkuu 2020, kama mtanzania wa leo, nimekuwa pia nikifuatilia harakati hizi na kwa nionavyo huu hapa ndiyo ulio ukweli mchungu: Pana watu wamejivika kuwa washauri wa upande wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huu ni mwaka wa uchaguzi na ningependa nishauri mambo machache kama mdau mkubwa wa siasa za Tanzania 1. Mtu yeyote ana haki ya kikatiba kuwania nafasi katika Jamhuri na sio kwamba nafasi hizo ni...
1 Reactions
2 Replies
782 Views
Niwasalimie watu wa Mungu mlioko humu na pia nitoe pongezi kwa serikali hii kwa kutufikisha kwenye uchumi wa kati hongera sana ingawa bado huku street tumepigika haswa. Hakuna halimashauri katika...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kumbukumbu zangu zinaanzia kwa Mh Kasyupa Alipipi , huyu alimshinda Mwakipesile , enzi za Chama Kimoja , nilihudhuria kampeni zilizofanyika Ipande , kijiji cha Bukinga , kwenye eneo la wazi...
9 Reactions
99 Replies
8K Views
TANZANIA VISIWANI(ZANZIBAR) Ninauona uchaguzi ukiwa mwepesi Sana kwa upande wa Maalim Seif, Haijarishi atapata mpinzani wa Aina gani kutoka Chama chochote tofauti na anachogombea. Pia kutangazwa...
1 Reactions
2 Replies
944 Views
Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
JPM ataingia na system mpya ya Wabunge wanaoendana na kasi yake mwaka huu wa 2020. Wale waliotoka na ile system ya awamu iliyopita wengi watatemwa mno. Vijana wengi sana wasio maarufu wataingia...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Dkt. Magufuli ambaye ndiye Rais wa Tanzania leo atarudisha fomu ya maombi ya kugombea urais kupitia CCM kwenye makao makuu ya chama jijini Dodoma. === Updates: Rais Magufuli anarudisha fomu ya...
5 Reactions
243 Replies
27K Views
Nianze kwa kusema nina mashaka na Uzi huu kuondolewa kwani kuna hisia kuwa kwa sasa Mhariri (mod) wa jukwaa la siasa JF anafanyia Nazi zake Lumumba. Hivyo chochote wasichokipenda wao hapo basi...
10 Reactions
32 Replies
4K Views
Kujiandikisha kupiga kura ni jambo moja na kupiga kura ni jambo la pili na siku ya kura ni wazi sio wote wanakuwa eneo waliojiandikisha au watakaokwenda kupiga kura. Naona kuna haja ya siku ya...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Ubungo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi. ====...
5 Reactions
68 Replies
9K Views
Back
Top Bottom