Uchaguzi 2020 Watu Makini wako Chimbo, kipyenga kikilia taharuki itawamaliza zaidi CCM ya sasa!

Tila-lila2

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
653
1,058
Hotuba za Uchaguzi na Ilani zinaandaliwa kwa umakini wa hali ya juu.

Nimechungulia ya Chama kimoja - wameshindwa kukosoa asilimia 18 tu yaliyowekwa kwenye Ilani ya CCM inayomalizika yameshindwa kutekelezwa. Kwa maana hiyo katika Sehemu ya Utangulizi wa Ilani ya Chama hicho imeeleza vema jinsi CCM ambavyo wametekeleza asimilia 18 tu ya Ilani yao ya 2015.

Asilimia 21 yametekelezwa mambo yaliyoibuliwa ghafla ghafla tu nje ya Ilani ya CCM ambayo yanaonekana ni ya Magu mwenyewe kwa utaratibu wake. Asilimia 61 ya mambo yaliyopo kwenye Ilani ya CCM ya Mwaka 2015 hayajatekelewa ilivyopangwa na mengine yametekelezwa kwa kiasi kidogo sana.

Ukitathmini kwa haraka haraka inaonesha Magu ana nguvu kuliko hata Chama chake manake mambo yaliyotekelezwa ambayo hayapo kwenye Ilani kwa uamuzi wake mwenyewe ni asilimia 21. Baadhi ya mambo yalitekelezwa nje ya Bajeti zilizopitishwa na Bunge. Wapinzani hawa wameeleza pia kuwa mara baada ya kuingia madarakani Magu alifuta Sherehe za Maadhimisho ya Uhuru na kupeleka fedha hizo kwenye mambo mengine. Baada ya kufanikisha hilo ndipo ikawa kawaida tu yeye kuamua mara zote kubadilisha mipango ya nchi iliyotokana na Ilani ya Chama chake kwa kuyatenda yaliyo kwa utashi wake. Hilo limemfanya aonekana kama Dikteta.

Nimechungulia Ilani na baadhi ya hotuba za wapinzania zimekaa vizuri kwa kweli. Zina mkakati wa ukosoaji. Kwa namna Serikali hii isivyopenda kukosolewa najua ukosoaji wa mwaka huu umekaa vizuri sana kiasi kwamba ukianza tu lazima CCM wapate Taharuki na wataharibu Kampeni zao na mwishowe watapigwa kiulaini sana sana!

Tena akitumika Membe kuyasema hayo itakuwa mbaya sana kwa CCM yetu.

Tusubiri kipyenga!
 
Kwani kuna vipenga vingapi. Au kuna cha magu cha bashiru nacha polepole. Maana ukiangalia mbona siku nyingi dirisha lishafunguliwa hadi na vumbi inajaa ndani
 
Umeeleza vzr sana, lkn la Benard Membe sikuungi mkono mkuu...kwa upande wetu Chadema wagombea wenye sifa za urais wapo na wana sifa nzr tu zaidi ya huyo Membe..aisee yale ya 2015 hatutaki yajirudie tena na tena...labda vyama vingine lkn kwa CDM hapana
Tehe tehe hofu tu hiyo!
 
Hotuba za Uchaguzi na Ilani zinaandaliwa kwa umakini wa hali ya juu.

Nimechungulia ya Chama kimoja - wameshindwa kukosoa asilimia 18 tu yaliyowekwa kwenye Ilani ya CCM inayomalizika yameshindwa kutekelezwa. Kwa maana hiyo katika Sehemu ya Utangulizi wa Ilani ya Chama hicho imeeleza vema jinsi CCM ambavyo wametekeleza asimilia 18 tu ya Ilani yao ya 2015.

Asilimia 21 yametekelezwa mambo yaliyoibuliwa ghafla ghafla tu nje ya Ilani ya CCM ambayo yanaonekana ni ya Magu mwenyewe kwa utaratibu wake. Asilimia 61 ya mambo yaliyopo kwenye Ilani ya CCM ya Mwaka 2015 hayajatekelewa ilivyopangwa na mengine yametekelezwa kwa kiasi kidogo sana.

Ukitathmini kwa haraka haraka inaonesha Magu ana nguvu kuliko hata Chama chake manake mambo yaliyotekelezwa ambayo hayapo kwenye Ilani kwa uamuzi wake mwenyewe ni asilimia 21. Baadhi ya mambo yalitekelezwa nje ya Bajeti zilizopitishwa na Bunge. Wapinzani hawa wameeleza pia kuwa mara baada ya kuingia madarakani Magu alifuta Sherehe za Maadhimisho ya Uhuru na kupeleka fedha hizo kwenye mambo mengine. Baada ya kufanikisha hilo ndipo ikawa kawaida tu yeye kuamua mara zote kubadilisha mipango ya nchi iliyotokana na Ilani ya Chama chake kwa kuyatenda yaliyo kwa utashi wake. Hilo limemfanya aonekana kama Dikteta.

Nimechungulia Ilani na baadhi ya hotuba za wapinzania zimekaa vizuri kwa kweli. Zina mkakati wa ukosoaji. Kwa namna Serikali hii isivyopenda kukosolewa najua ukosoaji wa mwaka huu umekaa vizuri sana kiasi kwamba ukianza tu lazima CCM wapate Taharuki na wataharibu Kampeni zao na mwishowe watapigwa kiulaini sana sana!

Tena akitumika Membe kuyasema hayo itakuwa mbaya sana kwa CCM yetu.

Tusubiri kipyenga!

Mkuu tunakusihi kama umekula hela ya Membe, bora irudishe. Kilichotokea kwa Lowassa kimetutosha. Vinginevyo chukua hizo ilani mzipeleke TADEA, kisha Membe akagombee kupitia huko.
 
Mkuu tunakusihi kama umekula hela ya Membe, bora irudishe. Kilichotokea kwa Lowassa kimetutosha. Vinginevyo chukua hizo ilani mzipeleke TADEA, kisha Membe akagombee kupitia huko.
Mkuu sijala fedha za Membe wala kiumbe yeyote. Mie nimesema ninachokiona na nina haki ya kukisema hicho. Mambo ya kusingiziana kuwa nimehongwa ninakuomba ukome kabisa Mkuu.
 
Hotuba za Uchaguzi na Ilani zinaandaliwa kwa umakini wa hali ya juu.

Nimechungulia ya Chama kimoja - wameshindwa kukosoa asilimia 18 tu yaliyowekwa kwenye Ilani ya CCM inayomalizika yameshindwa kutekelezwa. Kwa maana hiyo katika Sehemu ya Utangulizi wa Ilani ya Chama hicho imeeleza vema jinsi CCM ambavyo wametekeleza asimilia 18 tu ya Ilani yao ya 2015.

Asilimia 21 yametekelezwa mambo yaliyoibuliwa ghafla ghafla tu nje ya Ilani ya CCM ambayo yanaonekana ni ya Magu mwenyewe kwa utaratibu wake. Asilimia 61 ya mambo yaliyopo kwenye Ilani ya CCM ya Mwaka 2015 hayajatekelewa ilivyopangwa na mengine yametekelezwa kwa kiasi kidogo sana.

Ukitathmini kwa haraka haraka inaonesha Magu ana nguvu kuliko hata Chama chake manake mambo yaliyotekelezwa ambayo hayapo kwenye Ilani kwa uamuzi wake mwenyewe ni asilimia 21. Baadhi ya mambo yalitekelezwa nje ya Bajeti zilizopitishwa na Bunge. Wapinzani hawa wameeleza pia kuwa mara baada ya kuingia madarakani Magu alifuta Sherehe za Maadhimisho ya Uhuru na kupeleka fedha hizo kwenye mambo mengine. Baada ya kufanikisha hilo ndipo ikawa kawaida tu yeye kuamua mara zote kubadilisha mipango ya nchi iliyotokana na Ilani ya Chama chake kwa kuyatenda yaliyo kwa utashi wake. Hilo limemfanya aonekana kama Dikteta.

Nimechungulia Ilani na baadhi ya hotuba za wapinzania zimekaa vizuri kwa kweli. Zina mkakati wa ukosoaji. Kwa namna Serikali hii isivyopenda kukosolewa najua ukosoaji wa mwaka huu umekaa vizuri sana kiasi kwamba ukianza tu lazima CCM wapate Taharuki na wataharibu Kampeni zao na mwishowe watapigwa kiulaini sana sana!

Tena akitumika Membe kuyasema hayo itakuwa mbaya sana kwa CCM yetu.

Tusubiri kipyenga!
Kama Magu ni zaidi ya CCM,anawakilisha chama gani,kwani hatuna independent candidate.
 
Mkuu sijala fedha za Membe wala kiumbe yeyote. Mie nimesema ninachokiona na nina haki ya kukisema hicho. Mambo ya kusingiziana kuwa nimehongwa ninakuomba ukome kabisa Mkuu.

Kama hujala hela yake, acha kumpigia debe muhuni yoyote toka ccm. Ule uhuni aliotufanyia Lowassa unatosha. Vinginevyo huyo Membe aende TADEA, maana ni chama cha upinzani pia.
 
Hotuba za Uchaguzi na Ilani zinaandaliwa kwa umakini wa hali ya juu.

Nimechungulia ya Chama kimoja - wameshindwa kukosoa asilimia 18 tu yaliyowekwa kwenye Ilani ya CCM inayomalizika yameshindwa kutekelezwa. Kwa maana hiyo katika Sehemu ya Utangulizi wa Ilani ya Chama hicho imeeleza vema jinsi CCM ambavyo wametekeleza asimilia 18 tu ya Ilani yao ya 2015.

Asilimia 21 yametekelezwa mambo yaliyoibuliwa ghafla ghafla tu nje ya Ilani ya CCM ambayo yanaonekana ni ya Magu mwenyewe kwa utaratibu wake. Asilimia 61 ya mambo yaliyopo kwenye Ilani ya CCM ya Mwaka 2015 hayajatekelewa ilivyopangwa na mengine yametekelezwa kwa kiasi kidogo sana.

Ukitathmini kwa haraka haraka inaonesha Magu ana nguvu kuliko hata Chama chake manake mambo yaliyotekelezwa ambayo hayapo kwenye Ilani kwa uamuzi wake mwenyewe ni asilimia 21. Baadhi ya mambo yalitekelezwa nje ya Bajeti zilizopitishwa na Bunge. Wapinzani hawa wameeleza pia kuwa mara baada ya kuingia madarakani Magu alifuta Sherehe za Maadhimisho ya Uhuru na kupeleka fedha hizo kwenye mambo mengine. Baada ya kufanikisha hilo ndipo ikawa kawaida tu yeye kuamua mara zote kubadilisha mipango ya nchi iliyotokana na Ilani ya Chama chake kwa kuyatenda yaliyo kwa utashi wake. Hilo limemfanya aonekana kama Dikteta.

Nimechungulia Ilani na baadhi ya hotuba za wapinzania zimekaa vizuri kwa kweli. Zina mkakati wa ukosoaji. Kwa namna Serikali hii isivyopenda kukosolewa najua ukosoaji wa mwaka huu umekaa vizuri sana kiasi kwamba ukianza tu lazima CCM wapate Taharuki na wataharibu Kampeni zao na mwishowe watapigwa kiulaini sana sana!

Tena akitumika Membe kuyasema hayo itakuwa mbaya sana kwa CCM yetu.

Tusubiri kipyenga!
Hizi tunaziita schoolboy politics
 
Ccm kichapo kipo pale pale. Cdm ndo kila kitu.
Hata wao wanalifahamu hilo,ndiyo maana wajitutumua kwa kuwasumbua wapinzani,wanawazuia kufanya siasa kwa kutumia vyombo vya dola.
Tusingetarajia Tanzania ambayo ndiyo mfano kwa demokrasia barani Africa na dunia nzima ilikuwa inatutazama vizuri.Leo tumebakia kulalamika na kujitetea bila aibu.
 
Back
Top Bottom