Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.