Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu. Pia soma: Kuelekea 2025 -...
14 Reactions
32 Replies
2K Views
Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe. Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa...
4 Reactions
82 Replies
4K Views
1. Mbowe alizingua kwa Zitto. 2. Mbowe alizingua kwa Dr. Slaa. 3. Mbowe alizingua kwenye maridhiano. Kote huko alifanikiwa kuwapiga sound watanzania wakaingia king. Sasa;- 4. Akizingua kwa...
19 Reactions
67 Replies
3K Views
Leo tumeshihudia Mzee Mbowe akiwahda watanzania kwa kuandaa vijana ili aonekana bado anapendwa ndani ya chama. Watanzania wenzangu tunalo jambo kubwa sana la kujifunza kwa huyu mzee kuwa ni...
2 Reactions
5 Replies
461 Views
Kwa nini pale tu Lissu alipotangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndipo anapoonekana anataka/anakipasua chama? Yeye ni makamu Mwenyekiti, nani alimchagua kuwa makamu...
1 Reactions
2 Replies
287 Views
Kwa hii sinema amefanya leo Mbowe hakuna ubishi tena kuwa yeye ni CCM. Kule CHADEMA yupo tu kuchangamsha genge. Hata kashkash anazopitia ni maigizo tu aonekane kumbe naye yumo. Kapita mule mule...
5 Reactions
14 Replies
925 Views
Katika historia ya nchi hii, sijawahi kuona mtu anayekebehi, kudharau, na kutoheshimu hadhi ya mama kama Tundu Antipas Mughwai Lissu. Ukimdharau mama mmoja, umedharau mama wote nchini na...
0 Reactions
38 Replies
1K Views
Uwanzishwaji na uwendeshaji wa vyama vya siasa vya Tz nigiza nene kiasi ukiingia nikama umenasa kwenye ulimbo usijuwe palitokea. Hakuna mtu atakaye nielewa kama hukuwahi kugoma kwenye vyuo huwezi...
3 Reactions
8 Replies
626 Views
Wakuu, Mchengerwa OR TAMISEMI ameng'aka huko kuwa wananchi wachukuliwe hatua ikiwa watafanya kilichotokea chuga - wa Chuga waliwapitisha viongozi kwenye matope waone adha wanayopitia. Sasa kama...
1 Reactions
5 Replies
465 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna malalamiko na manung'uniko makubwa sana yanaendelea miongoni mwa wanachama wa CHADEMA juu ya michango yao ambayo walichangia chama chao maarufu kama join the...
12 Reactions
252 Replies
11K Views
Ndugu zangu Watanzani, Wanasema chama cha siasa kilicho hai na uhai ni lazima kiwe mabarabarani na majukwaani. ni lazima kiwe midomoni mwa watu muda wote,ni lazima kitetewe...
4 Reactions
60 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Jinai huwa haiozi na wala kupitwa na wakati wala kuisha muda wake.jinai ni jinai tu.unaweza kutenda jinai leo hii halafu ukaja kuburuzwa mahakamani na kusomewa mashtaka na...
5 Reactions
93 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni lazima mfahamu ya kuwa CCM ndio tumaini la watanzania,ndio chama chenye kuaminika na kuaminiwa na mamilioni ya watanzania,ndio chama kilichobeba matumaini na hatima ya...
0 Reactions
6 Replies
360 Views
Makamu Mwenyekiti wa chadema Tundu Lissu amesema hana tatizo lolote na Mbowe kulazimishwa Kugombea kwani hiyo ndio style yake kwenye Kila uchaguzi Lisu amesema yeye amesharudisha fomu anasubiri...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama ndani ya chama wamemvumilia wamemchoka, wanamuita mropokaji na muongo, je kama taifa tunabidi tukae chini na kuanza kumtathmini Lissu upya? Kama ana nafasi ndogo tu katika taifa anaropoka...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
https://www.instagram.com/p/C4IKzMCq3zK/?igsh=MWJuYmhjOGptYWk4Mw== Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo...
13 Reactions
131 Replies
8K Views
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter. Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha...
29 Reactions
363 Replies
22K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali kuhusu Chadema, kuwa ni sikio la kufa, katika safari ya kuelekea kushika dola, Chadema kinafanya makosa, hivyo kinashindwa kushika dola, wako watu wenye uono...
34 Reactions
230 Replies
24K Views
Naona Mwenyekiti anaendeleza janja janja za wakati wote Kuna aibu gani kusema nitagombea wakati kila mtu anafahamu hao Viongozi ni wewe umewaita tena kwa lazima na kwa gharama zako!! TUNDU...
0 Reactions
4 Replies
376 Views
Naskia ameteseka Sana aisee. Sasa Kama mwanaume mpaka Analia kwanini asiachane na hizi harakati. Inasikitisha Sana.
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…