Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://www.youtube.com/watch?v=qAERflDyoZU
1 Reactions
10 Replies
568 Views
1.hiki chama hakina wazee wakutuliza hizi vurugu? 2.kuna kundi litasusa.je,hili kundi litaanzisha chama kipya au litasujudia vyama vingine ili wapokelewe? 3.Baada ya uchaguzi,kundi lililoshindwa...
0 Reactions
0 Replies
187 Views
Wakuu Muktadha: Wakati mchakato wa kuhesabu kura kuwapata viongozi wapya wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) ukiendelea, baadhi ya wanaodaiwa kuwa makada wa chama hicho wanashikiliwa na...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kamati kuu ya Washauri ni Ntobi, Ezekea Wenje na Yericko. Hawa ndo washauri wakuu wa Mbowe. So lazima Mbowe awe alivyo ana watu hao katika washauri. Na Martin MM. Anaongezeka. Kisha kuna Sugu baba...
1 Reactions
8 Replies
638 Views
FRELIMO wamebaka uchaguzi na Daniel Chapo sasa yupo Ikulu. Viva FRELIMO vivaaa
1 Reactions
2 Replies
420 Views
TUMEDHAMIRIA TUNAZIMA ZOTE TUNAWASHA KIJANI 📍16 Oktoba, 2024 Kagera Kwenye mkutano wa hadhara ambao wenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ndio mgeni...
0 Reactions
5 Replies
517 Views
Wana JF, habari za asubuhi ya leo nzuri ya tarehe 12/11/2020. Kuna mchanganyiko wa mawazo kumhusu aliyekuwa mgombea Urais ndg Tundu Lissu (CHADEMA) kukimbilia Ubelgiji kwa sababu za kiusalama...
14 Reactions
73 Replies
7K Views
haya ni mawazo yangu. Nchi ambazo hazina demokrasia na wananchi wake wamekata tamaa kwamba hawawezi kuchagua mtu wampendao kuwakilisha mambo yao kuna hivi vinatokea Nchi za hivyo zinageuka kuwa...
1 Reactions
0 Replies
180 Views
Hapa ni Dodoma, katika mkutano mkuu wa ccm mwaka 1997. Umemtambua mjumbe gani pichani?
1 Reactions
5 Replies
612 Views
Naibu katibu mkuu wa zamani wa Chadema Zitto Kabwe amesema MBWA akikaribia Kufa hupoteza uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani Kwanini Zitto Kabwe katumia mfano wa MBWA...
1 Reactions
2 Replies
357 Views
Wakuu, Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi. Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Maelezo ya Tundu Lissu *Mimi wanasema sina pesa. Na kama sina pesa sina pesa za kugawa. *Mimi sitoi Rushwa na Sipokei Rushwa. Nililetewa hapa kwenye Sebule hii na Abdul Mtangazaji: Mheshimiwa...
11 Reactions
41 Replies
4K Views
Mpo salama! Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana. Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo. Hakuna...
13 Reactions
92 Replies
4K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless Lema akizungumza na wanahabari siku ya...
2 Reactions
12 Replies
805 Views
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Jana Clouds FM walifanya jambo muhimu sana kisheria, kuiepusha taasisi na kesi ya defamation, walionyesha kwamba taasisi hai-own maneno machafu yaliyokuwa yakitolewa. Vyombo vingine vya habari...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake. Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye...
6 Reactions
16 Replies
847 Views
Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na...
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Waandishi wa habari na wasanii wameondoa kabisa seriousness ya Mkutano mkuu wa CCM Dodoma. Ni vigumu kwa compositions hii watu wakafuatilia mkutano unavyokwenda kwa sababu waandishi wa habari wapo...
2 Reactions
3 Replies
615 Views
Back
Top Bottom