1.hiki chama hakina wazee wakutuliza
hizi vurugu?
2.kuna kundi litasusa.je,hili kundi litaanzisha chama kipya au litasujudia vyama vingine ili wapokelewe?
3.Baada ya uchaguzi,kundi lililoshindwa...
Wakuu
Muktadha: Wakati mchakato wa kuhesabu kura kuwapata viongozi wapya wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) ukiendelea, baadhi ya wanaodaiwa kuwa makada wa chama hicho wanashikiliwa na...
Kamati kuu ya Washauri ni Ntobi, Ezekea Wenje na Yericko. Hawa ndo washauri wakuu wa Mbowe. So lazima Mbowe awe alivyo ana watu hao katika washauri. Na Martin MM. Anaongezeka. Kisha kuna Sugu baba...
TUMEDHAMIRIA TUNAZIMA ZOTE TUNAWASHA KIJANI
📍16 Oktoba, 2024 Kagera
Kwenye mkutano wa hadhara ambao wenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ndio mgeni...
Wana JF, habari za asubuhi ya leo nzuri ya tarehe 12/11/2020.
Kuna mchanganyiko wa mawazo kumhusu aliyekuwa mgombea Urais ndg Tundu Lissu (CHADEMA) kukimbilia Ubelgiji kwa sababu za kiusalama...
haya ni mawazo yangu. Nchi ambazo hazina demokrasia na wananchi wake wamekata tamaa kwamba hawawezi kuchagua mtu wampendao kuwakilisha mambo yao kuna hivi vinatokea
Nchi za hivyo zinageuka kuwa...
Naibu katibu mkuu wa zamani wa Chadema Zitto Kabwe amesema MBWA akikaribia Kufa hupoteza uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani
Kwanini Zitto Kabwe katumia mfano wa MBWA...
Wakuu,
Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi.
Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata...
Maelezo ya Tundu Lissu
*Mimi wanasema sina pesa. Na kama sina pesa sina pesa za kugawa.
*Mimi sitoi Rushwa na Sipokei Rushwa. Nililetewa hapa kwenye Sebule hii na Abdul
Mtangazaji: Mheshimiwa...
Mpo salama!
Kama utafuatilia mikutano na mambo ya CHADEMA utagundua kuwa Sugu ushawishi wake umeshuka Sana.
Yaani akiwepo sehemu ni kama hayupo hivi. Yaani huwezi kujua yupo au hayupo.
Hakuna...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless Lema akizungumza na wanahabari siku ya...
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya...
Jana Clouds FM walifanya jambo muhimu sana kisheria, kuiepusha taasisi na kesi ya defamation, walionyesha kwamba taasisi hai-own maneno machafu yaliyokuwa yakitolewa.
Vyombo vingine vya habari...
Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake.
Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye...
Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na...
Waandishi wa habari na wasanii wameondoa kabisa seriousness ya Mkutano mkuu wa CCM Dodoma. Ni vigumu kwa compositions hii watu wakafuatilia mkutano unavyokwenda kwa sababu waandishi wa habari wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.