Uwanzishwaji na uwendeshaji wa vyama vya siasa vya Tz nigiza nene kiasi ukiingia nikama umenasa kwenye ulimbo usijuwe palitokea.
Hakuna mtu atakaye nielewa kama hukuwahi kugoma kwenye vyuo huwezi...
Wakuu,
Mchengerwa OR TAMISEMI ameng'aka huko kuwa wananchi wachukuliwe hatua ikiwa watafanya kilichotokea chuga - wa Chuga waliwapitisha viongozi kwenye matope waone adha wanayopitia.
Sasa kama...
Ndugu zangu Watanzania,
Kuna malalamiko na manung'uniko makubwa sana yanaendelea miongoni mwa wanachama wa CHADEMA juu ya michango yao ambayo walichangia chama chao maarufu kama join the...
Ndugu zangu Watanzani,
Wanasema chama cha siasa kilicho hai na uhai ni lazima kiwe mabarabarani na majukwaani. ni lazima kiwe midomoni mwa watu muda wote,ni lazima kitetewe...
Ndugu zangu Watanzania,
Jinai huwa haiozi na wala kupitwa na wakati wala kuisha muda wake.jinai ni jinai tu.unaweza kutenda jinai leo hii halafu ukaja kuburuzwa mahakamani na kusomewa mashtaka na...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni lazima mfahamu ya kuwa CCM ndio tumaini la watanzania,ndio chama chenye kuaminika na kuaminiwa na mamilioni ya watanzania,ndio chama kilichobeba matumaini na hatima ya...
Makamu Mwenyekiti wa chadema Tundu Lissu amesema hana tatizo lolote na Mbowe kulazimishwa Kugombea kwani hiyo ndio style yake kwenye Kila uchaguzi
Lisu amesema yeye amesharudisha fomu anasubiri...
Kama ndani ya chama wamemvumilia wamemchoka, wanamuita mropokaji na muongo, je kama taifa tunabidi tukae chini na kuanza kumtathmini Lissu upya?
Kama ana nafasi ndogo tu katika taifa anaropoka...
https://www.instagram.com/p/C4IKzMCq3zK/?igsh=MWJuYmhjOGptYWk4Mw==
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo...
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali kuhusu Chadema, kuwa ni sikio la kufa, katika safari ya kuelekea kushika dola, Chadema kinafanya makosa, hivyo kinashindwa kushika dola, wako watu wenye uono...
Naona Mwenyekiti anaendeleza janja janja za wakati wote
Kuna aibu gani kusema nitagombea wakati kila mtu anafahamu hao Viongozi ni wewe umewaita tena kwa lazima na kwa gharama zako!!
TUNDU...
Hii imetokea leo Kaloleni,Arusha ambapo Hawa vijana wa Chadema wamepokewa na viongozi wa CCM.
Wamesema Mbowe ni kiongozi feki,na Lissu ni kiongozi feki na Godbless Lema ni kiongozi feki ambaye...
Igwe wanaJF
Kutokana na fukuto ndani ya Chadema tumeshuhidia minyukano mikali huku wengine wakimtaka Mbowe aondoke maadarakani eti kwa sabbabu hana jipya.
Ili kuweka kumbukumbu sawa nimeona ni...
Amani kwenu wana jukwaa
Toka lissu atangaze kugombea uenyekiti wa chama taifa nimewaona wana CCM wakimsusa na kumsahau kabisa kumpigia makofi na mapambio mwenyekiti wao Samia
Badala yake nguvu...
Hayo ndio yanayojili huko Chadema baada ya Tundu Lisu kumkejeli Mwenyekiti wake Kwa kusema eti aliyetuaminisha kwenye mapendano yao amekamatwa,hii iwe fundisho 🤣🤣🤣.👇👇
Pia soma
LGE2024 - Lissu...
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.
Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.
Bwana...
Sina hakika sana ikiwa Tundu Lisu atashinda kuwa Mwenyekiti wa Chadema hapo Mwakani kama Chama kinaendelea zaidi au kitarudi kuwa chama Cha wanaharakati na omba omba ikizingatiwa Lisu na Wafuasi...
Mi huwa naamini kwamba kila mwenye degree basi ana akili sana ya utambuzi. Hii ni kinyume na mpina. Alifikiri zile ngonjera za kutukana na kukosoa na kushangiliwa na laymen wasiojua lolote bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.