Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TANZANIA - SOMALI ZA ZASAINI HATI NNE ZA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO Waziri Kombo apongeza mageuzi ya uchumi na utulivu wa kisiasa unaoendelea nchini humo Wautaja umoja amani na usalama wa...
1 Reactions
2 Replies
439 Views
Elections are fundamental to democracy, but the digital age has introduced challenges such as misinformation, disinformation, and hate speech. To address these issues, JamiiForums, in...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Siwezi kupinga kwamba Raisi Magufuli ana nia nzuri tu na Tanzania hii - kama vile tu ilivyokuwa kwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Singapore, Lee Kuan Yew, kuanzia mwaka 1965, akaitoa Singapore katika...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Wakuu wana jf amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake. Husika na mada tajwa hapo juu. Kwa maslai mapana ya chama na kwa kuzingatia kwamba chama bado kinawaitaji mh Lissu pamoja...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa . Sasa katika muendelezo wa...
4 Reactions
97 Replies
3K Views
Akifungua Maonesho ya wiki ya Nishati,Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko ametangaza kumalizika Kwa mgo wa Umeme Nchini. Dk. Biteko amesema wamefanikiwa kutekeleza Agizo la Rais...
6 Reactions
92 Replies
4K Views
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira...
2 Reactions
11 Replies
517 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu amesema Chadema ni Mali ya Wanachama wote kwani kila mmoja Kwa nafasi yake amekigharamia Kwa Jasho na Damu Wapo waliouawa, wapo waliotekwa, wapo...
3 Reactions
2 Replies
272 Views
Ikumbukwe 2015 watu Wajanja waliitumia Chadema kama ngazi ya kuwafikisha bungeni na walipofanikiwa wakahama na ubunge akina Dr Mollel nk 2020 ndio yale ya COVID 19 waliokosa uzalendo na kusaliti...
2 Reactions
3 Replies
262 Views
Kwa heka heka za uchaguzi wa chadema iliyogawanyika ngazi ya taifa zinazoendelea, wasomi vijana na wadau wa siasa nchini, wanapata fursa na nafasi muhimu sana ya kujifunza, kuelewa na kufahamu...
3 Reactions
66 Replies
2K Views
Kichekesho juu ya kinachoitwa SGR nchini tumepigwa zaidi ya bilioni 500 Kwanza kuna aina 3 au 4 za reli kulingana na gauge/geji.....1.Broad gauge, 2.Metre Gauge, 3.Narrow gauge, and 4.Standard...
34 Reactions
116 Replies
8K Views
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!! Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa...
2 Reactions
55 Replies
2K Views
Kibaya zaidi ndio vijana anaowaamini mwenyekiti, hivi Mbowe huyu Ntobi huoni kama anakuharibia hata hizo sifa chache ulizobakiza? Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining...
7 Reactions
15 Replies
779 Views
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema tunamtaka kiongozi atakaye himili presha za watu wanao mzunguka. Nimeanza na nukuu hii,kutokana na Hali halisi ya uchaguzi gumzo kwa Sasa takribani miezi miwili...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Ilitarajiwa Lemma akabidhi ofisi ndio aondoke kwenda Canada kwenye ukimbizi wake. Haijulikani atakaa huko kwa miaka mingapi. Lakini hajakabidhi ofisi kwa Mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kaskazini...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Hii ndio taarifa inayosambazwa na mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Mh Ntobi mitandaoni Kwamba Umoja wa Wenyeviti wa Mikoa ya Chadema Tanzania utaanza operesheni kabambe ya kukiokoa Chama hicho...
3 Reactions
87 Replies
2K Views
Nauliza, Tume ya Uchaguzi ilisema ati Kila Chama kisitumie zaidi ya 17 Bilioni. Je mpaka sasa hizo gharama hazijazidi?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeendesha mafunzo ya siku mbili kwa watendaji kwa ngazi ya halmashauri na majimbo katika halmashauri ya Iringa huku watendaji hao wakisistizwa kwenda kuifanyia kazi...
0 Reactions
1 Replies
315 Views
Rais Ruto amefanya mabadiliko kadhaa kwenye Baraza la Mawaziri Aidha Rais Ruto ameteua Mabalozi wa nchi mbalimbali Source Citizen TV
0 Reactions
5 Replies
590 Views
Katibu mkuu wa Chadema Mh Mnyika na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh Godbless Lema wamerushiana Maneno Ukurasani X Mnyika amedai Kuna watu wanatumiwa na Mfumo kuleta sintofahamy Ili ionekane Chadema Kuna...
2 Reactions
7 Replies
608 Views
Back
Top Bottom