Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako. Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na...
36 Reactions
78 Replies
3K Views
Askofu Dkt. Bagonza HONGERA CHADEMA, lakini.…… Mkutano wenu umeonyesha haya: - Chadema ina mashabiki wengi kuliko wanachama. CCM ina wanachama wengi kuliko mashabiki. - Kazi ya Chadema ni...
4 Reactions
6 Replies
658 Views
Inasemakana kuwa huu mradi ulisimamishwa kulikoni?
0 Reactions
131 Replies
19K Views
Mbowe akiendelea kuongoza chadema itabaki hivi
0 Reactions
4 Replies
333 Views
Shida ya Lisu hazungumziagi namna ya kukuza uchumi, yeye ni siasa tu muda wote. Miradi yote ya kukuza uchumi na kuongeza ajira anaitukana, ndani ya miezi 4 SGR imesafirisha abiria milioni 1...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Mambo mengine ni kufanya tathmini tu ya kawaida, Lissu aliitisha mchango kwa nguvu kubwa sana, lakini alichopata ni cha kununua pikipiki ya SUN-LG. Anapata wapi nguvu ya kuamini tutampa kura?
0 Reactions
5 Replies
375 Views
Nimeamini bila shaka kwamba JPM alikuwa moto wa kuotea mbali. Wakimaliza kumtukana wanaenda kupanda ndege ,madaraja na ofisi alizozijenga yeye huko Dodoma. Taifa linaingiza pesa nyingi sana baada...
40 Reactions
91 Replies
7K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa CCM na mlezi wa chama hicho mkoa wa Njombe, Marium Mamuya amesema ushindi mkubwa walioupata wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika...
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Zamani Chadema ilikuwa imesheheni vichwa makini, walikuwa watu kama profesa Safari, Profesa Baregu. Hawa ndo walikuwa thinktanks na washauri wa Chama. Leo inasikitisha chama kimebaki na wahuni...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Pale Juu wakiondoka viongozi ving'ang'anizi kama Kigaila, Mwalimu na Mrema na kuletwa kamchanganyiko kapya basi Chadema itaimarika sana Naibu katibu mkuu wa Tanganyika akiwa ke itapendeza zaidi...
1 Reactions
2 Replies
299 Views
MUDA HUU: WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CHADEMA TAIFA AMBAO NI VIONGOZI WA CHADEMA WA MIKOA MBALIMBALI YA “KANDA YA PWANI” WANAOMUUNGA MKONO  TUNDU LISSU WANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI. KARIBU...
1 Reactions
2 Replies
568 Views
Habari zikufikie popote ulipo yule Mwamba wa Siasa za Kanda ya Nyasa Mdude Nyagali kesho atazungumza na Waandishi wa Habari Kadhalika Mwenyekiti Mbowe atakuwa na mkutano mkubwa na Waandishi wa...
3 Reactions
10 Replies
627 Views
Lojiki ya kufikiria ya Watanzania wenzengu mara nyingine inaniacha nashindwa kuwaelewa. Sielewi kwa nini suala la Mbowe na Lissu kugombea uenyekiti liwe jambo linalotishia uhai wa Chadema...
1 Reactions
16 Replies
671 Views
Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ametupa kijembe kwa vyama vya upinzani ambavyo vimezoea kutoa kasoro katika miradi mbalimbali na kusema ndo wanaanza Kwa mujibu wa Hussein mwinyi amesema sasa...
2 Reactions
4 Replies
455 Views
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu...
-2 Reactions
55 Replies
3K Views
DJ sasa anaelekea kwa lipumba, hayati mrema na ndugu yao Odinga. Wanasiasa wa upinzani huwa hawaaminiki hasa africa bara la kiza.
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu amemtaka Mwenyekiti Mpya wa Kanda ya kati Devotha Minja akawatendee haki waliomchagua ndani ya Kamati Kuu ya chama na asiwe mgonga meza Lisu amesema...
1 Reactions
9 Replies
687 Views
Habari wakuu Tumeona siku za hivi karibu ndani ya CHADEMA kumechamgamka sana baada ya Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu kuweka nia ya kugombea Uenyekiti Taifa wa CHADEMA. Swali langu kwenu, ni...
1 Reactions
16 Replies
762 Views
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake. Lakini...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini. Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom