Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ametupa kijembe kwa vyama vya upinzani ambavyo vimezoea kutoa kasoro katika miradi mbalimbali na kusema ndo wanaanza Kwa mujibu wa Hussein mwinyi amesema sasa...
2 Reactions
4 Replies
455 Views
Hakika hii ni wiki mbaya sana kwa chama cha Mbowe. Kitendo cha makada kutukanana mitandaoni ni kukivua nguo chama. Kilichonishtua sana leo ni kuona bingwa wa kulea vijana wasio na nidhamu ndugu...
-2 Reactions
55 Replies
3K Views
DJ sasa anaelekea kwa lipumba, hayati mrema na ndugu yao Odinga. Wanasiasa wa upinzani huwa hawaaminiki hasa africa bara la kiza.
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu amemtaka Mwenyekiti Mpya wa Kanda ya kati Devotha Minja akawatendee haki waliomchagua ndani ya Kamati Kuu ya chama na asiwe mgonga meza Lisu amesema...
1 Reactions
9 Replies
687 Views
Habari wakuu Tumeona siku za hivi karibu ndani ya CHADEMA kumechamgamka sana baada ya Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu kuweka nia ya kugombea Uenyekiti Taifa wa CHADEMA. Swali langu kwenu, ni...
1 Reactions
16 Replies
762 Views
Mwaka 2015 wakati Lowassa anaenguliwa kugombea urais ndani ya CCM ukumbi mzima ulilipuka na kuanza kuimba 'Tunaimani na Lowassa' maana 80% ya Wenyeviti wa mikoa CCM walikuwa upande wake. Lakini...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini. Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
TANZANIA - SOMALI ZA ZASAINI HATI NNE ZA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO Waziri Kombo apongeza mageuzi ya uchumi na utulivu wa kisiasa unaoendelea nchini humo Wautaja umoja amani na usalama wa...
1 Reactions
2 Replies
439 Views
Elections are fundamental to democracy, but the digital age has introduced challenges such as misinformation, disinformation, and hate speech. To address these issues, JamiiForums, in...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Siwezi kupinga kwamba Raisi Magufuli ana nia nzuri tu na Tanzania hii - kama vile tu ilivyokuwa kwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Singapore, Lee Kuan Yew, kuanzia mwaka 1965, akaitoa Singapore katika...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Wakuu wana jf amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake. Husika na mada tajwa hapo juu. Kwa maslai mapana ya chama na kwa kuzingatia kwamba chama bado kinawaitaji mh Lissu pamoja...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA wanaendelea kuvujisha siri za ndani kabisa. Bila shaka mpaka uchaguzi uishe kila kitu cha ndani na cha siri kitakuwa peupe kabisa . Sasa katika muendelezo wa...
4 Reactions
97 Replies
3K Views
Akifungua Maonesho ya wiki ya Nishati,Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko ametangaza kumalizika Kwa mgo wa Umeme Nchini. Dk. Biteko amesema wamefanikiwa kutekeleza Agizo la Rais...
6 Reactions
92 Replies
4K Views
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira...
2 Reactions
11 Replies
517 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu amesema Chadema ni Mali ya Wanachama wote kwani kila mmoja Kwa nafasi yake amekigharamia Kwa Jasho na Damu Wapo waliouawa, wapo waliotekwa, wapo...
3 Reactions
2 Replies
272 Views
Ikumbukwe 2015 watu Wajanja waliitumia Chadema kama ngazi ya kuwafikisha bungeni na walipofanikiwa wakahama na ubunge akina Dr Mollel nk 2020 ndio yale ya COVID 19 waliokosa uzalendo na kusaliti...
2 Reactions
3 Replies
262 Views
Kwa heka heka za uchaguzi wa chadema iliyogawanyika ngazi ya taifa zinazoendelea, wasomi vijana na wadau wa siasa nchini, wanapata fursa na nafasi muhimu sana ya kujifunza, kuelewa na kufahamu...
3 Reactions
66 Replies
2K Views
Kichekesho juu ya kinachoitwa SGR nchini tumepigwa zaidi ya bilioni 500 Kwanza kuna aina 3 au 4 za reli kulingana na gauge/geji.....1.Broad gauge, 2.Metre Gauge, 3.Narrow gauge, and 4.Standard...
34 Reactions
116 Replies
8K Views
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!! Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa...
2 Reactions
55 Replies
2K Views
Kibaya zaidi ndio vijana anaowaamini mwenyekiti, hivi Mbowe huyu Ntobi huoni kama anakuharibia hata hizo sifa chache ulizobakiza? Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining...
7 Reactions
15 Replies
779 Views
Back
Top Bottom