Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu habari ya muda. Kuna msemo kuwa Duniani hakuna jipya mengi yamisha fanyika ni muda tu ndio unafanya tuone mapya. Tutakumbuka hili swala la Lissu linaendana kabisa na issue ya Seif Sharif...
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Ndio hivyo. Baraza kuu lote let, akileta hoja inapigwa chini, na pale Wenje anabaki kama kiungo mchezeshaji. Haijaisha mpaka iishe, atapigiwa hata kura ya kutokuwa na imani
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema marufuku ya kisiasa iliyowekwa na Serikali, kwa kiasi kikubwa, imemlenga Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ambaye anamuelezea...
5 Reactions
54 Replies
10K Views
Kauli hiyo aliitamka Lissu kwa kejeli akiwakejeli wasioona nguvu ya Lowassa ndani ya nchi, Nawaambia hakuna mtu mwenye nguvu dhidi ya taasisi yeyote imara, labda kwa CHADEMA ndipo mwenyewe Mbowe...
5 Reactions
40 Replies
10K Views
Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe Victoria Mwanziva amewasisitiza wakala wa barabara mjini na vijijini TARURA Wilaya ya Lindi kusimamia ubora na thamani ya fedha kwenye ujenzi wa Mradi wa barabara ya...
1 Reactions
2 Replies
314 Views
Salaam, Shalom!! Tumeambiwa kuwa, tembo na simba hawali madini, lakini hatukuambiwa wakati madini yakichimbwa ndani ya Serengeti, hao Simba watakuwa wapi!!? Kutoa lesseni ya uchimbaji ndani ya...
13 Reactions
57 Replies
2K Views
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea. Target ya kutaka kuchimba Madini...
18 Reactions
92 Replies
3K Views
Wakuu... Kumbe wala hatuhitaji Katiba Ili kuiondoa CCM madarakani kama tulivyokuwa tukiaminishwa,. Pamoja na Katiba mbovu tuliyo nayo sasa bado CCM wanaweza kung'oka madarakani , Tatizo letu ni...
1 Reactions
10 Replies
582 Views
TUSIPOVAMIA TUTAENDELEA KUVURUGANA. Na, Robert Heriel. Naiona future ya nchi yetu ikizidi kudidimia. Nakiona kizazi hiki kikiwa na mwisho mbaya wa kusikitisha. Kwa kweli tunayosababu ya kuchukua...
11 Reactions
62 Replies
5K Views
Habari. Uzi huu uwe mwendelezo wa kila kinachojiri katika mpambano huu wa kukata na shoka. Siku ya kesho December 21 kuanzia saa 5 asubuhi Mdude CHADEMA kuongea n vyombo vya habari. Dec 21...
0 Reactions
3 Replies
476 Views
BILA UVAMIZI TUTAENDELEA KUKOPA MPAKA TUUZE HII NCHI! Kwa Mkono wa Robert Heriel. Tutaendelea kushikana Uchawi hapa mpaka Kiama. Akija Rais huyu utasikia oooh huyu Mzanzibar, nikija Taikon kuwa...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Kwanza wahandisi hawa wamejuaje nia ya ra rais kugombea urais, nijuavyo hadi sasa rais Samia hajatangaza nia ya kugombea urais 2025. Pili, zawadi hii ina maanisha nini hasa kwa watanzania...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Najaribu kujiuliza, vipi kama Tundu alifungwa Camera fiche na itakuwaje endapo hata ya sirini kama ya akina Abdul na Wenje yalihifadhiwa pasina wao kutambua?! Itakuwaje endapo pengine rasmi...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Nimejaribu kujiuliza sana baada ya Tundu lissu kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti basi imekuwa tatizo sana kwa baadhi ya viongozi na wanachama , nikajiuliza hivi hawa walikuwa wabaya au wasaliti...
1 Reactions
14 Replies
841 Views
Miaka ya 2010 wakati Zitto Zuberi Kabwe, Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wanaanza kujenga “picha ya kundi ndani ya Chadema” kwa lengo la kuchukua kiti cha Freeman Mbowe (FAM) CHADEMA, mambo...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako. Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na...
36 Reactions
78 Replies
3K Views
Askofu Dkt. Bagonza HONGERA CHADEMA, lakini.…… Mkutano wenu umeonyesha haya: - Chadema ina mashabiki wengi kuliko wanachama. CCM ina wanachama wengi kuliko mashabiki. - Kazi ya Chadema ni...
4 Reactions
6 Replies
658 Views
Inasemakana kuwa huu mradi ulisimamishwa kulikoni?
0 Reactions
131 Replies
19K Views
Mbowe akiendelea kuongoza chadema itabaki hivi
0 Reactions
4 Replies
333 Views
Shida ya Lisu hazungumziagi namna ya kukuza uchumi, yeye ni siasa tu muda wote. Miradi yote ya kukuza uchumi na kuongeza ajira anaitukana, ndani ya miezi 4 SGR imesafirisha abiria milioni 1...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Back
Top Bottom