Wakuu,
Mara baada ya CHADEMA Shinyanga na Mwanza kuonesha kwamba wanamuunga mkono Tundu Lissu, CHADEMA Ilala nao wameonekana kutoa tamko.
Mnaweza kuwatukana CHADEMA kuwa kina mgawanyiko lakini...
Makadirio yangu ilikuwa mazishi ya Chadema iwe Kwa kusafirishwa au Hapa Hapa Dar yatakuwa 2026 baada ya Uchaguzi mkuu
Kumbe family imeamua yawe mapema zaidi baada ya Kukubali mgonjwa aondolewe...
Yaaani mambo ya Chadema huwezi hata kuamini kama Wafuasi wake Wana akili TIMAMU
Wanachama kutwa wanamlaumu Halima Mdee Kwa Kukubali kuwa Mbunge wa Viti Maalum Kwa niaba ya CCM Lakini Shemeji Zao...
Kaandika hivi katika mtandao wa X:
Tuna jukumu la kihistoria la kuhakikisha tunaipatia Nchi yetu chama mbadala, na serikali mbadala itakayowatumikia watu na kuwaondoa katika umasikini wa miaka 63...
CHADEMA inahitaji uongozi mpya wa mwenyekiti wa sasa tuseme ukweli ngoma ikivuma sana upasuka.
namuomba mwenyekiti mbowe atambue kuwa CHADEMA ndiyo tegemeo la wananchi kuiondoa CCM madarakani...
Ni mbinu ya kuzuia asidaiwe? Katika mahojiano yake na chombo cha habari, Wenje amesema kwamba alitoa fedha zake nyingi kumkopesha Lissu wakati anajiuguza, na kwamba hajalipwa mpaka leo...
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo.
Bado...
Leo Wenje ndio anajitokeza kujitetea ila siku zote alikuwa kimya.
Swali: Unaweza kuzushiwa tuhuma nzito kama hizo halafu ukakaa kimya kisa tu hukutajwqlwa kwa jina lako?
Mwanzoni watu walidhani...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi...
Arusha leo katika hafla ya kufahamiana kwa sekta binafafsi.
---
Maandalizi ya hafla fupi iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Christian Makonda kwa ajili ya kuwakutanisha Wakuu wa Taasisi na...
20 December 2024
BWAWA LA UMEME JNHPP Sasa linazalisha Megawatts 1,075 kati ya Megawatts 2115
https://m.youtube.com/watch?v=uurfxrQkAi8
Vinu namba 9, 8, 7, 6 na 5 sasa vimekamilika hadi leo...
Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo watu wanaishi kwa mazingaombwe.
Miujiza inayokuwa claimed kufanywa na hawa wachungaji ni mazingaombwe ambayo yako formalised na hakuna tofauti na yale ya akina...
Wanaukumbi.
Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu...
Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
Mhe. Samwel Welwel
Kura alizopata: 51%
Makamu...
Ndugu zangu Watanzania,
Dalili zote zinaonyesha wazi kabisa Kuwa Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atapita bila kupingwa...
Shilingi ya Tanzania imeanza kuporomoka Kwa Kasi huku Dola ikizidi kupanda ambapo Kwa Sasa inabadilishwa Kwa zaidi ya Shilingi 2400 kutoka Shilingi 2200 ndani ya siku 3.
Ikumbukwe Shilingi...
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu?
2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye...
Nikiwa kama mfatiliaji mkubwa wa mambo ya kisiasa nchini ningepeda pia nitoe ushauli kwa Mwenyekiti CHADEMA Tanzania Mh Freeman Mboe, huu ndo wakati sahihi wakupumzika majukumu makubwa ya...
Bila shaka umewahi sikia kuhusu msemo Pyrrhic Victory. Msemo huo unamaanisha ushindi uliopatikana kwa gharama kubwa kiasi kwamba umekuwa sawa na kushindwa. Miaka kama 300 kabla ya Yesu mfalme...
Hongera sana Mhe Devotha Minja kwa ushindi huu mkubwa kwako kwa chama chako na familia yako.
Naona uwewanyoosha machawa sawa sawa sasa piga kazi mpaka watu washangae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.