Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Mara baada ya CHADEMA Shinyanga na Mwanza kuonesha kwamba wanamuunga mkono Tundu Lissu, CHADEMA Ilala nao wameonekana kutoa tamko. Mnaweza kuwatukana CHADEMA kuwa kina mgawanyiko lakini...
1 Reactions
0 Replies
305 Views
Makadirio yangu ilikuwa mazishi ya Chadema iwe Kwa kusafirishwa au Hapa Hapa Dar yatakuwa 2026 baada ya Uchaguzi mkuu Kumbe family imeamua yawe mapema zaidi baada ya Kukubali mgonjwa aondolewe...
3 Reactions
17 Replies
438 Views
Yaaani mambo ya Chadema huwezi hata kuamini kama Wafuasi wake Wana akili TIMAMU Wanachama kutwa wanamlaumu Halima Mdee Kwa Kukubali kuwa Mbunge wa Viti Maalum Kwa niaba ya CCM Lakini Shemeji Zao...
1 Reactions
1 Replies
299 Views
Kaandika hivi katika mtandao wa X: Tuna jukumu la kihistoria la kuhakikisha tunaipatia Nchi yetu chama mbadala, na serikali mbadala itakayowatumikia watu na kuwaondoa katika umasikini wa miaka 63...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
CHADEMA inahitaji uongozi mpya wa mwenyekiti wa sasa tuseme ukweli ngoma ikivuma sana upasuka. namuomba mwenyekiti mbowe atambue kuwa CHADEMA ndiyo tegemeo la wananchi kuiondoa CCM madarakani...
2 Reactions
6 Replies
287 Views
Ni mbinu ya kuzuia asidaiwe? Katika mahojiano yake na chombo cha habari, Wenje amesema kwamba alitoa fedha zake nyingi kumkopesha Lissu wakati anajiuguza, na kwamba hajalipwa mpaka leo...
2 Reactions
9 Replies
627 Views
Inasemekana chimbuko la yote hayo ni joto la uchaguzi wa ndani ya Chama Cha ha Demokrasia na Maendeleo Chadema, ilogawanyika, na kutokuwapo kabisa uwezekano wa wengine kushinda nafasi hiyo. Bado...
1 Reactions
19 Replies
848 Views
Leo Wenje ndio anajitokeza kujitetea ila siku zote alikuwa kimya. Swali: Unaweza kuzushiwa tuhuma nzito kama hizo halafu ukakaa kimya kisa tu hukutajwqlwa kwa jina lako? Mwanzoni watu walidhani...
1 Reactions
3 Replies
516 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi...
21 Reactions
211 Replies
8K Views
Arusha leo katika hafla ya kufahamiana kwa sekta binafafsi. --- Maandalizi ya hafla fupi iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Christian Makonda kwa ajili ya kuwakutanisha Wakuu wa Taasisi na...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
20 December 2024 BWAWA LA UMEME JNHPP Sasa linazalisha Megawatts 1,075 kati ya Megawatts 2115 https://m.youtube.com/watch?v=uurfxrQkAi8 Vinu namba 9, 8, 7, 6 na 5 sasa vimekamilika hadi leo...
0 Reactions
3 Replies
485 Views
Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo watu wanaishi kwa mazingaombwe. Miujiza inayokuwa claimed kufanywa na hawa wachungaji ni mazingaombwe ambayo yako formalised na hakuna tofauti na yale ya akina...
0 Reactions
3 Replies
397 Views
Wanaukumbi. Kwa hali ilivyo ndani Chadema kunawaka moto kwa sasa kutokana na Uchaguzi wa ndani wa viongozi, kuna tetesin Mbowe na kundi lake kina Wenye hawawezi kumpa uongozi wa chama Tundu...
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii Hawa hapa Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024 Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini Mhe. Samwel Welwel Kura alizopata: 51% Makamu...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Dalili zote zinaonyesha wazi kabisa Kuwa Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atapita bila kupingwa...
-3 Reactions
25 Replies
885 Views
Shilingi ya Tanzania imeanza kuporomoka Kwa Kasi huku Dola ikizidi kupanda ambapo Kwa Sasa inabadilishwa Kwa zaidi ya Shilingi 2400 kutoka Shilingi 2200 ndani ya siku 3. Ikumbukwe Shilingi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
1. Kwanini baadhi ya wanachadema hawataki Mbowe agombee uenyekiti? Kama katiba ya Chama inamruhusu? 2. Kwanini wasionyeshe kutokuridhika kwao na kazi aliyoifanya Mbowe[kama wanavyosema] kwenye...
4 Reactions
23 Replies
958 Views
Nikiwa kama mfatiliaji mkubwa wa mambo ya kisiasa nchini ningepeda pia nitoe ushauli kwa Mwenyekiti CHADEMA Tanzania Mh Freeman Mboe, huu ndo wakati sahihi wakupumzika majukumu makubwa ya...
1 Reactions
3 Replies
335 Views
Bila shaka umewahi sikia kuhusu msemo Pyrrhic Victory. Msemo huo unamaanisha ushindi uliopatikana kwa gharama kubwa kiasi kwamba umekuwa sawa na kushindwa. Miaka kama 300 kabla ya Yesu mfalme...
0 Reactions
0 Replies
198 Views
Hongera sana Mhe Devotha Minja kwa ushindi huu mkubwa kwako kwa chama chako na familia yako. Naona uwewanyoosha machawa sawa sawa sasa piga kazi mpaka watu washangae
23 Reactions
118 Replies
5K Views
Back
Top Bottom