Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako.
Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe...
Tumeona tuje tena tuliweke Vizuri suala hili ili Wadau wa JF na kwingineko Waelewe.
Alichotangaza kugombea Tundu Lissu na ambacho Katiba ya Chama chake cha CHADEMA inamruhusu ni Uenyekiti wa...
Nimeona SEHEMU ati Fujo za chadema zitansaidia MH SAMIA kupitia kiurahisi
Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa
Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu
YAAN ukisikia HATA...
TL Kabeba Maono na Anasimami na kulinda Maono.Wengine wamebeba chama chao na kusimamia na kulinda chama .Twende na Chama au Maono.
Tundu Antipas Mugwai ni mtu mwenye misimamo thabiti na mwenye...
Hulu zoezi la mjumbee WA kamati kuu kujitoa rasmi
Moto umeanza kuwaka huko
Kwa ndugu ZETU
Na habari za chinichini. KUNA kundi KUBWA la watu wakiwemo wenyeviti kadhaa wakanda na derkl za mitaa...
Baada ya mwenyekiti wao na wafuasi wake kusema amekipambania chama nikatafakari na kujua wafuasi wa iko chama ni manyumbu
Iv kupambania maana yake katumia garama au pesa , kwa mfanya biashara...
Wadau ...
Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda...
CCM hakuna mtu anawanyima usingizi kama Lissu. Hata siku ile Lissu anachukua fomu CCM walipata taabu sana. Wanamjua Lissu kuwa si mwepesi wa kukubali ujinga kwa lugha yoyote ile. Wakati ule...
Soma hii sehemu ya ripoti ambayo imetolewa uone kwanini IPTL hawaondoki hapa nchini.
Despite similarities, the two power projects were quite different in nature. IPTL originated in a visit to...
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
Ukosoaji wake dhidi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA hususani kuhusu mambo ya rushwa na uchaguzi wa serikali za mitaa, ulionekana kama usaliti, hujuma, dharau na utovu wa nidhamu kwa...
❇️NEMBO (LOGO) RASMI YA UVCCM KIJANI AWARDS NA UVCCM ALUMNI FORUM!
Tunaweka msingi wa kuwatambua vijana walio mstari wa mbele katika kufanikisha maono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mustakabali...
Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu...
Mwita Waitara akiwa Mbunge wa Ukonga aliwahi kusema Chadema inamilikiwa na Freeman Mbowe na Halima James Mdee
Binafsi nilimbishia Lakini sikuwahi kufanya utafiti wowote
Leo ghafla nimekumbuka...
Kama CCM ingekuwa na Katiba ya kurithishana isiyojali Ukomo wa Uongozi kama ya Chadema basi Leo hii Makongoro Nyerere angekuwa Mwenyekiti wa CCM na Vita Kawawa Katibu mkuu.
Kamati kuu wangejaa...
My Take:
Ukoo wa kina Manji sio vilaza na Kwa mara nyingine Wahindi wanaonesha jinsi gani ni vipanga kwenye sekta ya Afya na Hesabu.
Hongera Prof Karim Manji Kwa kuitangaza Tanzania na Muhimbili...
Ile safari ya ujenzi wa demokrasia kuanzia vyamani inakwenda vyema.
Kwamba sasa ni rasmi kuonja sumu kwa ulimi ni kapuni. Haya ni mafanikio makubwa kwani tuliko toka ni mbali!
Hapa tulipo...
MBUNGE WA JIMBO APONGEZA VIJANA 32 WA MUSOMA VIJIJINI WALIOTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA
Leo ilikuwa siku ya Kikao cha Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) wa Wilaya ya Musoma Vijijini...
* Zitto amekaa muda mfupi na kupisha mwingine bila mabishano;
* Mbowe wa CDM amekaa miaka mingi na hana utayari wa kuamini kuwa wapo wengine wawezao kuongoza CDM;
CCM izidi kuwafundisha CDM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.