Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu wa jarida maarufu la Uchumi na Biashara Duniani la global Finance,limeitaja Tanzania kama Nchi inayoibukia kuwa mbabe wa Uchumi Kwa Kanda ya Afrika Mashariki. Kamishna wa PPP David...
3 Reactions
50 Replies
1K Views
BREAKING NEWS NJOMBE. George Sanga na Wenzake wawili waliokuwa wanatuhumiwa kwa kesi ya mauaji wamechiwa huru na Mahakama. Mungu ametenda haki imeshinda George sanga na wenza wameachiwa huru...
16 Reactions
43 Replies
3K Views
Heshima sana Wanajamvi. Kwa mujibu wa Hezekiah Wenje, Mwaka 2012 Lissu alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Kati. Ndani ya Mwaka mmoja hakufanya chochote katika kanda hiyo.Kamati Tendaji ya Kanda ya Kati...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Makao Makuu ya Bunge la Jumuiya ya Madola,Common Wealth Kanda ya Afrika kujeng a Dodoma.👇👇 Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Bi. Salome Makamba, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya...
9 Reactions
53 Replies
5K Views
Kauli ya kwanza ya Kada wa CHADEMA George Sanga baada ya kuachiwa huru na Mahakama. Hii inakuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Iringa alipotangaza kuachia huru wanachama watatu wa Chama Cha...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Haya ndio manemo aliyoyaandika Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Mstaafu Mhe Baraka Mwago
10 Reactions
53 Replies
2K Views
Muda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar. Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar. Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Ni takriban wiki 3 zimesalia pekee kushuhudia mpambano wa kukata na shoka kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu kukalia kiti cha Chama kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA. Kumekuwa na mpambano...
8 Reactions
60 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Katiba ya Chadema makamu Mwenyekiti ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Ndio chama kimemuandaa Wenje Chadema Bure kabisa 🐼
4 Reactions
4 Replies
473 Views
Tumeona kazi nzuri ya Mheshimiwa Freeman Alikael Mbowe, ni kazi safi sana ambayo imeweza Kuijenga Chadema katika kipindi kirefu zaid, Yaweza kuwa uimara wa Mbowe au udhaifu wa mpinzani wake wa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
AG Mstaafu Mhe Jaji Warema azungumzia sakata la kumwita RC David Kafulila "tumbili" Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema amezungumzia sakata la kumuita tumbili...
4 Reactions
66 Replies
7K Views
Nilidhani wenje ana elimu hata kidogo kumbe ni mweupe kiasi hiki. Contents nzima zililuwa zimejikita kwenye hisani ya ccm kuisaidi chadema au hisani kwa namna yoyote. Lisu anataka principals of...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Uwajibikaji na kuwajibishana ni moja ya nguzo kubwa sana ya maendeleo. Huko Serbia aliyekuwa Waziri wa Ujenzi wakati wa Ujenzi wa Kituo cha Treni amekamatwa na kushtakiwa baada ya paa la kituo...
6 Reactions
14 Replies
810 Views
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa". Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo: UTEUZI WA WABUNGE...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Mwito kwa Wizara ya Elimu na TAMISEMI: Kuangalia Upya Sera za Chama cha Walimu (CWT) Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya elimu nchini Tanzania imekumbwa na changamoto mbalimbali, hususan...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
WARAKA WA CHACHA WANGWE. UTANGULIZI. Jumamosi, June 28 mwaka huu wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu ya CHADEMA walidai kuwa wamesitisha Umakau Mwenyekiti wangu katika kikao kilichofanyika mjini...
46 Reactions
579 Replies
75K Views
Wenje yuko live anamvua nguo Tundu Lissu. Asema hana sifa za kuwa kiongozi wa chama ni muongo muongo sana. Tuhuma zote anazotoa hazina uthibitisho ni za uongo uongo tu.
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Mheshimiwa Juma Zuberi Homera ambae ni mkuu wa mkoa wa mbeya ameonyesha kuwa kiongozi aliyejitolea kuleta maendeleo na mabadiliko chanya popote anapohudumu tangu yupo TUNDURU na baadae KATAVI...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Hakuna marefu yasiyo na ncha.Huu ni msemo wetu wa kiswahili ambao una maana pana sana. Siasa za kusini mwa jangwa la Sahara zimeanza kuchukua njia ya tofauti kabisa siku za karibuni. Vyama...
2 Reactions
0 Replies
301 Views
"Chama chetu kina ruzuku ya milioni 107, huwezi kukiendesha Chama kikubwa kama Chadema kwa kiasi hicho cha fedha. Tunaenda kwenye Uchaguzi Mkuu huu ambao yeye anagombea, bajeti yake ni zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Back
Top Bottom