Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia...
5 Reactions
16 Replies
724 Views
Kichwa Cha Habari ni Mtoto wa baba wa taifa Mh Madaraka Nyerere akimzungumzia Mh Yericko Nyerere mjumbe wa CC ya Chadema Ukurasani kwake X Ahsanteni sana 😄
8 Reactions
70 Replies
2K Views
Wanachama Wawili wa Chama cha Wananchi CUF wa Kijiji cha Mabama Wilayani Uyui mkoa wa Tabora Husseni Hammis Kwabi Aliyekuwa Mjumbe mkutano mkuu CUF Wilaya Uyui na Mashaka Said Lintu Aliyekuwa...
0 Reactions
0 Replies
286 Views
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaotokana na Umoja wa Vijana wa CCM Zanzibar, walifika katika chuo Cha Umoja wa Vijana Tunguu Kwaajili ya Uvunaji wa mabilinganyi na pilipili Boga Kwa...
1 Reactions
1 Replies
322 Views
Wasalaam Nimesikiliza interview ya Ezekiel Wenje iliyofanyika wasafi fm nikagundua kuwa huyu mtu ni nusu mfu na anachowaza ni ruzuku tu na madaraka. Asema eti Abdul ni mtu muungwana sana na...
1 Reactions
1 Replies
302 Views
Huu ni mfano mzuri wa hali ya kushangaza katika usafiri wa umma! Kuendesha basi kutoka Mbeya hadi Dodoma na kurudi tena siku hiyo hiyo ni kazi ngumu sana. Inashangaza kuona dereva anafanya safari...
10 Reactions
33 Replies
2K Views
Wanabodi, Wizara yoyote ni muhimu katika suala zima la kutoa huduma kwa wananchi na kuleta mageuzi yenye ubunifu kwenye maendeleo ya jamii. Hii ndiyo ingetakiwa kuwa kauli mbinu ya wizara yoyote...
0 Reactions
1 Replies
322 Views
Mheahimiwa, inatosha. Utakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani. 1. Utawapa meno na uthibitisho...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa...
1 Reactions
10 Replies
443 Views
The link is on his bio click it and it'll open a browser, select "sports creator of the year " category, scroll down until you see @zerobrainer0 then VOTE NOW https://vm.tiktok.com/ZMkSX5WBV/
2 Reactions
0 Replies
223 Views
Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority (MUWSA) imejikita katika masuala ya huduma za maji na usafi, lakini kuna maswali mengi yanayojitokeza kuhusu uamuzi wao wa kuwafungia wateja wa...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
CCM wamshauri Freeman Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti kwa mara ya tano kwani kutofanya hivyo kutapelekea CHADEMA kufa. Hakika mara hii CCM wamekuwa waungwana hata kutaka kuzuia CHADEMA...
2 Reactions
12 Replies
502 Views
Utangulizi Wilaya ya Chunya, iliyopo katika Mkoa wa Mbeya, ni miongoni mwa maeneo yenye rasilimali nyingi lakini yanakabiliwa na changamoto mbalimbali. Katika Kata ya Matundasi, vijiji vya...
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Mnakaa na Samia mnapanga hadi mgombea Urais mwakani, licha ya safu ya uongozi wa chama.. ili mumpe unafuu wa kisiasa. Alafu sisi huku Malampaka tuna matumaini ya Katiba Mpya.. na tuko tayari...
5 Reactions
61 Replies
3K Views
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya...
2 Reactions
13 Replies
657 Views
Chadema wanamuogopa Tundu Lisu hadi Maaskofu na Mashehe wanashangaa kulikoni Huu uoga wa Chadema dhidi ya Mwanachama mwenzao tena Kiongozi unatoka wapi? Kuna Siri gani? Nimekaa pale 🐼
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo. ..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi...
14 Reactions
90 Replies
3K Views
Katika halmashauri za manispaa za hovyo hapa nchini nadhani ile Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza. Nilikuwa huko kwa mapumziko ya sikukuu na nimejiuliza jee huko TARURA wapo kweli? Na jee...
1 Reactions
3 Replies
443 Views
Back
Top Bottom