Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia...
Kichwa Cha Habari ni Mtoto wa baba wa taifa Mh Madaraka Nyerere akimzungumzia Mh Yericko Nyerere mjumbe wa CC ya Chadema Ukurasani kwake X
Ahsanteni sana 😄
Wanachama Wawili wa Chama cha Wananchi CUF wa Kijiji cha Mabama Wilayani Uyui mkoa wa Tabora Husseni Hammis Kwabi Aliyekuwa Mjumbe mkutano mkuu CUF Wilaya Uyui na Mashaka Said Lintu Aliyekuwa...
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaotokana na Umoja wa Vijana wa CCM Zanzibar, walifika katika chuo Cha Umoja wa Vijana Tunguu Kwaajili ya Uvunaji wa mabilinganyi na pilipili Boga Kwa...
Wasalaam
Nimesikiliza interview ya Ezekiel Wenje iliyofanyika wasafi fm nikagundua kuwa huyu mtu ni nusu mfu na anachowaza ni ruzuku tu na madaraka. Asema eti Abdul ni mtu muungwana sana na...
Huu ni mfano mzuri wa hali ya kushangaza katika usafiri wa umma! Kuendesha basi kutoka Mbeya hadi Dodoma na kurudi tena siku hiyo hiyo ni kazi ngumu sana. Inashangaza kuona dereva anafanya safari...
Wanabodi,
Wizara yoyote ni muhimu katika suala zima la kutoa huduma kwa wananchi na kuleta mageuzi yenye ubunifu kwenye maendeleo ya jamii. Hii ndiyo ingetakiwa kuwa kauli mbinu ya wizara yoyote...
Mheahimiwa, inatosha. Utakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani.
1. Utawapa meno na uthibitisho...
Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa...
The link is on his bio click it and it'll open a browser, select "sports creator of the year " category, scroll down until you see @zerobrainer0 then VOTE NOW
https://vm.tiktok.com/ZMkSX5WBV/
Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority (MUWSA) imejikita katika masuala ya huduma za maji na usafi, lakini kuna maswali mengi yanayojitokeza kuhusu uamuzi wao wa kuwafungia wateja wa...
CCM wamshauri Freeman Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti kwa mara ya tano kwani kutofanya hivyo kutapelekea CHADEMA kufa.
Hakika mara hii CCM wamekuwa waungwana hata kutaka kuzuia CHADEMA...
Utangulizi
Wilaya ya Chunya, iliyopo katika Mkoa wa Mbeya, ni miongoni mwa maeneo yenye rasilimali nyingi lakini yanakabiliwa na changamoto mbalimbali.
Katika Kata ya Matundasi, vijiji vya...
Mnakaa na Samia mnapanga hadi mgombea Urais mwakani, licha ya safu ya uongozi wa chama.. ili mumpe unafuu wa kisiasa.
Alafu sisi huku Malampaka tuna matumaini ya Katiba Mpya.. na tuko tayari...
Sera ya serikali katika huduma ya Afya ni kuwa wanawake wajawazito watatibiwa bure ni kama danganya toto. Mfano wa kusikitisha ni wa marehemu Husna Saidi Abdallah aliyejifungua katika Hospitali ya...
Chadema wanamuogopa Tundu Lisu hadi Maaskofu na Mashehe wanashangaa kulikoni
Huu uoga wa Chadema dhidi ya Mwanachama mwenzao tena Kiongozi unatoka wapi?
Kuna Siri gani?
Nimekaa pale 🐼
Hakika wanachadema mpo kwenye wakati mgumu kuliko wakati mwingine wowote ambao mmepitia kama Chama
Kuna viongozi wengi na wanachama wenu wengi wameondoka kutokana na sababu moja au nyingine lkn...
..Huyu bwana ni mwanasiasa tofauti sana, na wa aina yake miongoni mwa wanasiasa waliokuwepo, na waliopo.
..Tundu Lissu ni mtu aliye moto muda wote. Hakuna kipindi yuko wa vuguvugu, au wa baridi...
Katika halmashauri za manispaa za hovyo hapa nchini nadhani ile Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza.
Nilikuwa huko kwa mapumziko ya sikukuu na nimejiuliza jee huko TARURA wapo kweli? Na jee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.