Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nauliza tu Kwa sababu hapa naziona Salam za Komredi Kawaida wa UVCCM Chadema vipi this year? Au Mimi ndio sijaziona mitandaoni? 😂
2 Reactions
6 Replies
287 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kujenga chama siyo lelemama,siyo kazi nyepesi wala rahisi wala kazi ya Mzaha mzaha.kujenga chama na kuwafikia wanachama na kutafuta wanachama wapya na kueneza sera...
1 Reactions
77 Replies
2K Views
Naona sasa mwaka wa Uchaguzi umewadia na mambo yamekuwa mengi kweli kweli. Wanasiasa wengine wanaenda kutafuta malisho ya kijana kibichi =================== Wanachama 18 wa Chama cha Demokrasia...
1 Reactions
4 Replies
506 Views
KADA wa CCM mchungaji Msigwa hivi karibuni atazungumza na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi uwongo mwingi aliozungumza Mwenyekiti wa chadema Kanda ya Victoria Mh Wenje Taarifa Ukurasani X...
2 Reactions
13 Replies
813 Views
Heri ya mwaka Mpya Makamanda wa Chadema Ni mwaka wa Uchaguzi na nyie mmeshagawanyika Ili CCM ipite kiulaini hapo KATIKATI yenu Mbarikiwe sana, amen 😀
4 Reactions
5 Replies
285 Views
Iringa ni mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania, kati ya latitudo 6.540 na 100, na longitudo 33 na 37° Mashariki. Mkoa huu unachukua eneo la kilomita za mraba 58,936. Iringa ni mji wenye...
1 Reactions
0 Replies
970 Views
Baba Levo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa; Nimeiangalia GAME Kwa Upana Wake NA Kuangalia Kipato Cha Msanii Mmoja Mmoja Nimegundua Vitu Vitatu ..! 1 MZIKI HAUNA NGUVU YA KUKAA...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Hivi kweli Kuna mtanzania hata Mmoja ANAE mwamini Dr Slaa na Tundu Lissu kwenye ungano lao la kumg'oa Mbowe chadema linatija kwa Taifa? Kama kweli mpo nawaweka madhabauni kwa bwana Mungu...
2 Reactions
21 Replies
900 Views
HISTORIA YA MKOA WA TANGA Mkoa wa Tanga ni moja kati ya mikoa 31wenye eneo la 27,348 km² na upo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania ukipakana na Kenya upande wa Kaskazini, Bahari Hindi upande wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndio taarifa za Wazee wa Kikinga kabla hawajaondoka mahakamani jana kuelekea Lupila Makete kwa tambuko Maalum Wazee hao wamemshukuru sana Mdude Nyagali kwa jinsi alivyompambania George Sanga na...
5 Reactions
5 Replies
337 Views
Wakuu, Wale wana CHADEMA ambao mnahisi Mbowe hatoshi kuongoza chama chenu mna salamu zenu huku kutoka kwa Dr Aikande ambaye ni mwanachama maarufu. Kwa logic hii maana yake pia CHADEMA mtafute...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Siyo Sahihi kumwambia Tundu Lisu eti ahame Chadema kwa Sababu hakuiasisi Prof Lipumba hakuiasisi CUF alihamia tu lakini Leo ndiye nguzo ya Chama Vivyo hivyo Kwa Sasa Tundu Antipas Lisu ndiye...
1 Reactions
1 Replies
299 Views
Happy new year . Leo napenda kutoa ushauri mdogo Kwa vyama vya siasa hasa Chadema ambao wamekuwa wakipambana na kujaribu kuingia madarakani. Katika siasa kinachohitajika zaidi sio Good plan...
5 Reactions
12 Replies
532 Views
Mi nina wito sana wa kuwa nun ila baba yangu mzazi ni padre na hataki ajurikane kama yeye ndo baba yangu. Sasa nikituma maombi si lazima details zangu zote wazijue? Na je itakuwaje
1 Reactions
4 Replies
242 Views
WanaJF, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Katavi ni 1,152,958; wanaume 569,902 na wanawake 583,056. Mkoa wa Katavi una Halmashauri tano (5) na...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Inasikitisha sana Mtu kusema Kupewa Ruzuku ni Matunda ya Maridhiano yaani tumeiweka mbele Fedha kuliko UTU Analia Dr Lwaitama Ukurasani X Heri Mtu aliye Huru kuliko aliyepewa Jengo Happy New...
0 Reactions
3 Replies
296 Views
Mojawapo ya jukumu la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha Amani na utulivu unatamalaki. Mkoa wa Arusha uliwahi kusifika kwa uhalifu na hususani uhalifu nyakati za sikukuu na nyakati za usiku. Kwa mara ya...
3 Reactions
11 Replies
629 Views
Naona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha! Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Kama kuna kiongozi aliekuwa anawakemea watawala wanapoboronga tens hadharani, basi Nyerere alikuwa kiboko. Kama kuna kiongozi aliekuwa anakemea rushwa ndani ya chama chake(CCM) tena hadharani...
1 Reactions
2 Replies
235 Views
Back
Top Bottom