Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 6,206
- 5,074
Kumekua na Mkakati wa Vyama 7 kuungana na kumsimamisha Mgombea Urais uchaguzi mkuu wa October
Duru za Ndani zinasema Vyama Hivyo Tayari wapo kwenye hatua za mwisho kutangaza kumuunga mkono Mgombea atakayependekezwa.
Za ndani zaidi zinadai Vyama Hivyo Vinamvizia Luhaga Mpina kuwa mgombea wao
Wale wa No Reform No Election tusbiri kama awajaunga Tela.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siasa ya mwaka Huu mkurupukaji laazima abaki kubweka inahitaji akili na sayansi ya haswaa.
NB: Uchaguzi ni Takwa la Kikatiba Je Katiba itazidiwa Nguvu na Chadema?
Duru za Ndani zinasema Vyama Hivyo Tayari wapo kwenye hatua za mwisho kutangaza kumuunga mkono Mgombea atakayependekezwa.
Za ndani zaidi zinadai Vyama Hivyo Vinamvizia Luhaga Mpina kuwa mgombea wao
Wale wa No Reform No Election tusbiri kama awajaunga Tela.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Siasa ya mwaka Huu mkurupukaji laazima abaki kubweka inahitaji akili na sayansi ya haswaa.
NB: Uchaguzi ni Takwa la Kikatiba Je Katiba itazidiwa Nguvu na Chadema?