Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hapa nawapa baadhi ya dondoo za hotuba yake ambayo itawekwa hapa jamvini baadae kidogo. URAIS WA KIFALME NA UHURU WA MAHAKAMA Mheshimiwa Spika, Kwa muda wote wa uhai wetu kama taifa huru...
15 Reactions
74 Replies
11K Views
Japo kume kuwepo na watu wenye elimu kubwa na akili ambao wamepitia mabadiliko hayo. Kwa hiyo si sahihi kusema ni watu wasiojielewa na wasio na elimu tu lakini kwa Tanzania kumekuwa na wimbi...
0 Reactions
2 Replies
107 Views
Januari 10, 2026, Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Uyole, Spika Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Mhe. Dkt...
0 Reactions
7 Replies
155 Views
Wajuvi wa mambo wanasema ndio sababu kubwa ya kuwateua Dr. Mpango na Majaliwa na Kabudi kuwa washauri wake. Soma Pia: Dkt. Malisa awafungulia Kesi Rais Samia na IGP Wambura Mahakama ya Kimataifa...
16 Reactions
96 Replies
3K Views
Tangu kuja kwa Serikali ya Samia inaonekana kana kwamba kuna juhudi za makusudi za kuharibu uhusiano wetu na Kenya na Wakenya. Machafuko yaliyotokea Tanzania tangu Oktoba 29 mwaka jana...
3 Reactions
12 Replies
315 Views
Uzi wangu uliopita umefuta, ila lazima haki ipiganiwe Mnakumbuka hii picha kwenye hii ziara Matokeo yake ni kuwa Manchester United ilipewa tender ya karibu dola million 19 sawa na TZS...
0 Reactions
2 Replies
156 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya...
3 Reactions
72 Replies
853 Views
Puuzi so.called Waziri wa Mambo ya Nje Anampongeza kwa kupata asilimia 98. Hakuongelea mauaji yaliyotokea 29.10.2025. Huyu ndiye adui wetu!
3 Reactions
12 Replies
271 Views
Wanajua yote yanayoendelea mradi wa Mwendokasi kua; Emirate wamewekwa kama bortion lakini nyuma ya pazia yupo Mwanae Wanajua kua anae endesha mradi wa mwendokasi wasasa hivi anakula na baadhi ya...
11 Reactions
23 Replies
524 Views
Wiki iliyopita nilikuwa Kigoma katika pitapita zangu nikapita katika Barabara hii ipo Kijiji cha Matyazo, Wilaya ya Kigoma Vijijini, Barabara hiyo kutoka Kalinzi hadi Matyazo ndiyo njia kubwa ya...
0 Reactions
3 Replies
165 Views
  • Redirect
Maisha ni fumbo kubwa sana. Uzi tayari
0 Reactions
Replies
Views
Mbunge wa Peramiho Jenister Joachim Mhagama amefariki leo asubuhi. Alianguka ghafla kisha kupelekwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Alifariki kwa sasa mwili umepelekwa Benjamin Mkapa...
25 Reactions
420 Replies
18K Views
Japokuwa ni wachache waliofanya huu upuuzi. Lakini kwa ujumla Gen Z ni kizazi cha hovyo kabisa hapa nchini. Yaani mtihani wa taifa mtoto anajibu matusi ya nguoni!
2 Reactions
20 Replies
398 Views
Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita ameanza ziara yake ya siku saba kwenye majimbo ya mikoa ya Dar es Salaam, jana tarehe 10 januari amekutana na kufanya mkutano...
1 Reactions
6 Replies
203 Views
Hakuna namna ya kuficha ukweli huu kwa mapambo ya maneno: udhaifu wa Rais wa sasa unatokana moja kwa moja na ukweli kwamba hana uhalali wa kisiasa wala wa kimaadili. Huyu si Rais wa ridhaa ya...
22 Reactions
20 Replies
643 Views
Watu wanafikiri kuasi au waasi ni kwa jeshi tu hapana muasi anaweza kuwa mwanasiasa rais, mbunge au diwani Sasa lazima tujue rais anapogeuka muasi na kiburi dhidi ya nchi tunamchukulia hatua gani...
2 Reactions
2 Replies
74 Views
Wanabodi, Kwanza nijiunge na Watanzania wenzangu, kumpongeza Rais wa JMT, Rais Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Zanzibar, Dr, Husein Mwinyi, kwa Zanzibar kutimiza miaka 60 ya Mapinduzi ya...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom