Hapa nawapa baadhi ya dondoo za hotuba yake ambayo itawekwa hapa jamvini baadae kidogo.
URAIS WA KIFALME NA UHURU WA MAHAKAMA
Mheshimiwa Spika,
Kwa muda wote wa uhai wetu kama taifa huru...
Japo kume kuwepo na watu wenye elimu kubwa na akili ambao wamepitia mabadiliko hayo.
Kwa hiyo si sahihi kusema ni watu wasiojielewa na wasio na elimu tu lakini kwa Tanzania kumekuwa na wimbi...
Januari 10, 2026, Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Uyole, Spika Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Mhe. Dkt...
Wajuvi wa mambo wanasema ndio sababu kubwa ya kuwateua Dr. Mpango na Majaliwa na Kabudi kuwa washauri wake.
Soma Pia: Dkt. Malisa awafungulia Kesi Rais Samia na IGP Wambura Mahakama ya Kimataifa...
Tangu kuja kwa Serikali ya Samia inaonekana kana kwamba kuna juhudi za makusudi za kuharibu uhusiano wetu na Kenya na Wakenya.
Machafuko yaliyotokea Tanzania tangu Oktoba 29 mwaka jana...
Uzi wangu uliopita umefuta, ila lazima haki ipiganiwe
Mnakumbuka hii picha kwenye hii ziara
Matokeo yake ni kuwa Manchester United ilipewa tender ya karibu dola million 19 sawa na TZS...
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya...
Wanajua yote yanayoendelea mradi wa Mwendokasi kua;
Emirate wamewekwa kama bortion lakini nyuma ya pazia yupo Mwanae
Wanajua kua anae endesha mradi wa mwendokasi wasasa hivi anakula na baadhi ya...
Wiki iliyopita nilikuwa Kigoma katika pitapita zangu nikapita katika Barabara hii ipo Kijiji cha Matyazo, Wilaya ya Kigoma Vijijini, Barabara hiyo kutoka Kalinzi hadi Matyazo ndiyo njia kubwa ya...
Mbunge wa Peramiho Jenister Joachim Mhagama amefariki leo asubuhi. Alianguka ghafla kisha kupelekwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Alifariki kwa sasa mwili umepelekwa Benjamin Mkapa...
Japokuwa ni wachache waliofanya huu upuuzi. Lakini kwa ujumla Gen Z ni kizazi cha hovyo kabisa hapa nchini.
Yaani mtihani wa taifa mtoto anajibu matusi ya nguoni!
Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita ameanza ziara yake ya siku saba kwenye majimbo ya mikoa ya Dar es Salaam, jana tarehe 10 januari amekutana na kufanya mkutano...
Hakuna namna ya kuficha ukweli huu kwa mapambo ya maneno: udhaifu wa Rais wa sasa unatokana moja kwa moja na ukweli kwamba hana uhalali wa kisiasa wala wa kimaadili. Huyu si Rais wa ridhaa ya...
Watu wanafikiri kuasi au waasi ni kwa jeshi tu hapana muasi anaweza kuwa mwanasiasa rais, mbunge au diwani
Sasa lazima tujue rais anapogeuka muasi na kiburi dhidi ya nchi tunamchukulia hatua gani...
Wanabodi,
Kwanza nijiunge na Watanzania wenzangu, kumpongeza Rais wa JMT, Rais Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Zanzibar, Dr, Husein Mwinyi, kwa Zanzibar kutimiza miaka 60 ya Mapinduzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.