Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akiongea Star TV kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Prof Tibaijuka anayejinadi kama mtu wa hoja amesema kuwa wakati wa sakata la Escrow hakusema hela ile (1.6 bil) ni ya mboga Bali wabaya wake...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Raisi anapoapishwa, anatamka kwa namna iliyo wazi sana kwamba ataulinda muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), na hiki ni kipengele kikubwa sana cha kiapo chake. Raisi ana mamlaka...
0 Reactions
4 Replies
125 Views
Na bado watazomewa sana mpaka uchaguzi upite tutashuhudia mengi. ================================ Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka jana alijikuta kwenye wakati mgumu baada...
5 Reactions
203 Replies
32K Views
Aliekuwa waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi na mbunge wa jimbo la muleba kusini prof.Anna Tibaijuka na kisha kufukuzwa uwaziri kwa kashifa ya ESCROW amekuja na pesa hizo na kuanza...
4 Reactions
42 Replies
7K Views
Hizi ndo akili za CCM. Yaanni wenzao wanafanya mikutano, CCM wanamalizia hasira za kukataliwa kwenye vizimba. CCM wana roho ya Uharibifu. CCM imeshashindwa siasa, imebaki kuwa kikundi cha Maovu
1 Reactions
9 Replies
195 Views
Sijajua bado, kwanini mtu licha ya kusoma sana lakini bado anakuwa na akili za kufikirika ambazo zimekosa mental autonomous, Mtu anajua kabisa chadema hawana hoja za kwann wapigiwe kura lakini...
6 Reactions
67 Replies
1K Views
Wadau ni mda mrefu sasa kumekua na habari mtaani.Kwamba Cuf au Maalim Self wakipewa Nchi ya Zanzibar .Wale waarabu na Ukoo wa Sultan watarudi kuitawala tena Zanzibar.Na hii ndio sababu CCM hawako...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Accession of the Sultanate of Zanzibar to the United Nations in 1963 and The speech given by Prime Minister of the Sultanate of Zanzibar in the United Nations in 1963
1 Reactions
8 Replies
2K Views
MTATIRO AZINDUA "WIKI YA KAZI" WILAYA YA SHINYANGA, AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA NA KUSHIRIKI KIKAMILIFU. == Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Julius Mtatiro, anaanza rasmi Wiki ya Kazi...
8 Reactions
69 Replies
741 Views
CHADEMA NA SWALI LA MCHANGO WAKE KATIKA MAENDELEO YA TAIFA: MTIZAMO WA KIKOSOAJI === Katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kila chama hupimwa kwa uwezo wake wa kutoa mchango chanya katika...
3 Reactions
40 Replies
450 Views
“Is Tanzania shifting toward Russia as a new foreign policy or cooperation strategy after President Samia’s recent Russia visit?” — the short answer is: Possibly yes, but not as an exclusive...
4 Reactions
8 Replies
252 Views
Nacheka na inashangaza kuona namna wabongo wengi kwa sasa badala ya kuiga maisha na megacy za machifu au wazee wa mila wao wanaiga maisha ya miaka ya 70s au 80s ya walami. Karibuni kwa mjadala
0 Reactions
10 Replies
119 Views
Mwaka 2030 January Makamba ni mgombea wa CCM!!! Sijasema atakuwa raisi maana kazi itakuwa ngumu kutokana na kwamba tutakuwa na Katiba Mpya ambayo italeta ugumu kwa CCM !!!! Mheshimiwa Polepole...
29 Reactions
131 Replies
11K Views
SERIKALI KUJENGA UWANJA WA KIMATAIFA MWANZA ▪︎ Dkt. Mwigulu asema Serikali imejipanga kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa ▪︎ Asema Mwanza itaendelea kuwa kitovu muhimu cha shughuli za...
2 Reactions
6 Replies
187 Views
Mange Kimambi, mmoja wa wahamasishaji wakuu wa maandamano makubwa yaliyopelekea umwagaji damu Oct 2025, amewashutumu CHADEMA kwa kuendesha mikutano "yenye vibe" za miziki ya bongo fleva ikiwemo...
5 Reactions
23 Replies
522 Views
Mpaka pale Bunge Litakapopiga Kura Rasimi , ndio atakuja kusema 'wale ni mabeberu, tutaendesha NCHI kwa Kodi zetu'. Jamaa alivyo , Utetezi wake kwa Hatua ambazo MAREKANI na Ulaya wamekua...
6 Reactions
10 Replies
229 Views
Tanzania SIYO Monarchy. Ukisha tambua hilo, lazima uwe Mnyenyekevu. governments derive their legitimacy ONLY from the consent of the governed. In a democratic republic, "Rebellion becomes a...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, amesema anathamini kwa kiwango kikubwa uongozi wa Rais wa Samia Suluhu Hassan, akisema umekuwa chanzo cha hamasa na msukumo katika safari yake ya uongozi...
1 Reactions
10 Replies
188 Views
Mara zote tuliwaasa kusimama na maslahi ya watu yaani kuzisemea shida za watu na kuja na sera mbadala kwa ajili ya watanzania. Chadema ilihama kutoka kuwa chama cha upinzani kwa maslahi ya...
0 Reactions
11 Replies
161 Views
Ukiona jambo lolote linapiganiwa na viongozi wa CHADEMA ujue linawagusa. Hebu tuangalie mfano huu. Kuna askari usu wa wizara ya maliasili na utalii, Askari wa TFS, TAWA, NGORONGORO, TANAPA . Kwa...
0 Reactions
10 Replies
155 Views
Back
Top Bottom