Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam. Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Hii ni baada ya mwamba kukomaa ki Yoweri Kaguta Museveni: Kwamba wajumbe hawa, ambao wengi wao nao ni watia nia kwenye ubunge na udiwani uchaguzi mkuu 2025, wajue bila watu, kura zao zinabeba...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika. Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena: Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja...
12 Reactions
148 Replies
4K Views
Jamani mimi nasema wale tunamsema vibaya Mh Rais nakumbeza mnaleta laana kwa wale tunao ona haya mambo mazito anayatenda. Kwa hakia siwezi kuweka adharani ila Mh Rais Magufuli ni zawadi ya Mungu...
2 Reactions
6 Replies
830 Views
Kumekuwa na hali mbaya sana ktk taifa jambo ambalo kwa wenye busara zetu nilazima tuseme. Kwanza niseme rais hajakataa kukosolewa ila aina ya vile watu sasa wanamkosoa rais haijawahi tokea popote...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Wakuu, Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo. ===== UPDATES...
43 Reactions
1K Replies
215K Views
Sikiliza hotuba za wanaCCM wanaopiga kelele kitaluni kukosoa miradi ya Magufuli kisha nenda katafute file zao ndipo utagunduwa this time akili kubwa ipo ikulu na akili ndogo zilizobebwa mpaka...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi. Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake...
15 Reactions
68 Replies
3K Views
DEMOKRASIA NA NCHI MASIKINI Leo nakuja tena na hii mada. Kwanza ijulikane kuwa hakuna nchi masikini imewahi endelea ikIwa chini ya demokrasia. Ukifutilia historia utaona kuwa hakuna nchi imewahi...
29 Reactions
292 Replies
6K Views
( 1) Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, anaonekana kama Wizara ya Fedha ni mali yake na ni kama aliyemteua kapigwa upofu huyu mtu ni hatari sana katika kusimamia mambo ya fedha za nchi na Kuna...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Barua ya Wazi kwa Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi, Kuhusu Kutekwa Kwangu Nikiwa Ndani ya Gari la Mwenyekiti wa UVCCM, Bariadi Ndugu Katibu Mkuu, Amani iwe nawe! Ni imani yangu kuwa barua...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Hana uchungu na chadema, na huenda hata kadi yake ya uanachama hajailipia kwa kipindi kirefu sana. Infact, Kibaraka ni mchoyo na mbinafsi asiependa kutoa bali kupokea tu, tena kwa kuombaomba...
1 Reactions
60 Replies
2K Views
MUACHENI NTOBI AWE NTOBI! 🤣 https://x.com/Ntobi_/status/1874401704751296703 Sisi wasukuma, hasahasa wale wanaotoka viunga vya himaya ya Mkuu Ntobi, ni watu tunaopendelea sana utani na ukituvagaa...
1 Reactions
12 Replies
687 Views
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje? Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake. Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika"...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Mungu aifanye roho ya Freeman Mbowe kuwa yenye kuridhika - Mungu anapomuinua Tundu Lissu aifanye njia yake ya uongozi kuzingatia:- * Kutozidisha miaka 10 katika uongozi huo; * Kuamini kuwa...
9 Reactions
19 Replies
779 Views
Kuna maswali mengi yanayozunguka suala la utaratibu wa kisheria unaohusiana na kukodishwa kwa bendi ya Chuo cha Polisi Moshi ili kuperform kwenye maeneo ya burudani kama vile bar za watu binafsi...
3 Reactions
8 Replies
807 Views
Huyu Wenje amejidhihirisha kuwa ana kazi Maalum ndani ya CHADEMA. Kwanza yeye ndiye kamleta Abdul CHADEMA. Mivurugano yote unayoiona kwa Sasa imeletwa na Wenje baada ya pesa za Abdul kuingia...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuongoza chama kikuu cha Upinzani Nchini kama CHADEMA inahitaji moyo,inahitaji ujasiri,inahitaji kujitoa na kujitolea muda na rasilimali zako kwa ajili ya kukijenga chama...
2 Reactions
84 Replies
2K Views
Chama Cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimepiga marufuku wanachama wa chama hicho kujipitisha na kutoa zawadi,misaada au kitu chochote katika kipindi hiki bila kuridhiwa na vikao halali vya chama...
1 Reactions
7 Replies
351 Views
DODOMA: WATUMIAJI wa bidhaa za mafuta ya petroli nchini wameuanza mwaka mpya wa 2025 kwa shangwe ya kuendelea kupata unafuu bei za bidhaa hizo kwa mwezi Januari 2025. Taarifa iliyotolewa na...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom