Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba, Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa...
1 Reactions
14 Replies
894 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
𝐓𝐋𝐒 𝐘𝐀𝐋𝐀𝐀𝐍𝐈 𝐑𝐔𝐒𝐇𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 U𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐙𝐈 WA 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈 WA 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimetoa tamko rasmi kulaani vitendo vya rushwa vinavyoendelea katika uchaguzi wa ndani wa...
2 Reactions
15 Replies
738 Views
Wakuu, 1. Isack Francis Mtinga - MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI Tarehe ya Uchaguzi (2020): Alipata kura 35,457 Elimu Shahada ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine (1999-2003)...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyerere Julius hakupenda kilichokuwa kinaendelea Ikulu wakati wa Mwinyi. Akasema ni mahali patakatifu. Kulikuwa na minongono mtaani, redio mbao for that matter kuwa anataka "kumpindua" Mwinyi...
0 Reactions
2 Replies
381 Views
Ikumbukwe mwaka jana yalitokea mauji ya aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo kule Iringa. Sasa basi, kutokana na kuuliwa kwa dada yule, Viongozi mbalimbali wa CCM Mkoani humo wanashikiliwa na...
1 Reactions
7 Replies
618 Views
Wananchi 495,552 wamenufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Legal Aid inayoratibiwa na serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria. Lengo ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki...
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Huu uchaguzi haukupaswa kusimamiwa ngazi ya kitaifa kupitia TAMISEMI kama vile ambavyo imekuwa inafanyika au hata kupitia Tume Taifa ya uchaguzi kama ambavyo CHADEMA wanahitaji kuwa hivyo. Huu...
0 Reactions
1 Replies
444 Views
Alute Munghwai, kaka wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameeleza kuwa ni muhimu kurekebisha katiba ya chama hicho baada ya uchaguzi wa ndani ya chama. Pia, Soma: Sijawahi kumsikia Mbowe...
1 Reactions
3 Replies
548 Views
Uchaguzi wa mwaka 2015 ni miongoni mwa chaguzi ngumu kuwahi kutokea nchini ukiacha ule wa 1995. EL alimkaba vilivyo JPM mpaka akakosa usingizi. Bajeti ya kampeni ya CCM ilipwaya kwa mchaka mchaka...
75 Reactions
201 Replies
22K Views
Tunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM.. Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili. Mwenyekiti...
121 Reactions
265 Replies
25K Views
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini , ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe...
19 Reactions
135 Replies
5K Views
Hii ndio Habari mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, kwamba yule Nesi Mwamba aliyehakikisha Lissu anaendelea kupumua amekutana na Tundu Lissu Jijini Dodoma. Pamoja na mengi yaliyozungumzwa kati...
49 Reactions
342 Replies
18K Views
Kama tunavyofahamu vigogo watatu wa SSC,Evans Aveva,Hans Poppe na Geofrey Nyange Kaburu walikuwa na kesi inayowakabili mahakamani. Kesi yenyewe ni kutoa taharifa za uongokuhusiana na malipo ya...
40 Reactions
153 Replies
12K Views
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inasambaza mitungi ya gesi 13,020 mkoani Shinyanga. Mitungi ya gesi ya kilo 6 yenye thamani ya shilingi milioni 545.538, Itasambazwa kwa bei...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Wakuu Uchaguzi unapamba moto == Ni siku chache zimepita toka Wenyeviti wa CHADEMA kujikusanya na kumshawishi Freeman Mbowe kugombea nafasi ya uenyekiti kwa mara nyingine Hali imekuwa tofauti...
2 Reactions
4 Replies
526 Views
Wanabodi, Baada ya rais Magufuli kuombea malaika watoke mbinguni kuja kuifunga mitandao ya kijamii yenye uongo na Uzushi kama humu jf, wana mitandao wote resiponsible hatuna budi kuunga mkono...
17 Reactions
93 Replies
14K Views
Erick Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi anayeheshimika, ametoa kazi ya kipekee katika kitabu chake kipya kinachotarajiwa, In the Name of the President: Memoirs of a Jailed Journalist...
4 Reactions
4 Replies
952 Views
Kuna watu wengi waliwahi kuaminishwa Tanzania iko au imewahi kuwa katika vita vya uchumi au inafanyiwa figisu za uchumi na majirani zake, mataifa ya nje na kampuni za kimataifa. Ukweli ni kwamba...
1 Reactions
2 Replies
310 Views
Muda wa kulipa mchango wa ghalama za uchaguzi (dead line) bado. Kwa nini Mbowe akimbilie kulipa zaidi ya kiwango alichopangiwa?. Hiyo ni rushwa. Nashauri arudishiwe na kama kutakuwa na ulazima...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Back
Top Bottom