Kiukweli hapa Kawe hii nyomi Sijawahi kuiona popote Dar es salaam
Watu ni wengi wengi mno
Nadhani asubuhi kutakuwa na foleni sana barabarani
Wengine Wana kanzu na baragashia Jami ya akina...
Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukoloni na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na...
Hii ni picha halisi.Hapo ni wodini,hospitalini. Hivi ndivyo tunavyothaminiana linapokuja suala la afya.Tumeshafika.Sasa tusijiulize tena kwamba tumefikaje hapo.Cha kujiuliza sasa ni jinsi...
Mheshimiwa popote ulipo,tambua tu hivi sasa wewe na timu yako kwa pamoja mnaandika kitabu huku wewe ukiwa ndio kiongozi wa jopo la waandishi,Mhariri Mkuu na Mmiliki pekee wa kitabu hicho ambacho...
Kama Nchi zilizoendelea watu wanagombea vyeo na madaraka ya Kisiasa ,Kuna ubaya gani hapa Tanznaia kina Mbowe,CCM na wengineo wakihombea madaraka na kukataa kuondoka madarakani?
Sio tuu huko...
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki na viti mwendo (wheelchairs) 100 kwa watu wenye uhitaji...
Kama siyo Mchungaji Msigwa kuhamia CCM Watanzania wangependelea Kudanganywa kuwa Chadema ni Chama halisi cha upinzani wakipigie KURA October
Ahsante Mchungaji Msigwa tunaomba utueleze na Habari...
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni...
Wanabodi
Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje...
Wakuu,
Eric Shigongo - MBUNGE WA BUCHOSA
Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Kura: 20,581
Mpinzani: Mwambino Julius Isack (CHADEMA) – 11,285
Elimu: Shahada ya Uhusiano wa Umma (Public Relations)...
Kwa niliyosikia akisema Erick Kabendera, halafu unasikia mtu anabeza maridhiano na kuyaita upuuzi. Taifa lote tusimame na kumpuuza kwa nguvu zote. Kama nchi, tumepiga hatua kubwa kutoka katika...
Nimemsikia mjumbe wa kamatikuu Ya Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) Na mwenyekiti wa kanda ya Victoria, Mh Ezekiel Wenje akiwa Wasafi kwenye kile kipindi kinacho muogopa Tundu Lisu...
Mwana mama jasiri asiyeogopa, Pamela Massay leo akichukua fomu ya kugombea nafasi ya katibu mkuu Bawacha taifa.
Amekemea rushwa adharani na ameapa kukomesha rushwa inayofukuta Bawacha.
Watu...
Kutokana na maelezo kupitia chanzo kimoja wapo cha habari. Kuna maelezo ameyatoa wenje nimehisi tofauti na mtazamo wa wengi ama laa mtoto wa Rais uwenda akawa na mamlaka makubwa kuliko ama sawa na...
MAONI YANGU
Tuna uzoefu mkubwa wa watu kuitikia michango inayoitishwa na Chadema katika kushghulikia wanachama/wapenzi wanaopata madhira kwa sababu ya kuwa upinzani. Tumeona ushirikiano mkubwa...
Huu ndio ushauri wangu kwani naamini kupitia mahojiano ya aina hiyo, Kabendera ataweza kufunguka zaidi na maelezo yake yatasaidia watu kupata picha halisi juu ya tuhuma hizi.
Sitegemei ataweka...
Napenda kutoa pongeze za dhati kabisa kwa niaba ya Watanzania wenzangu wapenda unadhifu kwa kambi ya jeshi ya makutopora-Dodoma kwa jinsi mnavyoipendesha barabara kuu ya Dodoma Arusha kipande cha...
Kawe pamoja na kuwa ni Makazi ya viongozi wa Serikali lakini Wananchi wa kawaida walipendelea zaidi mabadiliko
Ila sasa Upinzani umekufa Kabisa Kabisa
Happy New Year 😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.