Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga Mh Ntobi amesema Chadema iliasisiwa 2019 Ntobi hajarekebisha Kauli licha ya Wajumbe kuguna Chadema Kuna vituko sana 😄😄 Mimi niliingia Chadema 1993...
9 Reactions
25 Replies
988 Views
Nimepewa maono kuwa Rais ajaye baada ya Samia ni Inocent Bashungwa!! Ndoto imenionyesha jamaa akiapiswa mwaka ndio sijajua lakini maono yamesisitiza mara tatu kuwa baada ya Samia ni yeye.
18 Reactions
157 Replies
14K Views
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila...
92 Reactions
425 Replies
40K Views
Utekaji na Mauaji haya vingefanyika kipindi cha Magufuli kelele zingekuwa nyingi, ila kwa Samia tunapotezea Kwa sababu sio "dikteta" au hafoki foki jukwaani Soma taarifa hii uone polisi...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Haina ubishi kwamba kukamatwa kwa Erick Kabendera imekuwa pigo kubwa sana kwa Zitto Kabwe ambaye amekuwa akimtumia Erick kusambaza taarifa zake anazozitengeneza kwa lengo la kuishambulia Serikali...
28 Reactions
62 Replies
9K Views
Kamanda Mambosasa anasema: Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito...
8 Reactions
195 Replies
28K Views
Kugombea nafasi ya umakamo mwenyekiti chadema kwa John Heche ili ni pigo kubwa na baya sana kwenye kambi ya Mbowe na vibaraka wake. Hakika wakati ni ukuta huwezi kushindana na wakati bahati mbaya...
5 Reactions
9 Replies
848 Views
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa Mahakama ya Kisutu leo Anashtakiwa kwa makosa matatu chini ya sheria uhujumu Uchumi ambayo ni... 1. Kujihusisha na mtandao wa...
30 Reactions
651 Replies
61K Views
Kwa Ninachokiona hapa Mbowe hawezi kushinda kihalali kamwe, Na akishindwa kwa njia ya Kura atakua amedhalilika na ametoka kwa aibu ya kukataliwa na wanachama, na endapo atalazimisha ushindi wa...
2 Reactions
8 Replies
543 Views
Huyu kijana anaitwa Clinton, na kulikuwa na taarifa humu siku chache zilizopita kwamba amepotea na hajulikani alipo. Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba amepatikana akiwa hoi bin Taaban huko...
9 Reactions
153 Replies
9K Views
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake. --- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto...
16 Reactions
61 Replies
4K Views
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao? Ni wapi...
14 Reactions
31 Replies
2K Views
Chadema kinashuhudia minyukano ya wazi na hatarishi mno tokea kianzishwe. Unaweza kusema pasi na shaka, sasa kuna Chadema mbili. Mosi, Chadema ya Mbowe. Na pili, Chadema ya Lisu. Chadema hizo...
1 Reactions
8 Replies
501 Views
Mimi ni mmoja wa diaspora, nimeishi na kufanya kazi maeneo mengi tu nje ya nchi katika mataifa mbalimbali. Nilianza kutembea nje ya nchi kupitia safari za maskauti ambazo zilitupeleka huko nje...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali . Alisema huko ndani Chadema kunawaka...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
"Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama havui chama nguo kama wewe umepewa rushwa tukikuambia Raidhan (mwandishi wa Jambo TV) umepewa rushwa tunashambulia Jambo TV? tunakushambulia wewe...
2 Reactions
5 Replies
369 Views
Tulishasema mwaka jana mwezi wa kwanza kwamba misimamo mikali itaingia kama demokrasia ikipuuzwa na yameanza kutimia. Kuna watanzania vijana wengi nje na ndani ya vyama hawapendwezi na mwenendo wa...
1 Reactions
3 Replies
332 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche akizungumza kwenye mkutano na wanahabari tarehe 5 Januari, 2024 katika ukumbi wa Nyakahoja uliopo jirani kabisa na ofisi za Halmashauri ya Jiji la...
4 Reactions
7 Replies
745 Views
Mchakato wa awali wa kura za maoni Rombo katika kinyang'anyiro cha ubunge jimbo la Rombo umekamilika. Ingawa kura za awali zilizopigwa na wajumbe hazikutosha lakini ili mchakato huu ukamilike ni...
29 Reactions
108 Replies
10K Views
-Naona dalili za hofu na kupanic tu hata kabla hajachukua fomu makumi ya watu wameingiwa na hofu, wivu, hasira na chuki huku mamilioni ya Vijana tukiwa nyuma yake. -Tutaendelea kumpigania na...
7 Reactions
92 Replies
21K Views
Back
Top Bottom