Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati maalim seif aliposhindwa vita vya kisiasa na Lpumba alitumia msemo huu, "shusha Tanga, pandisha Tanga" "ulipo tupo" Hili alifanikiwa na kumwachia jengo tupu Lipumba. Leo Zanzibar yote cuf...
13 Reactions
87 Replies
3K Views
Kila mtu anahaki kupenda anachotaka. Wazungu wamesema Everyone has the right to love what they want. Lkn kitendo cha kujitosa mzima mzima tena kwa nguvu sana ktk uchaguzi wa chadema kipindi hichi...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Wakuu Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge wao Mrisho Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nawaza tu maana sikumbuki uchaguzi ambao Freeman Mbowe aliwahi Kushinda kiushindani Kwenye Chaguzi za Ndani Hata tulipokuwa Bavicha aliteuliwa tu na Mzee Shanga kuwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa...
2 Reactions
4 Replies
413 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC- Organ), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
4 Replies
462 Views
Kwenye historia ya vita na mahusiano ya kimataifa, kuna nadharia inaitwa “Thucydides Trap” ambayo utumika kuelezea ulazima wa kutokea mgogoro au vita endapo taifa linalochipukia linapotishia...
12 Reactions
54 Replies
5K Views
Wakuu, Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani? Naona Wenye anatumia nguvu nyingi...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Narudia kuuliza mara Kwa mara, Abdul mpaka kufunga safari kwenda Tegeta kwa Lissu akitokea Ikulu akiambatana na jamaa yake Wenje. Lengo hasa la Abdul ni nini au atanufaika vipi kupigania kwa mama...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Mnyika alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kutekwa kwa Mohamed Kibao ndani ya Dk kumi kama tangu kutekwa pale tegeta na kuelezea kwa undani sani tukio zima as if ni jambo alilolijua muda mrefu hadi...
2 Reactions
15 Replies
804 Views
Mwenge wa uhuru tunaambiwa kwamba unaleta amani pasipo na amani, unaleta tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki. Tanzania tumekuwa tukitumia mabilioni ya fedha za walipa Kodi kugharamia...
9 Reactions
36 Replies
1K Views
Wakuu salamu! Kwenye Ulimwengu huu unaobadilika ni vigumu sana kupanga mpango na ukaenda vyema kama ulivyotarajia.Nchi nyingi kubwa zenye taasisi serious za kiusalama hazijawah kuwa 100% correct...
1 Reactions
3 Replies
340 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche, amemshutumu Ezekia Wenje, akidai kwamba hali ya sasa ya chama imechangiwa na hatua zake. Pia, Soma: Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti...
14 Reactions
38 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Kwa walio fuatilia mdahalo huu ambao umetamatika usiku huu, binafsi haya ndiyo niliyofaelewa kutoka kwa wawakilishi wa wagombea wa nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa. 1. Wawakilishi Team Mbowe...
14 Reactions
139 Replies
6K Views
Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera) Ninaamini...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Kabendera sisi tunauelewa wa kutosha ni kweli unachuki na jpm lakini uongo huu uliouandika hauna tofauti na vitabu vya yericko nyerere mwenye elimu ya hapa na pale. Wote tunafahamu raisi ni...
16 Reactions
81 Replies
4K Views
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ? Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ...
3 Reactions
39 Replies
948 Views
Watanzania wengi wanahoji kama Uenyekiti wa Chadema tu ulimtoa Imani na kuondoa Ukomo wa Uongozi itakuwaje Siku akiingia Ikulu?! Wengi wanadhani ataondoa Mihula ya Rais Kwenye katiba na kufanya...
0 Reactions
1 Replies
181 Views
The 47 Most Prominent Tribes in Africa 1. Maasai (Kenya🇰🇪, Tanzania🇹🇿): Migrated from the Nile Valley between the 15th and 18th centuries AD. 2. Zulu (South Africa🇿🇦): Rose under Shaka Zulu in...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Heshima Mbele, Mbowe aifilisi NSSF *Adaiwa milioni 1,200, hataki kulipa *Atumia sheria kukwepa asifungwe *Adai iliyokopa ni kampuni si yeye na mwandishi wetu MWENYEKITI wa Chama cha...
2 Reactions
1K Replies
108K Views
Back
Top Bottom