Wakuu,
Kuonesha kwamba yeye ni kiongozi humble na ambaye ana maisha sawa na wananchi, Bashungwa ametinga mtaani na kwenda kula kwenye mgahawa mmoja maarufu
Nimpongeze Bashungwa kwa kwenda kula...
Wakuu,
Tunaposemaga kwamba CCM wameishiwa mbinu huwa tunaamanishaga mambo kama haya.
Kwa hiyo sasa hivi hadi wasanii wa Gospel na wenyewe wanaenda kuunga mkono juhudi.
Hizi ni dalili za chama...
Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya...
"Wapiga kura waliopiga kura halali za wabunge kwa mujibu wa taarifa ya tume ya uchaguzi walikuwa takribani milioni 11. 8 lakini ukienda kwenye matokeo ya uchaguzi ya kila jimbo katika nchi yetu...
Utawala gani wa kisiasa wa kuongoza watu ambao ni sahihi unaotakiwa na Mungu kati ya Demokrasia na Udikteta kulingana na maelekezo ya dini kubwa mbili za Ukristo na Uislamu?
Ndugu Spika wa Bunge,
Napenda kutoa ombi hili kwa heshima kubwa, nikitambua jukumu muhimu ambalo unalichukua katika kuhakikisha kuwa Bunge linatumika kama chombo cha uwakilishi wa wananchi...
Hotuba ya kuchoma kumoyo kutoka kwa Tundu Lissu.
Mh Mwenyekiti wa Chadema amewaomba kwa unyenyekevu watanzania wote wajiunge na Chama hiki kinachotetea Haki za Taifa.
Amemaliza kwa kusema Jambo...
"Katiba yetu ilivyoandikwa zile zinazoitwa haki za kikatiba zinaanzia Ibara ya 12 mpaka Ibara ya 29: Haki ya Kuishi, Haki ya kuwa huru, haki ya maoni, haki ya kushiriki shughuli za umma...
Serikali Imeendelea na Ujenzi wa Bwawa la Kidunda lililopo Wilaya ya Morogoro Vijijini mkoani Morogoro.
Mradi huu ulikuwepo kwenye mipango ya maendeleo tangu Tanzania ilipopata Uhuru mwaka 1961...
Tundu Lissu akijibu swali aliloulizwa na Mwandishi wa Habari aitwaye Elizabeti amesema kuwa yeye hana hadhi ya kuzungumza na Makamu Mwenyekitinwa CCM Mh. Steven Wasira.
Amedai kwamba Mh. Steven...
Akiwa anazungumza kwenye mkutano huko Geita Makamu mwenyekiti CCM, Stephen Wassira amesema kuwa CCM ni chama kikubwa hakiwezi kuamrishwa na 'Kibaka' kuhusu kauli ya 'No reform No election'...
Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.
Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
Wakili wa Kujitegemea, Joseph Mahando, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakikukiuka Katiba wala sheria yoyote kwa kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wake wa Urais katika Uchaguzi Mkuu...
DEMOCRATIC PROCESS ya CHADEMA imewaabisha sana..
Wassira kaja na hoja kwamba:
Mkutano Mkuu can do anything.
Hivyo, ikawatuma Halmashauri Kuu
- wakati Konde Boy na Zuchu na Ally Kiba...
Katika kipindi hiki cha wasiwasi na maswali, wananchi wa Moshi Manispaa, Mkoani Kilimanjaro wanashangazwa na kimya cha Kamanda wa TAKUKURU, aliyeshindwa kutoa maelezo kuhusu tuhuma za malipo ya...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche leo Jumatano Februari 12, 2025, anazungumza na wananchi wa Tarime
Fuatilia hapa kinachoendelea kutoka mjini...
Wakuu
Kila nikijaribu kufuatilia Siasa za Tanzania kwasasa naona Tundu Lissu, ndiye mtu mwenye mvuto na ushawishi zaidi nchini. Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa...
Tukae kwa kujiandaa kuwa anytime Marekani akitaka chochote at any time t anachukua mana tumeazimwa tu.
Hata hii hewa tunayovuta ni mali ya mmarekani.
Hata hii intetnet tunayotumia ni mali yake...
Au agenda iliyopo sasa ni kuwatembelea viongozi wastaafu tu?
Maana kazi kubwa mpaka sasa ambayo inafanyika ni ile ambayo wataalamu na wachambuzi wengi wa siasa za vyama vya siasa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.