Mke wa Tundu Lissu azungumza

Mke wa Tundu Lissu azungumza

Yeye kama mwanamke kusema anachoona si vibaya

Na mumewe kupitia anayoyapitia ni ulimbukeni tu wa uongozi hakukuwa na sababu ya yote haya

Lakini kwanini aseme sasa ndio jambo lenye mashaka.!

Yeye alikuwa na sababu na kusikilizwa muda wote wote wa mapito haya

Toka mapema angeweza kushawishi umma na uongozi bila kuchoka kwamba mwandani wake aachwe huru na angesikilizwa
 
Yeye kama mwanamke kusema anachoona si vibaya

Na mumewe kupitia anayoyapitia ni ulimbukeni tu wa uongozi hakukuwa na sababu ya yote haya

Lakini kwanini aseme sasa ndio jambo lenye mashaka.!

Yeye alikuwa na sababu na kusikilizwa muda wote wote wa mapito haya

Toka mapema angeweza kushawishi umma na uongozi bila kuchoka kwamba mwandani wake aachwe huru na angesikilizwa

Maneno na hisia vinawakikisha mengi, wapokeaji wengine watafurahi na kupongezana na wengine watasikitika kwa huruma

huyo ni mke wa mtu, ni mwanamke. Jiulize ni wanawake wangapi walipoteza watoto wao Oct29, ni wajane wangapi wanamisha ya shida baada ya tukio? Yatima na wategemezi wanapata shida gani kwa sasa

chuki inatamalaki wakati mtawala ni mwanamke. Huruma iko wapi? Nani atalipa gharama zote

Mungu yupo kwa watenda mema sio waovu
 
Yeye kama mwanamke kusema anachoona si vibaya

Na mumewe kupitia anayoyapitia ni ulimbukeni tu wa uongozi hakukuwa na sababu ya yote haya

Lakini kwanini aseme sasa ndio jambo lenye mashaka.!

Yeye alikuwa na sababu na kusikilizwa muda wote wote wa mapito haya

Toka mapema angeweza kushawishi umma na uongozi bila kuchoka kwamba mwandani wake aachwe huru na angesikilizwa
"angesikilizwa"! Amri mpaka itoke Mzee wilayani Chalinze si leo.
 
Yeye kama mwanamke kusema anachoona si vibaya

Na mumewe kupitia anayoyapitia ni ulimbukeni tu wa uongozi hakukuwa na sababu ya yote haya

Lakini kwanini aseme sasa ndio jambo lenye mashaka.!

Yeye alikuwa na sababu na kusikilizwa muda wote wote wa mapito haya

Toka mapema angeweza kushawishi umma na uongozi bila kuchoka kwamba mwandani wake aachwe huru na angesikilizwa
 
Yeye kama mwanamke kusema anachoona si vibaya

Na mumewe kupitia anayoyapitia ni ulimbukeni tu wa uongozi hakukuwa na sababu ya yote haya

Lakini kwanini aseme sasa ndio jambo lenye mashaka.!

Yeye alikuwa na sababu na kusikilizwa muda wote wote wa mapito haya

Toka mapema angeweza kushawishi umma na uongozi bila kuchoka kwamba mwandani wake aachwe huru na angesikilizwa
Wangapi wameshauri hili na bado mama yenu hataki kusikia na yuko radhi nchi ikose misaada,huyu ana shida ya kiuongozi
 
Wale panyabuku waliosema ameomba talaka sijui wameficha wapi nyuso zao kwa aibu!
 
Back
Top Bottom