Majadiliano ya Kidiplomasia kati ya Tanzania na Malawi yaliyofanikisha kusainiwa Tamko la Pamoja (Joint Communiqué) tarehe 2 Mei 2025 la kuendelea na biashara za bidhaa mbalimbali ikiwemo mazao ya...
Serikali lazima itoe tamko kwenye hili jambo.
Wenyewe wanaita Miradi Misonge ( Vertical Programs) , dawa na vifaa tiba chini ya hii miradi ipo kwa Ufadhili wa USAID kwa zaid ya 80%.
ARVs, TB...
Bunge la 12 Mkutano wa 19 Kikao cha 19 Mei 7, 2025
Orodha ya shughuli za leo;
Hati za kuwasilisha mezani
Maswali
Hoja za serikali
https://www.youtube.com/live/Z7LMt6ndXVk?si=u8pvAkprKa6Kt03l...
Hii hospitali ya Mnazi Mmoja ina umuhimu mkubwa sana jijini hasa kwa wananchi wa chini. Jamani uongozi mjitathmini.
Watumishi wengi mno ni kama mko pale kupoteza muda.
1. Huduma ya madaktari...
Tulikuwa tunapata wakati mgumu anapofanya ziara kwenye maeneo yetu kwa sababu atakufahamuje bila kumsifia hata kiulaghai tu
Wale Watangulia msafara waliomba kusikiliza nyimbo na ngonjera...
Kwamba kwa ajili ya haki tunabidi kuchagizwa kweli kweli na sasa kutokea nje ili Lissu awe huru, kina Mdude, Soka, Kipanya na wengine mlio nao kinyume cha ubinadamu wapatikane wakiwa hai...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zaina Telack ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam kinachojengwa Ngongo - Ruangwa Lindi ambapo upande wa Ngongo ujenzi umefikia 45% na...
Kama ukifuatilia siasa zilivyoenda kwa trump hadi kushinda uraisi ni pamoja na kesi zilizokuwa ziki mkikabili kumpush hadi ikulu na kufanya uchaguzi ule kufuatiliwa zaidi duniani.
Tukiangalia...
Kama mlivyosikia mahakama hatimaye dakika za jioni kabisa imekubali hoja za mawakili wa Lisu ..
Sasa iko Hivi..
Serikali na Sisiemu sio wajinga kukubali mpira uende kati kizembe.
Wanakuja na...
TEF yaonya waandishi wa habari kesi ya Lissu
02 May 2025
Picha: Mpigapicha Wetu
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile akizungumza na waandishi wa habari.
Mwenyekiti...
Jina la chawa linalenga kuwarudisha nyuma wanaopongeza juhudi za serikali, kuipongeza serikali si dhambi - rais wa tahliso
Sehemu ya Mahojiano ya Rais wa Tahliso Ndg Geofrey Kiliba na Waandishi...
Tuache unafiki. Suala la kudhibiti rushwa na ufisadi nchini Tanzania tumeshindwa – na hilo ni wazi kwa kila anayeangalia hali halisi bila miwani ya chama wala imani ya kisiasa.
Taasisi ya...
1) Siku Lissu anashinda kesi uchaguzi utakuwa umeshakaribia, hizo ni janja Janja za kijinga!
2) Pressure kutoka Bunge la ulaya kujadili swala la Lissu limewapa kiwewe Serikali, hivyo wameanza...
UTANGULIZI
Wahemga walinena, Mficha maradhi kifo humuumbua…Kuendelea Kujaza Maji kwenye ndoo iliyotoboka huku ukifahamua kuwa hayatajaa ni ujinga. Mungu ametupa akili na ufahamu, na hii...
Kuanzia awamu ya 4 ya Mzee Kikwete Wasanii wamekuwa nguzo kubwa ya Siasa za Tanzania hasa baada ya Sugu aliyeaminika ni “ mvuta bangi” kuingia bungeni na kufanya vizuri kuwazidi maprofesa
Siasa...
WAZIRI KOMBO AMPOKEA MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO JIJINI ROMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa Jamhuri ya...
Kwa Kinyakyusa, Mpoki ni sawa na neno la kiswahili linalotamkwa Mwokozi, Muokoaji au Tegemeo la Watu.
Huyu Mpale Mpoki ndio Ingizo jipya ukilinganisha na ile timu iliyopambana kwenye kesi ya...
MAJAJI 10 WAMETEULIWA NA MAHAKIMU 91 WAMEAJIRIWA
Katika kuongeza kasi ya utendaji kazi, Mahakama imeendelea kuongeza idadi ya Maafisa Mahakama.
Katika Mwaka wa Fedha 2024/2025 jumla ya Majaji 10...
Mbunge wa Sumve (CCM), Kasalali Mageni leo Jumanne Mei 6, 2025 amekuwa mbunge wa kwanza kusikika akipinga bajeti ya Serikali kwa madai ya kuchoshwa na uongo.
Mageni ameipinga bajeti ya Wizara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.