Mbunge wa Jimbo la Tunduma, David Silinde, amewapa ujumbe mzito wanaotamani kugombea nafasi yake katika Uchaguzi Mkuu ujao, akisisitiza kuwa maendeleo makubwa yaliyofanyika chini ya uongozi wake...
UJENZI WA MRADI MKUBWA WA SHULE MPYA YA MSINGI KABINDI B ILIYOPO KATA YA KABINDI - BIHARAMULO.
Shule hii ni mpya ,haikuwepo kabla hapa kuna juhudi za mbunge wa jimbo la biharamulo Eng Ezra...
Akihutubia Kwenye Uwanja wa Samora mkoani Iringa mwaka 1987 mwalimu Nyerere alisema wakati anamkabidhi madaraka alhaj Ali Hassan Mwinyi alipata wakati mgumu hasa alipomuona Mwinyi anapanda Gari...
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi...
Katika kitabu cha Marko 4:35-41, Biblia inaelezea tukio la Yesu kutuliza dhoruba iliyotishia kusambaratisha mtumbwi waliokuwa wakisafiria.
Biblia inasema siku hiyo, ilipokaribia jioni, aliwaambia...
ANAANDIKA Mh Heche makamu mwenyekiti CHADEMA TAIFA
Huyu kijana Kenani Kehongosi ni Sabaya mwingine.. Huyu ni kijana amedhuru watu wengi sana.
Ameruhusu madaraka yamvae na kwasababu hana uwezo...
Ni ujaji wa kuhama kutoka chama cha CHADEMA na kuwaachia wanachozama nacho, kinachosubiriwa ni mikutano ya uchaguzi hapo ndipo zamu ya wanachama wa kawaida kubwaga manyanga na kuhamia chama au...
RAIS WA FINLAND ATEMBELEA MRADI KUWEZESHA WANAWAKE MACHINGA COMPLEX
Rais wa Jamhuri ya Finland, Mheshimiwa Alexander Stubb, ametembelea mradi maalum wa kuwawezesha wanawake wafanyabiashara wadogo...
1. Kama mnavyojua Sudani Kusini imepata Uhuru wake 2013.
2. Salva Kiir atakumbukwa kwa kuipitisha nchi hiyo kwenye mikwamo mingi.
3. Alichoka hadi akachoka tena. Ila kifo ndo mwamuzi.
**Juba...
Mwenyekiti BAZECHA - James Haule alipoulizwa kuhusu busara itumike kuponya majeraha CHADEMA, Haule wamesema;
BAZECHA ndio wenye wajibu wa kuponya majeraha chamani, nataka niwathibitishie...
Hii serikali yetu ya ajabu sana, kila mwaka mwezi wa 5 na wa 6 Mtandao hua unasumbua sana na haiwasumbui viongozi wetu kurekebisha hili, hakuna kitu kinaingia wala kutoka na bado wanatoka kwenda...
Elizabeth Mambosho Mjumbe wa mkutano Mkuu CHADEMA, aliyekuwa akimuunga mkono Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa CHADEMA amjibu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Benson Kigaila adai...
Rais Samia na wapambe wake wanashangazwa na hawaelewi kwanini kwanini copy na paste mambo ya Magufuli hawaendi kama wakati wa Hayati Magu
1. Watanzania wamesha elimika zaidi
2. Kushidwa kuzuia...
Msikilize
ANASEMA ATAUA MTU YEYE NI USALAMA WA TAIFA. ANAAPA KUUA YEYOTE ATAKAYEJITOKEZA KUGOMBEA KWALE NA JIMBO HALITAGAWANYWA
https://www.youtube.com/watch?v=tklwP9kcx_M
Kigezo cha elimu ya mbunge umekuwa ni mjadala ambao umekuwa ukijirudia mara kwa mara Hamisi Taletale Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ameeleza unamtazama mtu kama Msukumua IQ aliyonayo...
Watanzania wengi pale walipomuuona anapambana na utendaji mbovu wa sekta zote...walimuona kama malaika...
Hawakutaka kusikia tena vyama vya upinzani....Sijui ni nani alimuingiza kwenye Huu ujinga...
Mabasi ya kutoka Mbeya hasa yanayosafiri Usiku hayafuati ratiba ya safari, kwa mfano kuna siku nilipanda basi kutoka Mbeya kwenda Morogoro walisema linaondoka Saa 12:00 Jioni ila tuliondoka Saa...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimetia saini Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato Mara Mbili na Kuzuia Ukwepaji Kodi, hatua itakayosaidia kufungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.