Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mtu anaeweza kuuwa na kusingizia watu kesi kwasababu ya tamaa za madaraka hapaswi kuaminiwa wala kuungwa mkono hana akili kabisa huyo. Lazima tuunge mkono kwa wapigania haki na uhuru ndio jambo...
0 Reactions
1 Replies
266 Views
Wahenga walisema, ogopa sana mwanamke aliyeamua kumwacha mumewe, halafu kila siku anamsema huyo aliyekuwa mumewe. Na tena walisema, ogopa sana, na ukimbie kabisa, kama una mahusiano na mke wa mtu...
2 Reactions
2 Replies
319 Views
Moja ya mwananchi wa Somelo, Mkoa wa Ilala amembana Diwani kwa maswali magumu akitaka kufahamu yapi ameyafanya diwani huyo tangu alipoingia madarakani. Wakati muda huo hakuna kilichofanyika hadi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wananchi wa Kata ya Kahe Mashariki, wakiongozwa na wazee wa kata hiyo, wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei kwa kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi cha mwaka...
0 Reactions
4 Replies
502 Views
Katika kipindi ambacho baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekuwa wakitangaza kuhama na kujiunga na vyama vingine, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa...
1 Reactions
0 Replies
299 Views
Kuiba kura halali, Polisi kuuwa raia halali na utekaji halali lakini mtu kuhamasisha haki na mageuzi ya kiuchaguzi ni ugaidi na muhaini. Kila mmoja anajua kuwa Lissu ni shujaa hana hatia yoyote...
1 Reactions
3 Replies
319 Views
WAFUASI na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kinondoni wamemtaka Freeman Mbowe, Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, kutoka hadharani kueleza kama anaubariki upande wa chama...
0 Reactions
8 Replies
859 Views
Polisi na Msajili wanashindana sasa kwenye kiki-uchawa kupitia Chadema. Imefika wakati viongozi wanaamka asubuhi na kufikiria wafanye nini kwa Chadema ili matukio yao yaongelewe kwenye vyombo vya...
2 Reactions
3 Replies
519 Views
Wadau wengi hapa Kyela Mkoani Mbeya, Wengi wao wakiwa Watumishi wa Umma, wakiwemo Walimu wamependekeza Tarehe 19 May iwe siku ya Mapumziko ili kuwezesha Wananchi wengi kuhudhuria kesi ya Uhaini...
4 Reactions
20 Replies
971 Views
Ulipoanzishwa mfumo wa vyama vingi ulianzishwa kwa kutaka kupata vyama mbadala vyenye sera tofauti mbali na Chama tawala kiamini siasa ya ujamaa Na Chama kilichojitambulisha wazi kilipoanzishwa...
1 Reactions
17 Replies
934 Views
Musoma wa Unga: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi Hali ya kisiasa Tanzania inazidi kuwa ya mvutano huku chama cha upinzani cha CHADEMA, hasa Musoma, Mara, kikichukua msimamo thabiti wa...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
MKIAMBIWA CHADEMA IMEKUFA NDIO HUKU SASA Ukweli hauhitaji madoido. Mikutano haina watu ya CHADEMA..! Tujitathmini, si kudanganya hadhira kwa picha za 2015 wakati wa Mzee Lowasa, R.I.P wahuni...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Waziri wa Madini, tunapozungumzia suala la leseni za utafiti wa madini (PL) katika Mkoa wa Mbeya, hususan Wilaya ya Chunya, kuna mambo kadhaa ya kuzingatia. Kwanza, ni muhimu kufahamu kwamba...
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Hili vuguvugu la G55 lilianza kitambo tokea Enzi za Chacha Wangwe Tuzidi kuwaombea ndugu zetu hawa Mungu awaponye Ahsanteni sana
5 Reactions
14 Replies
774 Views
Japo CCM wanajiridhisha kuwa wanamuenzi marehemu rais John Magufuli, kwa kumdhihaki kwa kauli mbiu yao ya kazi iendelee wakati hakuna kazi yoyote bali upigaji na uvivu, ukweli ni kwamba...
1 Reactions
7 Replies
462 Views
TANZANIA NI NCHI YA DEMOKRASIA. Naomba tuweke hoja ya msingi juu ya maswali yafuatayo. 1. Kwanini agenda ya reforms kabla ya uchaguzi mwaka 2025 inapigwa vita mpka kwa kutesa, kuumiza na kumwaga...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Serikali imesema kitendo cha kushirikisha Sekta Binafsi katika uendeshaji wa shughuli za bandari kwa kuingia ubia na Kampuni za DP World na TEAGTL katika kuendeleza na kuendesha baadhi ya maeneo...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Uongozi uliopita uliipatia fursa CCM kutumia propaganda zake chafu dhidi ya Chadema kwa kuiita mara chagadema, mara saccos na mara chama cha manyumbu! Kwa namna hiyo chama cha majizi (CCM)...
29 Reactions
74 Replies
3K Views
Na Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) UKIKUBALI UMEKWISHA; UKIKATAA UMEKWISHA. Jamani tuache utani. Kuna kundi la watu. Ni wanadamu lakini wao hujiiita “malaika wa kibinadamu”. Wakiamua...
9 Reactions
12 Replies
867 Views
Wakuu, Mbunge na Waziri wa katiba na Sheria Damas Ndumbaro akiwa Songea ukumbi wa bombambili, alitoa 'posho' ya Tsh. 20,000/=kwa Kila mjumbe. Ambapo wajumbe hao ni wapiga kura za maoni ndani ya...
4 Reactions
53 Replies
3K Views
Back
Top Bottom