Kupitia mjadala Wakili amesema Mbowe alikimbilia Kenya na kuomba hifadhi baada ya Uchaguzi wa 2020
Tundu Lisu alihifadhiwa baada ya kupigwa risasi nyingi
Na Lema alipata hifadhi kabla...
Pengine hii ni siri ambayo baadhi ya watu hawatopenda kila mtu katika hii nchi aijue,
: Kipindi ambacho watanganyika bado tunatawaliwa na mkoloni, Mwalimu akiwa na chama cha kudai uhuru, basi...
Pamoja na Juhudi zote anazofanya Jakaya Kikwete kuhakikisha Daktari wake Binafsi Profesa Janabi anashinda Nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile, lakini kikwazo kikuu kwa sasa ni hali ya...
Nimesikiliza taarifa ya habari ya BBC Swahili Leo hii saa tatu kupitia Star tv mwandaa maudhui na mtangazaji wake wamepwaya sana hasa kesi ya Lissu walivyoitolea taarifa.
Kila haki nyuma kuna...
Naangalia Cotizen tv Habari ya kwanza ni Karua kuzuiwa kuingia Tanzania lakini inatangazwa kiushabiki kweli kweli
Halafu wanaonyesha mapokezi ya Karua baada ya kurejeshwa Kenya yaani ni mambo...
Waliokuja Tanzania walikuja kusikiliza kesi ya Lissu, kila mmoja anajua, wakazuiwa airport sio kwa muujibu wa sheria za nchi bali ni kwa matamko ya mamlaka wanadai wamekuja kufanya vurugu...
Wanabodi,
Wengine wetu huu mchakato wa Katiba, tangu ulipoanzishwa, tulisema humu, hauwezi kutupatia "Katiba Bora!" bali utatupatia "Bora Katiba!". Tuliowaaminia kule Bungeni tangu utungwaji wa...
Guys , tumuheshimu sana tundu Lissu.
Jamaa UPINZANI wake anamaanisha… and for sure APEWE HESHIMA….wengi hatuwezi ijapokuwa tunataka mabadiliko….
It is wothless kuwa na UPINZANI wa bahasha za...
Rais Samia amerejesha matumaini ya Watanzania - NGOs
* Wampongeza kwa uongozi wa kimageuzi
Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali nchini (NGOs) yamempongeza Rais Samia...
Ni wazi Chadema kama chama cha upinzani kina wajibu wa kuikosoa Serikali iliyopo madarakani ili wananchi waone kuwa hii sio serikali sahihi ili kwenye uchaguzi wananchi wakikatae chama tawala na...
https://youtu.be/YdxCYOdO3Sg?si=4huBSJheX28CD2YC
Huyu jamaa niligundua kuwa ni mtu wa mfumo wa serikali wakati wa uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA taifa..
Sikutarajia kama angeweza ku - side na...
Chama cha Wanasheria wa Kenya (LSK) kimeeleza kukerwa sana na kitendo cha kinyume cha sheria, kisicho na msingi, na cha kiholela cha kuwazuia kuingia nchini Tanzania wanachama wao wawili, Bi...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Makalla amesema Chama hicho kitaendelea kuwa Bora nyakati zote kwa Sababu ya Muundo wake mzuri katika ngazi zote...
Tunawakaribisha waKenya na wana Africa Mashariki wote kwa ukarimu, upendo na heshma kubwa sana Tanzania.
Lakini pamoja na hayo, ni lazima utaratibu wa kisheria na ustaarabu wa kimataifa ufuatwe na...
Dar es Salaam. The first travel document former Kenyan Prime Minister Raila Odinga ever owned, which he used to go abroad was issued here in Dar es Salaam in 1962, when the Mainland was still...
Unaambiwa G-55 wamevurugana vibaya baada ya watu wao waliokuwa na majina na umuhimu mkubwa kwao kuwakana.
Waliohama sasa wataanza kusambaratikia vyama vingine kila mmoja na lake.
Jana kulitokea...
Hii text kanitumia jamaa yangu ame screen shoot mazungumzo yake na mmoja ya G55. Huyu jamaa yangu alianza kuingia mkenge kuungana na hawa jamaa. Amekuja shtuka anasema hakujua wanatumika na Mfumo...
Waziri wa mambo ya nje wa Kenya Dr Singoei amesema mahisiano ya Kenya na Tanzania yataendelea kuwa mazuri
Singoei amesema nchi wanachama wa East Africa wana Haki ya kumzuia mtu yoyote kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.