Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Haya maneno yanasemwa na mwanamke mmoja ambae ni rafiki mkubwa sana wa mke wangu tukiwa sebuleni mama huyo pia ni mtu mkubwa ngazi ya halmashauri. Kwakweli haikutegemewa Samia amfunike magufuli...
1 Reactions
7 Replies
623 Views
1. Huyu Mzee ndo ameifanyia mengi wilaya yetu ya Mwanga kufahamika duniani. Lami, hospitali za kutosha, free WiFi na Umeme mpaka Vijijini kuliko wilaya nyingi hapa Tanzania. Tunamshukuru kwa yote...
7 Reactions
80 Replies
5K Views
Kama sio ushirikina basi kuna aina fulani ya dawa wanatumia kwa kuwawekea kwenye chakula, kinywaji ama kupitia hewa Mifano ipo mingi lakini tuangalie ya karibuni Nadhani wote tunamkumbuka Peter...
24 Reactions
73 Replies
5K Views
Nadhani umaskini, ujinga ,uchama na uchawa ni maadui wakubwa sana wa Taifa hili la Tanzania.Ukweli unafichwa ,watu wenye mawazo ya kusaidia nchi wapo ,malighafi zipo ila maadui hawa wanaharibu...
6 Reactions
11 Replies
919 Views
Wakuu Hivi hawa wasanii na haswa huyu Jimmy Mafufu huwa wanaelewa hata wanachokiongelea? Wana elimu hata ya kuhusu diplomasia ama huwa wanaongea tu? Na huyo anayewatuma huwa anatambua...
5 Reactions
59 Replies
3K Views
Kila kitu Utasikia wasituvurugie amani. Hiki Kichaka wakuu kinatakiwa kuondolewa. Hii sio amani bali ni Ulaji na ufisadi kwa utulivu.
6 Reactions
6 Replies
474 Views
Wakuu, Sitaki kuongeza maneno mengi maana naweza kuharibu uzi huu. Ila huyu anaitwa Abdulrahim Hamidu ni Katibu Mkuu wa CCM (W) Kondoa. Uchawa kwenye nchi yetu umefika kwenye viwango vya juu...
12 Reactions
120 Replies
5K Views
Na Ilunga Msekela Mpambanaji, Wakati tunazidi kuhesabu siku za mwaka huu 2011 kuna mambo kadha wa kadha ambayo watanzania wanayazungumza , watanzania wengi ukiacha wale wenye nacho huwa na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya Kusini magharibi mwa Tanzania kimetangaza kuvunja rasmi kambi iliyokuwa imewekwa kushinikiza kupatikana kwa kada wao, Mdude Nyagali...
2 Reactions
55 Replies
5K Views
Hili ni kuhusu kuchaguliwa kwa Papa Leo wa Kumi na Nne, kutoka kwa Jaji mmoja nchini Kenya ambaye si Mkatoliki. Hon. Jaji Aggrey Kuna aina ya hekima isiyopiga kelele. Haijitafutii umaarufu...
4 Reactions
3 Replies
522 Views
Nina mifano mingi.. Lakini kuwa na subra na kufuata utaratibu daima humpa mtu matokeo bora tena kwa wivu mkubwa Sana Subiri wakati sahihi ufike ndio ufanye jambo lako kwa utaratibu uliowekwa...
11 Reactions
11 Replies
920 Views
Lyatonga Mrema , Maalim Self, Lipumba, Mbowe , Mama Tanzania pamoja na Zitto je historia ya Tanzania itawakumbukaje hawa watu ?. .
1 Reactions
4 Replies
372 Views
Nani yuko nyuma ya CHAUMMA kwa muda mfupi hivi? Kwa Kasi na udhamini huu Lazima CHAUMMA itapata wabunge wengi utakeusitake. Nawaasa watakaopata ubunge kupitia CHAUMMA wasiende kuunga juhudi kwa...
4 Reactions
93 Replies
4K Views
Unashiriki Uchaguzi unapata mbunge mmoja kutoka Wabunge 60 ulioachiwa na hayati Lowassa 2015 2025 huingizi timu uwanjani Sioni tofauti yoyote Wewe Je?
1 Reactions
8 Replies
328 Views
Masaka, Uganda Kituo cha Utafiti cha Agora kimethibitisha kuwa mkurugenzi wao, Agather Atuhaire, ambaye tangu Jumatatu anashikiliwa na maafisa wa Tanzania, amepatikana asubuhi ya leo akiwa hai...
6 Reactions
66 Replies
9K Views
Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu Mungu Ibariki CHADEMA
44 Reactions
161 Replies
7K Views
Huu ni wimbo maarufu, zamani ulikuwa ukiimbwa na wanaCCM kuahidi kuilinda CCM mpaka siku ya kifo chao. Baadae CHADEMA nao wakauchukua ukawa ni miongoni mwa nyimbo maarufu za chama, wakiapa na...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Watanzania wameshindwa kuwaunga mkono upinzani kwa kuwa hakuna chama cha upinzani nchini kilichojitanabaisha na mrengo au muelekeo flani . Yaani hawana ideology ambayo mwananchi anaweza...
2 Reactions
8 Replies
364 Views
uasi = rebellion A rebellion is a violent organized action by a large group of people who are trying to change their country's political system. Rebellion: When a group of people openly and...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom