Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hili ni kuhusu kuchaguliwa kwa Papa Leo wa Kumi na Nne, kutoka kwa Jaji mmoja nchini Kenya ambaye si Mkatoliki. Hon. Jaji Aggrey Kuna aina ya hekima isiyopiga kelele. Haijitafutii umaarufu...
4 Reactions
3 Replies
522 Views
Nina mifano mingi.. Lakini kuwa na subra na kufuata utaratibu daima humpa mtu matokeo bora tena kwa wivu mkubwa Sana Subiri wakati sahihi ufike ndio ufanye jambo lako kwa utaratibu uliowekwa...
11 Reactions
11 Replies
920 Views
Lyatonga Mrema , Maalim Self, Lipumba, Mbowe , Mama Tanzania pamoja na Zitto je historia ya Tanzania itawakumbukaje hawa watu ?. .
1 Reactions
4 Replies
371 Views
Nani yuko nyuma ya CHAUMMA kwa muda mfupi hivi? Kwa Kasi na udhamini huu Lazima CHAUMMA itapata wabunge wengi utakeusitake. Nawaasa watakaopata ubunge kupitia CHAUMMA wasiende kuunga juhudi kwa...
4 Reactions
93 Replies
4K Views
Unashiriki Uchaguzi unapata mbunge mmoja kutoka Wabunge 60 ulioachiwa na hayati Lowassa 2015 2025 huingizi timu uwanjani Sioni tofauti yoyote Wewe Je?
1 Reactions
8 Replies
328 Views
Masaka, Uganda Kituo cha Utafiti cha Agora kimethibitisha kuwa mkurugenzi wao, Agather Atuhaire, ambaye tangu Jumatatu anashikiliwa na maafisa wa Tanzania, amepatikana asubuhi ya leo akiwa hai...
6 Reactions
66 Replies
9K Views
Tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu Mungu Ibariki CHADEMA
44 Reactions
161 Replies
7K Views
Huu ni wimbo maarufu, zamani ulikuwa ukiimbwa na wanaCCM kuahidi kuilinda CCM mpaka siku ya kifo chao. Baadae CHADEMA nao wakauchukua ukawa ni miongoni mwa nyimbo maarufu za chama, wakiapa na...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Watanzania wameshindwa kuwaunga mkono upinzani kwa kuwa hakuna chama cha upinzani nchini kilichojitanabaisha na mrengo au muelekeo flani . Yaani hawana ideology ambayo mwananchi anaweza...
2 Reactions
8 Replies
364 Views
uasi = rebellion A rebellion is a violent organized action by a large group of people who are trying to change their country's political system. Rebellion: When a group of people openly and...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa...
54 Reactions
264 Replies
31K Views
Katika kile kinachoonekana kuwa ni jaribio la kutangaza ushindi wa kisiasa, baadhi ya wanachama wa CCM wametamba kwamba wamefanikiwa kuibomoa CHADEMA. Hata hivyo, takwimu halisi za mwelekeo wa...
20 Reactions
26 Replies
2K Views
Kazi mliyotumwa ya kuifubaza CUF mliifanya kwa weledi mkubwa sana kiasi kwamba kwasasa CUF si lolote si chochote mbele ya siasa za Tanganyika nachelea kusema na visiwani pia..! Vema msijisahau...
28 Reactions
65 Replies
3K Views
Salam wana JF, Nimekuwa na swali linalonipa maswali Mengi kila Kukicha. Tukiachana na Michango ya wanachama, Wahisani wa ndani, wafanyabiashara n.k Je! Vyama vyetu vya Siasa vinapata wapi Pesa...
0 Reactions
4 Replies
372 Views
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu...
3 Reactions
52 Replies
3K Views
Letter from Birmingham Jail The "Letter from Birmingham Jail", also known as the "Letter from Birmingham City Jail" and "The Negro Is Your Brother", is an open letter written on April 16, 1963...
2 Reactions
3 Replies
419 Views
Inapaswa tumuelewe Lissu anaposema No Reform no Election.
1 Reactions
12 Replies
790 Views
CCM inazidi kuumbuliwa mchana kweupe na kuzidi kuipandisha chart CHADEMA. Akiwa Beijing, China kwa ziara ya siku 5, raisi wa Kenya amenukuliwa akisema kwama "Tofauti yetu na majirani zetu ni...
17 Reactions
132 Replies
6K Views
Kuna tafsiri nyingi ya neno hili lakini tafsiri hutofautiana kutokana na mtu anayelitamka. Kuvuruga amani maana yake ni kitendo cha kuwafungua akili wananchi na kuwaeleza kuwa rasilimali zenu...
1 Reactions
0 Replies
248 Views
Back
Top Bottom