Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbona tunatumia nguvu nyingi dhidi ya Tundu Lissu? Kuna swali najiuliza ni kwa nini tunatumia nguvu nyingi dhidi ya Mh Tundu Lissu? Halafu mwisho wa siku hatufanikiwi. Nina mifano michache ya...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Akili za baadhi ya watu huwa hazieleweki zinavyofanya kazi. Yaani kweli mtu mliyemtukana wee na kutweza utu wake, mutawezaje kumuomba msaada kwa matatizo yanayowapata kutokana na laana ya matusi...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
GTs, Heche bila matusi utaeleweka zaidi ila ukiendelea na matusi unajilaani. Heshimu viongozi ngazi zote, waite kwa majina ya staha. Mheshimu sana rais na taasisi zake zote. Hautapungukiwa na...
2 Reactions
2 Replies
337 Views
Jumuiya ya kimataifa wengi walioenda mahakamani kesi ya Lisu walivaa suti za uhakika wao na mawakili.Na walikuwa wametulia kuheshimu mahakama Jumuiya ya kimataifa waliohudhuria kesi ya Lisu...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Haika nimeamini na kuelewa ni kwanini vitabu vya dini(Bibilia) inasema wazi kuwa mwanamke ni msaidizi tu na si vinginenyo. Yaani wewe kila ushauri unaoletewa unauukubali hata kama una madhara...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya Wakenya jana waliandamana kwenye ubalozi wetu wakitaka ubalozi ufungwe. Kuna mbunge amependekeza viongozi wa Tanzania akiwemo Rais Samia wazuiwe kuingia nchini mwao. Kuna wengine...
36 Reactions
184 Replies
9K Views
Mwenyekiti wa zamani wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza sababu ya kukaa kimya tangu wakati wa uchaguzi mkuu wa chama hicho, Januari 22, 2025, akisema wanaotakiwa kusema kwa sasa ni viongozi...
13 Reactions
84 Replies
8K Views
Mwenye taarifa yoyote iwe ya maandishi ay hata sauti mjongeo au hata video ikimwonesha Katibu mkuu wa chauma ambae kwa chadema alikuwa naibu katibu mkuu zanzibari ilivyokuwa ikimsema UTAWALA wa...
1 Reactions
5 Replies
482 Views
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu. Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu...
11 Reactions
46 Replies
3K Views
Kama wewe ni kijana wa Kitanzania, unaishi Tanzania kwako au kkwa baba Yako au kwa mama Yako, au kwa ndugu mlezi. Unashuhudia mazingaombwe yanayo fanywa na Mzee HASHIMU RUNGWE dhidi ya...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Mimi kama stroke. Nawaeleza tu kwa sauti ya upole wanaharakati wa Kenya. Hakuna mahali penye ufisadi, mauaji, wizi wa kila namna kama Kenya. Sioni Justification yeyote ya nyie kuja Kulia lia...
2 Reactions
18 Replies
806 Views
Mbinu waliotumia leo CHAUMMA kujaza ukumbi ni ya kitoto Unajaza watu ukumbini ambao moyoni mwao against chama tawala wanakuwa vile? Hakuna hata mbwa wa polisi na farasi nje ya ukumbi? Hakuna...
10 Reactions
43 Replies
3K Views
Akitambua uwepo wa viongozi na waalikwa katika Mkutano wa wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara, Rais Samia kaanza kwa kutambua uwepo wa Makamu wa Rais kisha Rais wa Zanzibar na baada ya hapo ndio...
14 Reactions
193 Replies
7K Views
Mbunge Kazi: Mgonga meza bungeni hana hata cheti cha la saba. 1. kugonga meza pekee 560,000 kwa siku 2. mshahara 18,000,000, kwa mwezi 3. gari milioni 110, mkopo na pengine wanasamehewa 4...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari wanaukumbi wa jukwaa hili Bora kabisa barani Afrika, bila ya kupoteza muda maana mambo ni mengi sana kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Utabiri wangu ni kwamba KUB alimaarufu kama...
0 Reactions
5 Replies
524 Views
VIDEO FUPI : leo tarehe 21/5/2025 Mbunge wa biharamulo amehakikishiwa kujengwa kwa soko la mazao ya chakula katika kata nya LUSAHUNGA wilayani kwetu biharamulo. Kupitia mchango wako bungeni...
0 Reactions
2 Replies
318 Views
Mwanachama wa CHADEMA, Husna Said, amesema amekuwa akipigiwa simu mara kwa mara na watu wanaomtaka ajiunge na chama cha CHAUMMA, lakini amesisitiza kuwa hawezi kuhama kwani yeye ni CHADEMA damu na...
10 Reactions
32 Replies
2K Views
Huyu jamaa aniachaga hoi kwa vituko vyake.
1 Reactions
6 Replies
714 Views
Jopo la Mawakili 31 wanaomtetea Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuahirishwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti huyo. Pia soma...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakati Viongozi wa CCM na Serikali wakilifisadi Taifa kwa kiwango cha kutisha huku Wananchi wa Tanzania wakizidi kuwa masikini kila siku na vijana wa Tanzania wasio na ajira wakizidi kuongezeka...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom