Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,502
113,610
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Kwa niaba ya wanabodi wote, napenda kutoa shukrani kwa taarifa.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Ankali kuna uzi humu ,mtu aligusia kuhusu mpango wa baadae na mpango, na mimi nilichangia kdg kuwa nitarudi

Juzi wakat wa Misa ya i Kardinali Protase Rugabwa ,misa ya shukrani , nikasikia hili kwa mbaaali sana
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Kuna uwezekano mkubwa ndugu pasikali umekengeuka kanuni yako ya kukaa viti vifupi siku za jumapili. Kwa maandishi haya siyo tu kwamba umelewa John walker bali hata shisha ya Mazese (a.k.a jani) umetumia.

Aliyepo yupo na akiondoka anafuata mdogo wake March.

Laa! Sijui nimeandika nn hapa?? Ngoja nikemee hili pepo lililonipanda....pepo tokaaa!!
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
HONGERA kwa kumiliki Taarifa nyeti sisi Kama shabiki zako tunakuombea MAISHA marefu wewe na pasco Jr.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
All is well sema jamaa wa huko wana uchawa sana asije akaleta uchawa kwenye kuuza nchi Although sidhani atafikia level ya 5G ya maza wa Bububu, maana nchi ipo na price tag...just dau lako unajimilikisha chochote!
 
Kuna uwezekano mkubwa ndugu pasikali umekengeuka kanuni yako ya kukaa viti vifupi siku za jumapili. Kwa maandishi haya siyo tu kwamba umelewa John walker bali hata shisha ya Mazese (a.k.a jani) umetumia.

Aliyepo yupo na akiondoka anafuata mdogo wake March.

Laa! Sijui nimeandika nn hapa?? Ngoja nikemee hili pepo lililonipanda....pepo tokaaa!!
Pasco huwa hakosei ana Taarifa nyeti za hii nchi.
 
Wakatoliki ndio wakristo waliosambaa angalau kwa usawa kila sehemu nchini, makanisa mengine yapo concetrated zaidi kikanda, kikabila, kifamilia, n.k.

Kkkt - Nyanda za juu kusini na kaskazini
Sabato - Kanda ya ziwa na kaskazini
Moravian - Nyanda za juu kusini
Anglikana - kanda ya kati

Makanisa ya Eagt, Tag, n.k ni makanisa ya viongozi wanaorithishana kwa kusimikana.

makanisa ya watu binafsi mengi yana asili ya watu wa Mbeya, mkoa huu ni wa pili Afrika nzima kwa utitiri wa makanisa, ndiko walikotoka kina Mwamposa(Bulldozer), Lusekelo( Mzee wa upako), n.k. makanisa haya yapo kifamilia zaidi (baba, mama na watoto).

Binafsi ni mkristo ila sio mkatoliki, napinga mambo mengi ya wakatoliki lakini kwenye suala la uraisi kwa upande wa wakristo tuwaachie tu.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Itakuwa lini?
Maana tushachoka sana!
Dola haikamatiki
Bei ya mafuta haikamatiki
Mfumko wa bei ya vitu kila siku unazidi kupaa
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, amekuja mtu akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima".

Hivyo kama hii sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama ni kweli anayefuata ni Fillipo, huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Tumeshuhudia mfululizo wa safari za watu maalumu kwenye vikundi maalum vikienda kule kwa wale jamaa wa Heruli, Vandals na OStrogoths

Akiwemo na aliyekuwa Jemedali Yoab wa Nyumba ya Kifalme Suleiman Bin Chato
 
Back
Top Bottom