Nakuunga juhudi zako lakini anza na uchafu barabarani kwanza ,tengeneza mitaro,na sehemu za kutupa taka.
Unakuta mji mzima asubuhi umesheheni makohozi tu hata kwa kukanyaga hakuna inakulazimu...
Hivi majuzi tumemsikia IGP Mstaafu Omari Mahita akitamka waziwazi , tena bila kumung'unya maneno , akisema katika nafasi yake ya Mkuu wa Polisi, yeye alikataa kutumika kwa mambo dhahiri ya...
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rais Samia amesema Tunaishi katika zama za mataifa kukubaliana katika biashara na kwa kiasi kikubwa kupungua kwa...
Ukiangalia mashehe uchwara aka mashehena kama Mwaipopo wanavyomwaga upupu bila kutiwa nguvuni, unagundua kuwa kumbe, chini ya Samia, tunaendeshwa na mfumo islamu. Mko wapi waislam ambao mmekuwa...
Misingi thabiti ya taifa lolote linaloendelea na lenye nia ya dhati ya kustawi inategemea nguzo kuu mbili: uongozi bora wenye maono na uwazi, pamoja na ridhaa ya wananchi ambao ndio msingi wa...
Moja ya Dawa, iliyokuwepo ndani kwa Dereva wa Heche ni Panadol/Paracetamol
Paracetamol haiui ndani ya siku moja na ni moja ya dawa ngumu kuoverdose, kwa sababu unaruhusiwa kutumia hadi vidonge...
Leo, Juni 10, 2025, Rais Samia amepokea gawio nono la Shilingi Trilioni 1.28, michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68. Hafla hiyo imefanyika Ikulu, Dar...
MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA
===
SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa...
Akijibu swali la Mtangazaji Ivyona Kamuntu aliyetaka kujua mpaka sasa PPP Tanzania imefanikisha miradi kiasi gani kwa ujumla wake,
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David...
Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023:
1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa...
Kwa Tanzania chama ambacho kinapewa Hela nyingi na wazungu kwa lengo la kuvuruga Amani na uchumi ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) kipo Tanzania
Vyama vingine ni New Patriotic Party...
Ukweli umeanza kujitokeza, kwamba Raisi Magufuli amedanganywa kirahisi sana na baadhi ya makampuni katika suala zima la "gawio" la serikali.
Ukweli ni kwamba makampuni haya yalitakiwa kutoa...
Naona kama watanganyika tumesha zoea hili la serikali kuua watu, yani wala hatujali tunaona kawaida tuu, na wala hatuoni kama ni mjadala tena, yani ni kama tumesha kuwa polarised kwa matukio ya...
JWTZ mambo yote yanayofanywa na serikali ya kiraia (CCM ) mnayaona mnayafumbia macho kwasasa usalama wa taifa na polisi ni matawi ya CCM ila nyie JWTZ mmeanza kudharauliwa mno kwasasa ile heshima...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la mwananchi la leo,
Tarehe kama ya leo, Julai, 1, 1996, ndipo Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, ilianzishwa rasmi, hivyo leo, Tarehe 1, July, 2026, TRA...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, atawahoji kwa maswali ya dodoso Kamishna Mkuu wa Magereza pamoja na Mkuu wa Gereza la Ukonga tarehe 1 hadi 3 Julai 2026...
Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato, ambapo kwa mwaka wa fedha 2025/26 imekusanya jumla ya...
Nawapa neno moja kwa leo,
Pindi polisi mnapokuwa Depo huwa kuna mtihani wa kulenga shabaha na kuna kuwa na maksi mnazowapa.
Sasa niwaulize wale waliopata 0% kwenye shabaha huwa mnawapa silaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.