Habari za wakati huu wanachama wa jamiiforums
Baada ya kuapishwa kuwa katibu mkuu kiongozi, mzee Bashiru Ally alipaswa kwenda "rasmi" kuipa pole familia ya Balozi Kijazi. Huu ndio uungwana wetu...
Kupitia akaunti yake ya X, Hilda ametoa taarifa akidai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mwanza amekamatwa
=============
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mwanza Adam Chagulani amekamatwa na Polisi...
Kauli za shehe Mwaipopo na yote yanayomzunguka kuyafanya zitunzwe vema Kwa future use. Tutakapopata serikali yenye akili mtu huyu atafikishwa vizuri tu mbele ya Sheria na wote wanaomtuma na...
Wakuu hii ndiyo hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Katiba na Sheria, inayosomwa bungeni na Waziri Kivuli Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu;
1. Soma na utaona msimamo wa CHADEMA juu ya...
Msemaji wa Jeshi la Polisi DCP David Alphonce Misime akieleza hali ya Ulinzi na Usalama katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), amezumgumzia Amani ila hakuzungumzia haki...
Leo bungeni Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amemwagiza IGP Wambura kuanza kuwahoji watu mbalimbali ambao wamekuwa waziwazi na ushahidi na vielelezo wakichochea uvunjaji wa amani katika...
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kuwa walinzi wa amani na utulivu nchini, akisisitiza kuwa mazingira ya amani ndiyo yamewawezesha maelfu ya vijana...
Wakuu,
Akiwa anapokea gawio kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, Rais Samia amesema
"Naipokea tunzo hii kwa unyenyekevu. Nikitambua kuwa hii ni heshima ya kazi ya pamoja. Si kazi yangu peke...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ameongoza Kikao Maalumu Cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa jijini Dar es...
Akizungumza na wakazi wa Serengeti, Waziri Mkuu, Dr Mwigulu Nchemba ametoa onyo kali juu ya maandamano, ambapo ameeleza kuwa wamewakamata watu waliokuwa wakifanya kazi ya kuhamasisha watu kwenda...
DKT. MWIGULU ATUA MARA KWA KISHINDO AANZIA SERENGETI
ATAKA JENGO JIPYA LA HALMASHAURI LIKAMILIKE KWA WAKATI
AANZA KUNGURUMA LEO KWA KUSIKILIZA KERO VIWANJA VYA SOKOINE
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Je,
Ni kwasababu miungano hiyo ya kisiasa hujengwa juu ya msingi wa hiyari na kujitolea na sio kisheria?
Au ni kwasababu za tamaa, ubinafsi, kutokuaminiana na uchu wa madaraka na vyeo miongoni...
Huyu jamaa britanicca alipata wapi hizi taarifa?
Leo hii dereva wa Heche amekutwa ameuwawa huko Kigoma.
Hii inatoa picha kamili kuwa taifa letu lipo chini ya watu dhalimu na wasiofaa kuwa...
Mbunge machachari 'Musukuma', amedai kuwa baadhi ya wabunge wa Zanzibar ni "wavivu" na wamekuwa wakitumia Muungano kama kisingizio cha kuficha udhaifu wao wa kutowahudumia wananchi
Soma Pia...
Shimo kubwa lililopo katikati ya barabara eneo la Shekilango mara tu baada ya tuta, limeendelea kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Kutokana na ukubwa wake madereva hulazimika kulikwepa...
Kutoka mitandaoni, mwaka huu CCM maji wataita mma, CCM wanajitengenezea matatizo
Nimekutana na hii video, Kumbe LATRA walisema wataenda na Police?, mwenye video ya Henche anavoelezea Tanzania...
Mashaka yangu yapo kwenye aina ya uandishi wa barua, sababu zinazotolewa na aliyesaini barua yenyewe
SABABU ZA TAREHE YA KUFUNGULIWA SHULE KUSOGEZWA MBELE: Eti ni uchovu wa walimu na wanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.