Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nakuunga juhudi zako lakini anza na uchafu barabarani kwanza ,tengeneza mitaro,na sehemu za kutupa taka. Unakuta mji mzima asubuhi umesheheni makohozi tu hata kwa kukanyaga hakuna inakulazimu...
1 Reactions
9 Replies
186 Views
Hivi majuzi tumemsikia IGP Mstaafu Omari Mahita akitamka waziwazi , tena bila kumung'unya maneno , akisema katika nafasi yake ya Mkuu wa Polisi, yeye alikataa kutumika kwa mambo dhahiri ya...
1 Reactions
7 Replies
124 Views
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rais Samia amesema Tunaishi katika zama za mataifa kukubaliana katika biashara na kwa kiasi kikubwa kupungua kwa...
1 Reactions
7 Replies
182 Views
  • Redirect
Ukiangalia mashehe uchwara aka mashehena kama Mwaipopo wanavyomwaga upupu bila kutiwa nguvuni, unagundua kuwa kumbe, chini ya Samia, tunaendeshwa na mfumo islamu. Mko wapi waislam ambao mmekuwa...
4 Reactions
Replies
Views
Misingi thabiti ya taifa lolote linaloendelea na lenye nia ya dhati ya kustawi inategemea nguzo kuu mbili: uongozi bora wenye maono na uwazi, pamoja na ridhaa ya wananchi ambao ndio msingi wa...
4 Reactions
3 Replies
144 Views
Moja ya Dawa, iliyokuwepo ndani kwa Dereva wa Heche ni Panadol/Paracetamol Paracetamol haiui ndani ya siku moja na ni moja ya dawa ngumu kuoverdose, kwa sababu unaruhusiwa kutumia hadi vidonge...
14 Reactions
23 Replies
668 Views
Leo, Juni 10, 2025, Rais Samia amepokea gawio nono la Shilingi Trilioni 1.28, michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68. Hafla hiyo imefanyika Ikulu, Dar...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
6 Reactions
18 Replies
963 Views
MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA === SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa...
4 Reactions
31 Replies
495 Views
Akijibu swali la Mtangazaji Ivyona Kamuntu aliyetaka kujua mpaka sasa PPP Tanzania imefanikisha miradi kiasi gani kwa ujumla wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David...
8 Reactions
27 Replies
489 Views
Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023: 1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa...
4 Reactions
7 Replies
184 Views
Kwa Tanzania chama ambacho kinapewa Hela nyingi na wazungu kwa lengo la kuvuruga Amani na uchumi ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) kipo Tanzania Vyama vingine ni New Patriotic Party...
3 Reactions
62 Replies
603 Views
Ukweli umeanza kujitokeza, kwamba Raisi Magufuli amedanganywa kirahisi sana na baadhi ya makampuni katika suala zima la "gawio" la serikali. Ukweli ni kwamba makampuni haya yalitakiwa kutoa...
8 Reactions
50 Replies
7K Views
Naona kama watanganyika tumesha zoea hili la serikali kuua watu, yani wala hatujali tunaona kawaida tuu, na wala hatuoni kama ni mjadala tena, yani ni kama tumesha kuwa polarised kwa matukio ya...
1 Reactions
7 Replies
118 Views
JWTZ mambo yote yanayofanywa na serikali ya kiraia (CCM ) mnayaona mnayafumbia macho kwasasa usalama wa taifa na polisi ni matawi ya CCM ila nyie JWTZ mmeanza kudharauliwa mno kwasasa ile heshima...
22 Reactions
54 Replies
925 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu gazeti la mwananchi la leo, Tarehe kama ya leo, Julai, 1, 1996, ndipo Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, ilianzishwa rasmi, hivyo leo, Tarehe 1, July, 2026, TRA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, atawahoji kwa maswali ya dodoso Kamishna Mkuu wa Magereza pamoja na Mkuu wa Gereza la Ukonga tarehe 1 hadi 3 Julai 2026...
7 Reactions
10 Replies
459 Views
Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato, ambapo kwa mwaka wa fedha 2025/26 imekusanya jumla ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nawapa neno moja kwa leo, Pindi polisi mnapokuwa Depo huwa kuna mtihani wa kulenga shabaha na kuna kuwa na maksi mnazowapa. Sasa niwaulize wale waliopata 0% kwenye shabaha huwa mnawapa silaha...
2 Reactions
7 Replies
208 Views
Hakuna mtu mwenye hisa ya kuishi milele Duniani hapa tuheshimu maisha ya watu na kazi ya Mungu. Nawatakieni usiku mwema
1 Reactions
2 Replies
100 Views
Back
Top Bottom