Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hali ya sintofahamu imejitokeza katika eneo la Bon City, mtaa wa Mlimani, kata ya Murieti, jijini Arusha, baada ya wananchi kulalamikia machinjio yanayodaiwa kuhatarisha afya na mazingira ya...
1 Reactions
4 Replies
100 Views
Yaani kama vile at any time ataachia risasi! Yaani yuko alert to shoot! I was walking, nikapita karibu naye maana sikuwa na namna ya kumkwepa.....mimi hapa naye huyu hapa! Nikageuka...
23 Reactions
84 Replies
2K Views
MAMENEJA WA RUWASA, TANROADS MARA WAONJA ‘JOTO YA JIWE’ KWA WAZIRI MKUU WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewabana Mameneja wa RUWASA na TANROADS mkoani Mara kwa kuwahoji maswali huku akiwaonya...
1 Reactions
11 Replies
222 Views
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
1 Reactions
31 Replies
533 Views
Simanzi nzito na majonzi yasiyo na kifani yametanda kote nchini kufuatia taarifa za kusikitisha za kifo cha ghafla cha Suez Daniel Maradufu. Marehemu, ambaye alikuwa dereva mwaminifu wa Makamu...
5 Reactions
31 Replies
855 Views
Kwakuwa hii sijaiona JF, nimeona niiweke for our records: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo, Prof.Pius Mbawala, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika...
4 Reactions
16 Replies
472 Views
Tanzania ni nchi iliyojengwa juu ya msingi wa amani, umoja na mshikamano. Hata hivyo, hali ya sasa imewafanya wananchi wengi kujiuliza mustakabali wa taifa letu. Moja ya changamoto kubwa...
5 Reactions
12 Replies
197 Views
Hii ni Taarifa ya sasa kutoka Kigoma, na Uchunguzi huo unatarajiwa kufanyika leo USIONDOKE JF kwa Taarifa kamili za Uchunguzi huo
18 Reactions
62 Replies
1K Views
  • Redirect
Kwaajili ya pesa tu tena za wafadhili mabeberu, halafu kibaraka moja kwa tamaa zake binafsi, anaamua kudhulumu uhai wa mfanyakazi wake? Kwanini ampe mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Tanzania, John Magufuli amefanya mabadiliko ndani ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kumteua bosi mpya wa jeshi hilo na kumhamisha aliyekuwepo. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania...
20 Reactions
130 Replies
35K Views
Baada ya CCM kupitia serikali yake dhalimu kupiga marufuku mikutano ya siasa na wao kuanza kumtumia waziri mkuu wao fake Mwigulu kumwaga sumu ya kuwa maandamano yameandaliwa kuleta vurugu na wao...
3 Reactions
15 Replies
286 Views
Wana bodi, hii ni kubwa kuliko na kali ya aina yake sio tetesi, ni uhakika wa 100% Kagoda inajulikana na wote, ni Safi, na kamwe haitafikishwa mahakamani. Nikiwa mjini Dodoma kwenye kona kona za...
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Kupitia Mtandao wa X, Rose Mayemba kawatuhumu waarabu fulani(kaweka picha na majina yao) pamoja na watawala kuwa wanachukua shilingi 544 kwenye kila lita ya mafuta pamoja na tuhuma zingine za...
19 Reactions
29 Replies
852 Views
Silazima nisalimu Wana jamvi. Katika Hali ya kushangaza na kustaajabisha, ni Jana Tu alitoa kauli kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.Leo Dereva wake kafa..NI kuna ujumbe umetumwa kwake ama Vipi?
11 Reactions
95 Replies
2K Views
Kwamba ule msemo kuwa samaki mmoja akioza wote wameoza si kweli. Mwalimu ameoza , anatolewa, wazima wanabaki. Mshirika wake mkubwa leo anamuita samaki aliyeoza. Kuna siku na yeye ataoza
7 Reactions
21 Replies
446 Views
KAFULILA AFAFANUA KUHUSU PPPC NA TISEZA == Dodoma – Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Zacharia Kafulila, ametoa public lecture katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)...
5 Reactions
9 Replies
284 Views
KAFULILA AAHIDI MASTERS YA PPP UDOM Dodoma – Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha PPP, Bw. David Kafulila, ameahidi kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kitakuwa miongoni mwa taasisi chache duniani...
5 Reactions
45 Replies
637 Views
CHAPTER TWO OF THE BOOK 'The Poorest Man in Africa': A Childwood Without Dreams. In chapter two, Raphael reflects on a childhood shaped by extreme poverty, where survival came before ambition...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Mbunge wa Kisarawe, Mhe. Dkt. Suleiman Jaffo, akichangia katika Bajeti Kuu ya Serikali jijini Dodoma, ametoa wito wa kuimarisha sekta ya makazi kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na...
4 Reactions
43 Replies
770 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Kamishna wa Uhifadhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
0 Reactions
15 Replies
472 Views
Back
Top Bottom