Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Bi. Anastazia Tutuba, akimkabidhi Toroli Bi. Coleta Benedict ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano...
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko la Machinga Complex jijini Dodoma, Marico Magale, amesema wamachinga wa soko hilo wamepokea na kuunga mkono uamuzi wa Serikali wa kusitisha mikutano ya...
Wakuu,
Mchekeshaji Gasper Kagonda, anayefahamika zaidi kama Gasper Comic, amefunguka kuwa amekuwa akipokea vitisho kutoka kwa watu asio wajua. Kutokana na hofu hiyo, amekiri kuwa kuna wakati...
DEREVA WA JOHN HECHE AKUTWA AMEKUFA DAMU ZIMETAPAKAA KWENYE SAKAFU.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinasikitika kuwatangazia kifo Suez Dani Maradufu ambaye ni dereva wa Makamu wa...
Assalam alaykum
Kila mtu anafahamu kuwa nchi inapita kwenye mapito magumu mno kutokana na mzozo wa vyama hivi na kutunishiana misuli CCM wanatumia dola huku CHADEMA wakiwekeza katika harakati...
Wakuu,
Huyu Clemence Mwandambo walivyomkamata polisi walimfanya nini?
Hii hapa ni video akizungumzia kuhusu maandamano yanayopangwa kufnaywa Siku ya Tarehe 7 mwezi wa 7:
"Unawachochea watoto za...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinasikitika kuwatangazia kifo Suez Dani Maradufu ambaye ni dereva wa Makamu wa Mwenyekiti Bara, Mheshimiwa John Heche
Suez amekutwa amefariki leo...
Angalia kilichofanyika Tuninisia na Egypt kipindi cha Arab springs miaka ya 2010. Tawala za madikteta waliokuwa wakitafuna mali za umma na familia zao ziliangushwa na kufurushwa kwa kupitia...
Anatuhumiwa kushirikiana na Katibu Mkuu Salum Mwalimu aliyekalia kuti kavu kuunga Mikono ccm pamoja na kutafuna hela za Chama
Tulionya Mapema sana kuhusu madhara ya laana ya Usaliti lakini...
Sasa Amefika Mkoa wa Mara
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
📆 1 Julai, 2026.
🕰️ 5:00 Asubuhi.
Lengo la Ziara:
1. Kukagua Jengo la Utawala - H/W ya...
Huyu mbunge wa Arusha, nadhani aligombea ubunge akilenga uwaziri and nothing else.
Mambo ya muhimu hafanyi.
You can imagine hakuna direct flight toka Arusha kwenda Dodoma.
Huyu mbunge hana...
Nimesikikiza mara nyingi tu lkn Sioni walipo sema wamekosea na kuomba radhi Watanzania.
Naomba tumsikikize ili nasi tujue nini kilisababisha Hawa watu kuyaongea Haya kwa kujiamini Tena bila ya...
Hivi neno uzalendo mnajua maana yake? Mbatuambia tuipende nchi yetu huku nyie wenyewe mkiishi kwenye dimbwi la anasa na watoto wenu.
Bei ya mafuta Huko duniani imeshuka Kwa kiwango cha chini...
This is not just a story about poverty. It is a story about survival, a mother's sacrifice, and a child's determination to find hope in the darkest moments.
Will this young boy escape the village...
Hello watanzania.
Kwa sasa ata kama we ni chawa ni dhahili anguko la Samia unaliona, Samia wa 2021-2023, sio Samia huyu. Samia wa enzi zile alikuwa anapendwa na watanzania japo sio wote na...
Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema hakuna Mtanzania ambaye anatamani kuona matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Amesema matukio hayo yaliathiri na...
Kwa nijuavyo, hatujawahi kuwa na waziri wa fedha mzenj tangia Nyerere hadi Magu.
Najua Fedha si suala la muungano huenda ndiyo maana wote wenye akili timamu waliamua kutokuwa na mawaziri wa fedha...
Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimetoa shukrani zake za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia magari mawili (Toyota Land Cruiser...
Leo, shinganya waumini wa KKKT wamekataa upuuzi wa kutumika imani yao na kanisa kumsafisha Samia. Kulikuwa na kampeni kubwa sana imeandaliwa na michango ya mabilioni ya fedha kutoka kwa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.