Napendekeza hivyo, kwani sioni ulazima wa kuendelea kufundisha kozi ambazo serikali inaona zinagusa maslahi yake na kuwafanya wahadhiri waonekane kama vikaragosi.
Kwa mara nyingine tena, serikali...
Watu hutafuta Maridhiano baada ya kugombana au kuhujumiana ata kupigana. Kama ilivyokuwa kenya. Ulikuwa ugonvi kati ya Odinga na Kenyata. Watu wakakaa wakataka waridhiane. Lengo ni kuondoa tofauti...
Hivi CCM wanapochagua watu wao ,Huwa wanaagalia Uwezo wa kubwabwaja ??
Kidumee cha chama, Mama oyeeee, Mama añaupiga....
Sasa haka kajama ka Paul Chacha, Kalikochaguliwà Ukaribu Oganizesheni ...
Mimi huu ndio ushauri wangu kwasababu tabu na mateso anayopitia ni kwasababu yetu, watoto wetu, wajukuu zetu na hata vitukuu vyetu.
Tukumbuke alishapigwa risasi na leo yuko jela zaidi ya mwaka na...
Tumalize huu ubishi ulioenea kuwa kati ya Mwenyekiti wa ngome ya vijana ACT, Kijana machachari Abdul Nondo na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa kisiasa nani zaidi?... Mimi sina upande...
Sio kwamba CCM kimepoteza imani kwa wananchi kwa kiasi hiki la khasha
CCM kimebweteka baada ya kujitoa kwenye chama cha siasa na kuwa chama cha kidola
Tunaihitaji CCM inayopenda...
Nimemsikia samia akisema wanamsubiria mwenzao anatafakari mambo kadhaa. Na hawa wengine nmewaona wana furaha wakitabasamu kuwa pale.
Sasa hawa si wapo tayari? Kuna Chauma, ACT, CUF,TLP,NLD,NCCR...
Tusipokuwa makini itakuwa kila baada ya uchaguzi tunafanya maridhiano
Mfano mwaka huu 2026 tupo kwenye maridhiano na itakuwa hivyo hivyo mwaka 2031 tutafanya tena maridhiano na itakuwa mwaka 2036...
Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni...
Niliwai kiwadokeza hapa members sita ambao Rais anafuatulia michango yao, ila sikutaja ID zao ila 4 walikuwa wanampinga sana na alikuwa anaandika sehemu anachosoma 2021-2023, wawili ni wale...
Jana Mahakama imetoa ushindi kwa LISU. Kumekuwa na nderemo na vifijo kwa hukumu hiyo.
Kwangu mimi sina la kushangilia, bado Mahakama ni tawi la serikali linapokea maagizo ya serikali...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amesema maridhiano ya kisiasa hayawezi kufanikiwa bila kuwepo kwa ukweli na uwajibikaji kuhusu matukio ya kisiasa yaliyotokea nchini.
Amesema hatua ya...
Hamjambo!
Wote tunajua kuna ukoloni mamboleo. Zaidi tunafahamu nchi nyingi za kiafrika zilipata uhuru wa bendera.
Tunafahamu pia Katiba inayotumika ni ile ya 1977 ambayo kimsingi inatumia mfumo...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA akiwa mkoa wa Mwanza amezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo suala la utekaji nchini, ambapo ameshutumu kuwa anafuatiliwa na watu wanaotumia magari yenye namba za...
Hawa wafanyabiashara ya Madawa ya kulevya, Mafisadi, Wahujumu Uchumi, Wauaji na Watekaji, wanafanya kila njia kuhakikisha katiba mpya haipatikani.
Mara watasema, Katiba mpya si kwaajili ya...
SIASA ZA MAIGIZO HAZIFUTI DAMU, HESHIMA HAINUNULIWI KWA VIKAO VYA IKULU
Nianze na nukuu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere "Mtu mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu, na wewe ukijua ni...
Ninakuona una akili Kubwa na Huru, japo baadhi ya Nyakati, Maisha ya Kisiasa na fujo zake zinakuondoa katika Mstari.
Sasa basi, Wagombea Ubunge kupitia CHADEMA Uchaguzi ujao ( si lazima tufike...
Ninakuambia hapa na kukushauri, suala sio Urais , Wewe ni Binadamu!!.
Huko CCM Kwako ni kwa moto, Kila Mtu anapambana kuzidi kukufanya uonekane ni Mbaya, Katili ,na dikteta usiye na Mfano ( japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.