Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

UTANGULIZI: Habari ndugu MTANGANYIKA, leo ni mambo mengi kweli ya kusema ambayo yanatatiza sana moyo wangu. Nimejaribu kuandika wiki kadhaa lakini naishia kufuta kila nikimaliza kuyaaandika...
86 Reactions
352 Replies
22K Views
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu ameiambia mahakama kuwa amekaa mahabusu kwa siku 139 tangu...
3 Reactions
23 Replies
555 Views
"Wamepanga kupiga Risasi Waandamanaji ili Waseme ni Serikali " Hiii Kauli haikupaswa kutolewa na Mtu wa aina yako kiuongozi hata km ni Serikali Haramu. Hii ni Kauli inayovua Nguo Vyombo vya...
4 Reactions
11 Replies
214 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amezungumzia utaratibu wa maandamano na mikusanyiko ya hadhara kwa mujibu wa Katiba na Sheria, ikiwemo wajibu wa kutoa taarifa kwa Kituo cha...
0 Reactions
6 Replies
215 Views
Taarifa kuwa Rostam Aziz kapewa tuzo ya juu na waziri mkuu Lameck, ni matusi kwa taifa. Eti kapewa tuzo kwa kuchangia kukuza uchumi! Anachangiaje kwa kutuibia? Je, kuna wakubwa nyuma yake hasa...
5 Reactions
15 Replies
400 Views
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu, kuanzia...
3 Reactions
11 Replies
264 Views
Wanafungua kwa muda na ku post issues zao...... but this is not practical maana watafungua na kufungua mara ngapi kwa siku? Au Wanatumià VPN? Sasa kama wanatumia VPN, si na wanachi watafanya...
6 Reactions
17 Replies
255 Views
Kada wa CHADEMA aliyerejea hivi karibuni kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa amesema baadhi ya wanachama wa CCM wanajiona kuwa ni sehemu ya dola, huku serikali ikijiona kama...
3 Reactions
11 Replies
283 Views
Wanazuoni wameweka wazi kuwa nywele zisizo na mpangilio mzuri ni kiashiria cha awali cha ugonjwa wa akili ... haya ameyasema Flament, F, et al (2025) Someni hyo article
0 Reactions
2 Replies
85 Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kinakataa kauli ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Serikali haina mgogoro na vyama vya siasa(ikiwemo CHADEMA), akidai kuwa kauli hiyo...
8 Reactions
14 Replies
323 Views
  • Redirect
Muonekano wa nywele ni kionyeshi cha akili ya mtu, tunatumia nywele kugundua ugonjwa wa akili wa mtu, nywele zisizo na mpangilio ni kionyeshi cha awali cha ugonjwa wa akili (Flament, F, et, al...
1 Reactions
Replies
Views
Akili zingine huwa zinastaajabisha sana eti waje kushika madaraka ya nchi!? #Biashara ya vyama vya siasa inalipa sana ona afya zao na mali walizonazo,fananisha na wale wazungusha mikono wa...
3 Reactions
12 Replies
174 Views
Ikumbukwe kwamba Simon Sirro alishasema dereva huyo kafa kifo cha kawaida TOA MAONI YAKO
14 Reactions
60 Replies
1K Views
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila...
12 Reactions
43 Replies
1K Views
Mnamuendekeza Mwaipopo and Co. Ltd, kuna siku yatatokea. Uchawa ni sawa na ubaguzi wa dini maana Chawa wanawabagua wengine kuwa wao ndio wenye nchi na wengine ni "masalia"
1 Reactions
5 Replies
95 Views
Samia Acha uoga mzee huyo hana kosa we ndo una makosa Mnatuforce kuingia kwenye siasa bila kutaka Mnatulazimisha , Mpaka kuna watu Uzi fulan Walisema natumia Pesa haramu za samia kutamba nchi...
5 Reactions
12 Replies
611 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Juni 2, 2026, . Akizungumza mahakamani hapo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John...
6 Reactions
24 Replies
798 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limemtaja kuwa linamshikilia Neema Steven Chozaire, mkazi wa Mwatulole, Manispaa ya Geita, na linaendelea kumhoji kufuatia ushahidi uliokusanywa kuhusu tuhuma...
1 Reactions
22 Replies
507 Views
Kituo cha habari cha kidijitali cha Jambo Online Television kimetangaza rasmi kurejea hewani kuanzia leo, Julai 3, 2026, baada ya kukamilika kwa adhabu ya kufungiwa kwa muda wa siku 90 iliyokuwa...
1 Reactions
5 Replies
185 Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani kile kilichodai ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na vyombo vya dola dhidi ya wananchi wa Kitongoji cha Luhafe, Kijiji cha...
2 Reactions
3 Replies
116 Views
Back
Top Bottom