Mbunge wa Kisarawe, Mhe. Dkt. Suleiman Jaffo, akichangia katika Bajeti Kuu ya Serikali jijini Dodoma, ametoa wito wa kuimarisha sekta ya makazi kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Kamishna wa Uhifadhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
Nilijua haya mambo yameisha. Kumbe bado.👇
==============
Taarifa ya kutekwa/kupotea Amosi Lukinda, siku ya Jumamosi June 20, 2026, Lukinda aliaga kwamba kuna watu wamemuita wanashida nae huko...
Yaani kwa mfano hapa Tanzania, unakuta chama cha siasa cha upinzani ambacho hakina hata uelekeo maalumu, badala ya kusukuma agenda zake, kinatafuta kua na uhasama au kinajenga chuki zisizo na...
Wakuu,
Mkazi wa Manzese, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, Mohamed Mgomvi, ametuma ujumbe kwa Jeshi la Polisi akiwataka "wasilaumu" endapo watasikia nyumba ya mtu imechomwa moto
Soma Pia...
Tulionya kuhusu October 29 kwamba serikali kujipachika madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola itakosa uhalali wa kisiasa na ungwaji mkono wa wananchi walio wengi sasa kiko wapi...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Mussa Juma Assad, amesema katika kipindi chake cha utumishi alikuwa akipokea simu za maelekezo kutoka kwa baadhi ya watu wakimtaka...
"Kuzingatia maelezo ambayo ni msingi wa kikatiba na sheria, msimamo wa kisheria nchini ni kwamba haki ya kufanya mikutano ya hadhara ni haki ya kikatiba lakini utekelezaji wake unaweza kuwekwa...
Hamjambo!
Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara.
Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini.
Faraja kwa maana yakuwa...
Kuna maneno maneno yamekuwa yakitamkwa kila wakati kwamba Raisi Samia na Makamu wake Dr. Emmanuel Nchimbi hawaelewani katika mambo mengi. Mimi sijui kama hil ilina ukweli wowote. Lakini kama ni...
https://www.youtube.com/watch?v=k_vjhqNEwi4&pp=0gcJCU4LAYcqIYzv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwaapisha Viongozi Wateule, 01 Julai, 2026, Ikulu Dar es Salaam.
Wanabodi
Karibuni kwenye hii Live mubashara from Mlimani City kupitia TBC, kushuhudia Maandimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA na halfa ya Tuzo ya kwanza ya Rais kwa mlipa kodi...
Wakuu,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesho Ijumaa, Julai 3, 2026, Mahakama ya Rufani ya Tanzania itakayosikiza jijini Dar es Salaam maombi ya marejeo Na...
Hakika Lissu na Heche wameishika serikali pabaya.
Vinginevyo mnieleze kwanini Mwigulu Nchemba anatapatapa na mikutano Ikungi na Nyamongo.
..Na ziara hiyo imetanguliwa na kuzuiwa kwa mikutano...
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw
Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa...
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Tanzania, Simon Sirro amesema waliomteka mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ walitaka kupewa fedha licha ya kutotaja kiwango wanachohitaji.
Sirro ametoa...
Iko hivi muda si mrefu viongozi wa mihimili nyeti ya nchi watakuwa kikaangoni mmoja baada ya mwingine.
Na hoja kuu itakua "Inakuwaje kiongozi mzuri na mzoefu unafumbia macho"uvunjifu wa sheria...
Kichwa cha habari kiko wazi. Zama za marais wakristo, waislamu walizoea kusema huu ni mfumo kristo. Ila baada ya kuingia mwenzao, hawataki tuseme huu ni mfumo islam! Washukuru mkristo Magufuli...
Huyu anayejiita sheikh Mwaipopo alikamatwa akitapeli Kenya, akapelekwa mahakamani kwa kutapeli KES 1.3 Mil, hii ni sawa na TZS 26 Mil. Huyo Sheikh Ubwabwa alivyokamatwa akatuma salaam kwa waumini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.