Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Kisarawe, Mhe. Dkt. Suleiman Jaffo, akichangia katika Bajeti Kuu ya Serikali jijini Dodoma, ametoa wito wa kuimarisha sekta ya makazi kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na...
4 Reactions
43 Replies
770 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Kamishna wa Uhifadhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
0 Reactions
15 Replies
471 Views
Nilijua haya mambo yameisha. Kumbe bado.👇 ============== Taarifa ya kutekwa/kupotea Amosi Lukinda, siku ya Jumamosi June 20, 2026, Lukinda aliaga kwamba kuna watu wamemuita wanashida nae huko...
2 Reactions
10 Replies
350 Views
Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Kasheku Musukuma akiwa katika mahojiano na Channel ya M&S Podcast ambayo yamechapishwa Julai 1, 2026.
5 Reactions
29 Replies
845 Views
Yaani kwa mfano hapa Tanzania, unakuta chama cha siasa cha upinzani ambacho hakina hata uelekeo maalumu, badala ya kusukuma agenda zake, kinatafuta kua na uhasama au kinajenga chuki zisizo na...
1 Reactions
44 Replies
467 Views
Wakuu, Mkazi wa Manzese, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, Mohamed Mgomvi, ametuma ujumbe kwa Jeshi la Polisi akiwataka "wasilaumu" endapo watasikia nyumba ya mtu imechomwa moto Soma Pia...
4 Reactions
59 Replies
1K Views
Tulionya kuhusu October 29 kwamba serikali kujipachika madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola itakosa uhalali wa kisiasa na ungwaji mkono wa wananchi walio wengi sasa kiko wapi...
3 Reactions
4 Replies
93 Views
  • Featured
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Mussa Juma Assad, amesema katika kipindi chake cha utumishi alikuwa akipokea simu za maelekezo kutoka kwa baadhi ya watu wakimtaka...
14 Reactions
49 Replies
2K Views
"Kuzingatia maelezo ambayo ni msingi wa kikatiba na sheria, msimamo wa kisheria nchini ni kwamba haki ya kufanya mikutano ya hadhara ni haki ya kikatiba lakini utekelezaji wake unaweza kuwekwa...
0 Reactions
5 Replies
193 Views
Hamjambo! Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara. Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini. Faraja kwa maana yakuwa...
4 Reactions
12 Replies
232 Views
Kuna maneno maneno yamekuwa yakitamkwa kila wakati kwamba Raisi Samia na Makamu wake Dr. Emmanuel Nchimbi hawaelewani katika mambo mengi. Mimi sijui kama hil ilina ukweli wowote. Lakini kama ni...
6 Reactions
17 Replies
311 Views
https://www.youtube.com/watch?v=k_vjhqNEwi4&pp=0gcJCU4LAYcqIYzv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwaapisha Viongozi Wateule, 01 Julai, 2026, Ikulu Dar es Salaam.
4 Reactions
15 Replies
284 Views
Wanabodi Karibuni kwenye hii Live mubashara from Mlimani City kupitia TBC, kushuhudia Maandimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA na halfa ya Tuzo ya kwanza ya Rais kwa mlipa kodi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuwa kesho Ijumaa, Julai 3, 2026, Mahakama ya Rufani ya Tanzania itakayosikiza jijini Dar es Salaam maombi ya marejeo Na...
3 Reactions
6 Replies
354 Views
Hakika Lissu na Heche wameishika serikali pabaya. Vinginevyo mnieleze kwanini Mwigulu Nchemba anatapatapa na mikutano Ikungi na Nyamongo. ..Na ziara hiyo imetanguliwa na kuzuiwa kwa mikutano...
15 Reactions
15 Replies
501 Views
24 January 2025 Dar es Salaam, Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa...
3 Reactions
84 Replies
4K Views
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Tanzania, Simon Sirro amesema waliomteka mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ walitaka kupewa fedha licha ya kutotaja kiwango wanachohitaji. Sirro ametoa...
6 Reactions
616 Replies
76K Views
Iko hivi muda si mrefu viongozi wa mihimili nyeti ya nchi watakuwa kikaangoni mmoja baada ya mwingine. Na hoja kuu itakua "Inakuwaje kiongozi mzuri na mzoefu unafumbia macho"uvunjifu wa sheria...
0 Reactions
11 Replies
180 Views
Kichwa cha habari kiko wazi. Zama za marais wakristo, waislamu walizoea kusema huu ni mfumo kristo. Ila baada ya kuingia mwenzao, hawataki tuseme huu ni mfumo islam! Washukuru mkristo Magufuli...
6 Reactions
36 Replies
444 Views
Huyu anayejiita sheikh Mwaipopo alikamatwa akitapeli Kenya, akapelekwa mahakamani kwa kutapeli KES 1.3 Mil, hii ni sawa na TZS 26 Mil. Huyo Sheikh Ubwabwa alivyokamatwa akatuma salaam kwa waumini...
6 Reactions
14 Replies
414 Views
Back
Top Bottom