Wameanza kujidanganya na wanamdanganya kuwa hili litapita kama mengine yalivyopita, wana buy time ili jamii isahau, wanasema tugange yajayo.
Nawaambia kuwa wasipowajibika wao tutahakikisha watoto wao au wajukuu zao wanaowarithisha uongozi wanawajibika.
Matendo yao yako documented, tutatunza lisiti kama kumbukumbu na tutampa kiongozi mzalendo tutakayempata azifanyie kazi hata kama itapita miaka 20, ogopa Mungu na Teknolojia.
Huwezi kuua ndugu zetu wasio na hatia wamelala chumbani halafu useme business as usual. Never.
Nawaambia kuwa wasipowajibika wao tutahakikisha watoto wao au wajukuu zao wanaowarithisha uongozi wanawajibika.
Matendo yao yako documented, tutatunza lisiti kama kumbukumbu na tutampa kiongozi mzalendo tutakayempata azifanyie kazi hata kama itapita miaka 20, ogopa Mungu na Teknolojia.
Huwezi kuua ndugu zetu wasio na hatia wamelala chumbani halafu useme business as usual. Never.