Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu faragha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga...
9 Reactions
182 Replies
9K Views
Licha ya upinzani mkubwa wa sera na mipango mikubwa ya Chadema ni wazi CCM ni mshindi mpaka sasa Kwa sababu hawa Chadema wenye wafuasi wengi hawatashiriki uchaguzi. CCM Wana Hela za kutosha...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA John Mnyika akiongea katika mdahalo uliofanyika kidigital kupitia mtandao wa Zoom mapema leo.
2 Reactions
7 Replies
142 Views
Rais Samia kushiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa leo Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe - Dar es Salaam. https://www.youtube.com/live/NZ57idJKHwQ?si=S2Y-6Mx9OoOrpMT6 Uzinduzi...
5 Reactions
277 Replies
13K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tanganyika, John Heche, amesema leo saa nane mchana watatuma ujumbe kwa Watanzania kupitia vyombo vya habari, akisisitiza kuwa nchi inahitaji uongozi thabiti huku...
18 Reactions
71 Replies
3K Views
Watu waliouwawa Oct 29 sio wale waliochoma moto vitu, hili suala la kusingizia walichoma vitu ni la kupumbaza tu, kwanza kuchoma vitu adhabu sii kifo. Adhabu ya kuchoma vitu adhabu sii kifo...
5 Reactions
8 Replies
170 Views
Mtangazaji machachari wa kituo cha runinga cha Clouds Media Sam Sasali akimuhoji Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila katika Mdahalo wa The Cafe Talk...
12 Reactions
66 Replies
3K Views
Unajua hata kama unanufaika na mfumo basi tambua tu kwamba Kuna maisha Duniani na hupita na kufuatiwa na nyumba ya milele katika usingizi wa umauti. Kweli unaandaa press kwa Kodi za Wananchi...
8 Reactions
11 Replies
593 Views
1. CDF 2. IGP
6 Reactions
12 Replies
241 Views
Maelezo yake yalijaa vitisho mwanzo mwisho. Pia alionekana kulazimisha watanzania waamini kuwa bandari inapata faida baada ya kununuliwa na DP World. Hiyo faida ya bandari siyo ya watanzania, ni...
22 Reactions
49 Replies
3K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Bajeti ya Serikali ya 2025/26 itakayosomwa kesho Juni 12, 2025 ni bajeti ya uchaguzi kwa sababu Serikali imeanza safari ya kugharamia uchaguzi wake...
8 Reactions
76 Replies
3K Views
Pia anatajwa kama kiongozi wa UVCCM kata ya Kindai, Singida. Ushahidi huu hapa Je ni nani anayemtuma na anataka nini?
14 Reactions
74 Replies
3K Views
Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya. Britanicca
41 Reactions
154 Replies
7K Views
Angalizo: Mods Msiunganishe Huu Uzi . Kutoka kwenye Bajeti ya Tanzania 2025/26 ya Shilingi Trilioni 56.4 ikiwa ni ongezeko la makadirip ya awali ya Trilioni 55. Uchambuzi wake Kwa muktadha wa...
8 Reactions
95 Replies
2K Views
Hii naomba muichukue kama ilivyo kwani ni swala la muda tu. Itakuwa ni kama vile Lissu alipoenda kusalimiwa pale Nairobi baada ya kumiminiwa risasi na jeshi la Farao wa wakati ule. Muda utaongea.
6 Reactions
7 Replies
150 Views
Salaam Wakuu! Mwenye CV ya huyu Mtanzania mwenzetu, tafadhali aiweke hapa.
13 Reactions
62 Replies
5K Views
Waziri wa fedha wakati akiwasilisha bajeti ya taifa amewataka wananchi kuilinda amani na wasikubali mksingi ya taifa ikatikiswa kwani mataifa yaliyofanya mazaha na jambo hilo iliingia kwneye...
2 Reactions
25 Replies
682 Views
Katika maisha yangu yote ya kusoma sayansi ya biologia, hakuna topic ambayao mpaka sasa nimeshindwa kuielewa kama EVOLUTION. Hii ndio topic inayojaribu kuaminisha watu kuwa ulimwengu na viumbe...
16 Reactions
35 Replies
2K Views
Hili liwe onyo kwa Wajinga wenzao kote tunakopita, ukijaa kwenye mfumo wetu utapigwa. Chadema inataka Amani lakini haitavumilia ujinga wa yeyote yule.
44 Reactions
120 Replies
6K Views
Back
Top Bottom