Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huyu alikuwa Mkuu wa kikosi huko Mbeya, akiitwa Luteni Kanali Lubinga akikiri hadharani kuvunja katiba ya nchi ili kuibeba CCM, amekiri bila aibu wala wasiwasi wowote, hii ni kwa sababu hakuna...
14 Reactions
73 Replies
5K Views
VIDEO:Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Watanzania kuheshimu utawala wa kisheria na mamlaka ya serikali nchini Tanzania huku akitoa onyo kwa wale wanaofikiri kuwa...
0 Reactions
6 Replies
161 Views
Msukuma, Habari za mchana! Hii hapa TAARIFA YA KWANZA YA CHAMA baada ya 29 October na ilikuwa tarehe 5. Mwenyekiti alikutana na wajumbe wako kwenye kikao cha kamati kuu maalum. Na mengine mengi...
1 Reactions
5 Replies
160 Views
Wanaume mtu anafikishwaje mahakamani mnasimama Kupiga picha tu na kusokota nywele? Lissu wanawake wana uwezo wa kuzuia kila kitu na akaachiwa
1 Reactions
5 Replies
125 Views
Ni kupokezana kijiti kwa familia ya Karume na Mwinyi kuwa marais wa Zanzibar. Lakini aliyempindua Sultan Jamshid ni John Okello. Ambae hakufaidi hata kwa tone mapinduzi ya Zanzibar. Leo hii...
15 Reactions
70 Replies
1K Views
Kuna mengi sana niliwaambia kuhusu huu ulioitwa uchaguzi. Niliwaambia kwamba kushiriki uchaguzi unaoendeshwa na kusimamiwa na tume aliyoiunda Samia, ni umajinuni. Sihitaji kusema mengi wala...
38 Reactions
72 Replies
3K Views
Mahojiano kwa maneno kati ya Sigrada Mligo na Mwandishi wa habari Mwandishi: Uliwaza nini kuondoka CHADEMA, kwa sababu tunajua kila kitu kina sababu. Sigrada Mligo: Niliwasha simu nikakuta...
1 Reactions
1 Replies
83 Views
Kwa sasa imekuwa kawaida na watoto wamekuwa wakishangazwa na hali ya sasa. Watoto wanauliza kwanini tunaona polisi na guns mitaani? - Je wanataka kutuua? — Hii ni historia mbaya kwa TZ na kwa...
6 Reactions
13 Replies
293 Views
  • Redirect
Kwa mujibu wa madai yanayodaiwa kutolewa na Sugu na Lema, tuhuma dhidi ya Heche zilianza baada ya viongozi hao kudai kuwa walimtambulisha kwa baadhi ya wadau ili kukusanya michango ya kuendesha...
3 Reactions
Replies
Views
Anonymous
YAHUSU: OMBI LA MSAADA KUHUSU MCHAKATO WA UTHIBITISHO WA URAIA/NATURALIZATION Kwa Wahusika, Jina langu ni Shabbir Moshinali Moawalla, nimezaliwa Tanga tarehe 16 Desemba 1962. Baba yangu...
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd...
7 Reactions
23 Replies
704 Views
Mwezi Machi mwaka 2017 Tundu Lissu alichaguliwa kuwa Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika- TLS.Alishinda kwa kishindo kwa zaidi ya asilimia 88. Mwezi Septemba 2017 Tundu Lissu alipigwa risasi...
2 Reactions
10 Replies
685 Views
Nani anaweza kunambia ni faida kiasi gani tumepata tangu Lissu amekamatwa? Ni nani anaefaidika na kukamatwa kwa Lissu? Maana kama taifa, hakuna faida yoyote wananchi tunapata tangu amekamatwa...
1 Reactions
11 Replies
153 Views
Ndugu zangu Watanzania, Amri iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutaka Wageni wote wasajiliwe kwa kutumia Namba za Nida katika nyumba za Kulala Wageni Inakwenda kudhoofisha secta hiyo na...
10 Reactions
105 Replies
2K Views
Naishauri serikali isifungue shule TAREHE 6/7/2026 iache hii wiki ipitie hakuna chakupoteza. Wiki hii mpaka TAREHE ya hayo maandamano ni kipindi Tete kiusalama serikali isilazimishe unnecessary...
2 Reactions
7 Replies
195 Views
Wanabodi, Naendelea na Makala maalum za Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA, hii ni taarifa ya TRA Wenyewe Niwatakie Jumamosi Njema. Paskali.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JamiiForums, Kuna wimbi la nyuzi za kijinga na za kipuuzi zinazoanzishwa wakati huu nchini, zikiongozwa na hofu kubwa ya maandamano na mabadiliko ya kisiasa. Katika nyuzi hizo, wapo wanaoibua...
1 Reactions
0 Replies
64 Views
Watu wengi huenda hawaelewi kwanini Tundu Lissu kaamua kuwa anaingia mahakamani kwa style ile na bila shaka wengi hawapati majibu. Binafsi naamini sababu ni hizi: 1. Kuonyesha kuwa sasa anaishi...
13 Reactions
11 Replies
405 Views
"LEMA HAJAELEWA SOMO" TUNDU LISSU "Huyu jamaa mbona nywele ziko safi,hajaelewa somo!?" Hajaelewa zilisikika sauti za wafuasi wa Chadema, Lema akazuga mkuu mbona unagain weight,meseji sent,je...
3 Reactions
18 Replies
443 Views
Ni jambo la fedheha kuwa si Rais Mstaafu Kikwete wala CCM hawajalaani mauaji ya vijana wa Tanganyika. Hili limekaaje wadau? NYONGEZA. Hapa karibuni, Msukuma ameliongelea hili. CCM imedoroa.
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Back
Top Bottom