Huyu alikuwa Mkuu wa kikosi huko Mbeya, akiitwa Luteni Kanali Lubinga akikiri hadharani kuvunja katiba ya nchi ili kuibeba CCM, amekiri bila aibu wala wasiwasi wowote, hii ni kwa sababu hakuna...
VIDEO:Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Watanzania kuheshimu utawala wa kisheria na mamlaka ya serikali nchini Tanzania huku akitoa onyo kwa wale wanaofikiri kuwa...
Msukuma, Habari za mchana! Hii hapa TAARIFA YA KWANZA YA CHAMA baada ya 29 October na ilikuwa tarehe 5. Mwenyekiti alikutana na wajumbe wako kwenye kikao cha kamati kuu maalum. Na mengine mengi...
Ni kupokezana kijiti kwa familia ya Karume na Mwinyi kuwa marais wa Zanzibar.
Lakini aliyempindua Sultan Jamshid ni John Okello. Ambae hakufaidi hata kwa tone mapinduzi ya Zanzibar.
Leo hii...
Kuna mengi sana niliwaambia kuhusu huu ulioitwa uchaguzi.
Niliwaambia kwamba kushiriki uchaguzi unaoendeshwa na kusimamiwa na tume aliyoiunda Samia, ni umajinuni.
Sihitaji kusema mengi wala...
Mahojiano kwa maneno kati ya Sigrada Mligo na Mwandishi wa habari
Mwandishi: Uliwaza nini kuondoka CHADEMA, kwa sababu tunajua kila kitu kina sababu.
Sigrada Mligo: Niliwasha simu nikakuta...
Kwa sasa imekuwa kawaida na watoto wamekuwa wakishangazwa na hali ya sasa. Watoto wanauliza kwanini tunaona polisi na guns mitaani? - Je wanataka kutuua? —
Hii ni historia mbaya kwa TZ na kwa...
Kwa mujibu wa madai yanayodaiwa kutolewa na Sugu na Lema, tuhuma dhidi ya Heche zilianza baada ya viongozi hao kudai kuwa walimtambulisha kwa baadhi ya wadau ili kukusanya michango ya kuendesha...
YAHUSU: OMBI LA MSAADA KUHUSU MCHAKATO WA UTHIBITISHO WA URAIA/NATURALIZATION
Kwa Wahusika,
Jina langu ni Shabbir Moshinali Moawalla, nimezaliwa Tanga tarehe 16 Desemba 1962.
Baba yangu...
Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu.
Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi
What herd...
Mwezi Machi mwaka 2017 Tundu Lissu alichaguliwa kuwa Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika- TLS.Alishinda kwa kishindo kwa zaidi ya asilimia 88.
Mwezi Septemba 2017 Tundu Lissu alipigwa risasi...
Nani anaweza kunambia ni faida kiasi gani tumepata tangu Lissu amekamatwa?
Ni nani anaefaidika na kukamatwa kwa Lissu? Maana kama taifa, hakuna faida yoyote wananchi tunapata tangu amekamatwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Amri iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutaka Wageni wote wasajiliwe kwa kutumia Namba za Nida katika nyumba za Kulala Wageni Inakwenda kudhoofisha secta hiyo na...
Naishauri serikali isifungue shule TAREHE 6/7/2026 iache hii wiki ipitie hakuna chakupoteza.
Wiki hii mpaka TAREHE ya hayo maandamano ni kipindi Tete kiusalama serikali isilazimishe unnecessary...
Wana JamiiForums,
Kuna wimbi la nyuzi za kijinga na za kipuuzi zinazoanzishwa wakati huu nchini, zikiongozwa na hofu kubwa ya maandamano na mabadiliko ya kisiasa. Katika nyuzi hizo, wapo wanaoibua...
Watu wengi huenda hawaelewi kwanini Tundu Lissu kaamua kuwa anaingia mahakamani kwa style ile na bila shaka wengi hawapati majibu.
Binafsi naamini sababu ni hizi:
1. Kuonyesha kuwa sasa anaishi...
Ni jambo la fedheha kuwa si Rais Mstaafu Kikwete wala CCM hawajalaani mauaji ya vijana wa Tanganyika.
Hili limekaaje wadau?
NYONGEZA.
Hapa karibuni, Msukuma ameliongelea hili.
CCM imedoroa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.