Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo - Bara, Isihaka Mchinjita, jana Januari 15, 2026, ameendelea na ziara yake ya kikazi kwa kukutana na Viongozi pamoja na Wajumbe wa jimbo la Tanga...
1 Reactions
4 Replies
150 Views
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana. Hawa...
12 Reactions
28 Replies
920 Views
Nimekuwa nikijiuliza sana imekuwaje hawa jamaa wamegeuka ghafla kuwa machawa wa ccm na wapumbavu kupindukia? Badala ya kusimamia maslahi ya wananchi na Taifa sasahivi wanasimamia maslahi ya CCM...
10 Reactions
41 Replies
549 Views
Video za oct 29 zinaonesha baadhi ya askari walikuwa wakisimamisha wapita njia na kuwagaragaza kwenye mitaro na kuwapiga viboko na risasi Kitendo hiki tunakichukuliwa kama uharifu dhidi ya raia...
6 Reactions
6 Replies
269 Views
Sijawahi kumuona mwanasiasa aliehudumu ktk siasa miaka 40 hafla kukosa uongozi akakaa kimya Kama Mbowe. Sio Tanzania, China au hata Japan
8 Reactions
27 Replies
514 Views
Bilionea tokea Pande za Kyela ameahidi kuchangia Chama Chetu kwa 50 b TZS ili kufanikisha kampeni za CCM mwaka huu
7 Reactions
31 Replies
3K Views
CCM sio Chama cha siasa Ila ni Serikali, hivyo kushindana na CCM unahitaji akili Sana . Na sio hivi kama wanavyofanya hawa vijana akina Lissu na wengineo. Binafsi watu ambao hawaulewi ukweli...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Simbachawene kafanya nini tena? Mbona imekuwa mapema sana kutenguliwa kwake! Tutamkoma Makonda master misifa au tuseme kuhamasisha AFCON kwa Tanzania imemfanya apate nafasi? ==================...
16 Reactions
214 Replies
7K Views
Mgongano wa kikatiba umejitokeza katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kufuatia kesi zilizofunguliwa na waliokuwa wagombea wa Ubunge kupitia Chama cha ACT-WAZALENDO kwa majimbo 19 ya Unguja Mgongano...
5 Reactions
39 Replies
920 Views
Wanabodi Hii ni opinion article Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!. Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza...
16 Reactions
77 Replies
3K Views
Jarida Maalum la Ofisi ya Waziri Mkuu, Toleo la 3, Januari 2026
1 Reactions
2 Replies
113 Views
Viongozi wengi wakishastaafu au kukaribia kufa wana tabia ya kuomba radhi kwa matendo waliyofanya wakiwa madarakani, wengine huandika vitabu. Akistaafu hatutaki kusikia kaandika kitabu eti...
5 Reactions
8 Replies
178 Views
Wao ni wauwaji kwamba walifanya ugaidi ndani ya Tanzania ndio maana wameteka maiti na hawataki kusema idadi ya vifo mda unakuja kila kitu kitajulikana. Hatucheki na mjinga sisi hatutamuacha mtu...
2 Reactions
2 Replies
79 Views
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Mbabala, jijini Dodoma, baada ya baadhi ya makada wa chama hicho kuandamana hadi...
2 Reactions
10 Replies
915 Views
Wanabodi leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
34 Reactions
136 Replies
6K Views
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia. Taarifa zetu za uchunguzi...
58 Reactions
322 Replies
38K Views
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji...
7 Reactions
18 Replies
348 Views
Video za Oct 29 zinaonesha wazi kulikuwa kuna vituo vingi wasimamizi wa uchaguzi walikuwa wanajaza makaratasi ya kura feki hakukuwa na uchaguzi. Aidha hatujasikia tume huru ya uchaguzi ikikanusha...
3 Reactions
3 Replies
141 Views
https://www.washingtonpost.com/world/2026/01/15/tanzania-samia-suluhu-hassan-internet-shutdown-october-election/21b8d8a0-f24f-11f0-a4dc-effc74cb25af_story.html Huyu Samia ni kiumbe wa ajabu sana...
49 Reactions
66 Replies
1K Views
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Hamis Ulega, alimkumbusha aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kuhusu agizo la Spika wa Bunge linalokataza kuwachokonoa chokonoa viongozi wastaafu, Bungeni...
1 Reactions
1 Replies
134 Views
Back
Top Bottom