Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wake Suez ambaye taarifa za kifo chake iliripotiwa...
4 Reactions
10 Replies
225 Views
Inashangaza!! Kuna video inamuonesha jamaa mmoja ambaye mwanzo nilimpuuza lakini katika pita pita zangu mtandaoni,nakutana na clip moja ikimuonesha huyu jamaa anayejiita Shehe Mwaipopo akijigamba...
15 Reactions
60 Replies
961 Views
Sasa hivi kila neno la CHADEMA ni Sheria kwa Wananchi. Na huu ujumbe umfikie msajili wa Vyama vya siasa Nchi, Nyahoza na Mtungi. Maamuzi ya Msajili wa vyama ni kumfurahisha Samia na Genge lake...
13 Reactions
30 Replies
569 Views
Muda ni mwalim mzuri sana, kuna watu wako busy kubeza kazi aliyoifanya mwalimu Nyerere Ninataka niwaeleze kwamba kuna kundi kubwa hasa la watu fulani wako busy kupotosha wananchi juu ya history...
3 Reactions
68 Replies
6K Views
Huu ujinga sana wanaoleta sasa Hawana sare Hawana magari maalumu wana landruiser kadhaa ambazo hazina plate number wanatembea na plate Nunber mbali mbali na spana wana funga wanapotaka kukamata...
49 Reactions
131 Replies
7K Views
Nimesoma Daily news kuwa JWTZ inawahakikishia wananchi usalama. Bila kutenda haki hakuna uhakikisho wowote. Sana sana mtawapiga risasi, mtawaua watanganyika wenzenu na laana yao itakuwa juu yenu...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 13, 2026 akizungumza na wananchi wa eneo la Majalila, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi amesema kuwa Rais ameshatoa maelekezo kuwa...
2 Reactions
2 Replies
221 Views
Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA, Amani Golugwa amesema kuwa chama kinatilia mashaka kuhusu kifo cha aliyekuwa dereva wa John Heche Mama mjane na wana Tarime naomba niwaambie jambo moja. Na...
0 Reactions
1 Replies
116 Views
Mwenyekiti wa CHAUMMA Jimbo la Tarime Mjini, Butiku Masaku Mwita maarufu kwa jina la Kapanya akizunguma leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha...
2 Reactions
2 Replies
151 Views
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, akiongea na waandishi wa habari jijini Mbeya jana, amehoji na kashangazwa na tangazo la kuzuia mikutano kwa vyama vya...
4 Reactions
9 Replies
242 Views
SALAMU ZA RAMBIRAMBI Kwa huzuni na masikitiko makubwa natoa salamu za Rambirambi kwa msiba huu mkubwa kufuatia Kifo cha Ndugu yetu Suez Dani Maradufu aliyekuwa Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama...
1 Reactions
0 Replies
119 Views
  • Redirect
Msikilize Mchungaji Kimondo
0 Reactions
Replies
Views
Kwa siku kadhaa sasa, kumekuwa na taswira isiyo ya kawaida katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Katika makutano mengi ya barabara na maeneo muhimu, wameonekana askari wa Jeshi la...
2 Reactions
12 Replies
208 Views
  • Redirect
Akizungumza Msibani wa Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Leo Julai 5, 2026, Mwenyekiti wa chama hicho kwa Jimbo la Tarime Mjini, Bashiri Abdallah Selemani...
0 Reactions
Replies
Views
Wakati mwingine huwa siwaelewi CCM wanaposema maandamano ni jambo baya. Au hawajui maandamano ni kitu gani! Kuandamana ni mfuatano wa watu mmoja akimfuata mwingine. Sasa ubaya wa CHADEMA...
4 Reactions
6 Replies
153 Views
Mbunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe Joseph Kamonga, amesema wakazi wa Ludewa wameendelea kuweka juhudi kwenye kilimo hususani cha mahindi na kuiomba Serikali kuendelea kufikisha fedha kwenye...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Je, Wamepotoka au kughafilika, na kwahivyo ni busara waungamishwe na kutubu mbele ya waTanzania? Unadhani mihemko yao, matusi yao, uropokaji wao, uongo wao na uzushi wao dhidi ya wenye mawazo au...
-1 Reactions
7 Replies
160 Views
Mwigulu hivi kweli wewe usomi wako ulitokana na Akili KICHWAN? Au baada ya kua Mwanaccm, ukafahaamika, Wakufunzi wako wakaamua kua wanakufaulisha na kukuuzia Ufaulu?. Matendo na Kauli zako mbona...
2 Reactions
9 Replies
161 Views
Kuna siku nilichaguliwa na Familia kwenda Mochari kuosha Mwili wa ndugu yangu, hakika ilikuwa kazi ilinipa wakati mgumu. Hata chumba cha Mochwari hakijafunguliwa lakini macho yashakuwa mekundu kwa...
9 Reactions
25 Replies
671 Views
Back
Top Bottom