Kinachoendelea sasa kuhusu Ben Saanane ni masikitiko Sana .
Ni bora uchunguzi huru ufanyike ili kujua nani hasa alihusika na kupotea Kwa Ben Saanane .
Uchunguzi huu pia uende sambamba na...
Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema kuna changamoto katika utawala wa sheria, utendaji wa baadhi ya watumishi wa serikali na uelewa wa wananchi kuhusu haki zao za kisheria.
Soma pia...
Huu ni usanii ambao hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuukubali.
Mchina(Heinan) kapewa tenda ujenzi wa barabara huko mkoani.
Kapewa na Advance Payment ya 10% ili aanza kazi.
Tunachojua...
Akizungumza Julai 28, 2026 kwenye kipindi cha One on One cha Wasafi Media, Dkt. Ayub Rioba Chacha, amesema mashambulizi ya maneno na shutuma zinazotolewa kutoka pande zote mbili serikalini na...
Wana JF nani anajua Jumatatu ya hawa jamaa wa NMB itakuwa lini?
Kwenye calender ya Gregoly, waliyotwambia ndiyo leo kakini mambo ndiyo bado magumu kabisa hata hizo sijui POS nazo hakuna kitu...
Hii nchi sio kwamba ni maskini Ila ni vile tu tumeamua watu wachache wajimilikishe nchi kitu ambacho sio sawa bora hata wangejimilikisha nchi wakajua namna ya kula na kipofu.
Serikali zote dunia...
Hakika Tundu Lissu ni tunu ya watanzania. Siku hii huyu Balozi alilala na viatu.
===
Katika mahojiano haya, Tundu Lissu anatetea msimamo wake dhidi ya madai ya kutoshirikiana na vyombo vya sheria...
Chama Kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kimesema hakijafanya mazungumzo yoyote na Serikali ama mamlaka nyingine yoyote kuhusu masuala ya kisiasa na maridhiano ya kisiasa nchini humo...
Serikali ya Tanzania imeiomba Marekani kuondoa vikwazo vya viza kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo, pamoja na vikwazo vingine vya kiuchumi na kiusafiri vilivyowekwa dhidi ya Tanzania...
Hatuhitaji Tena Mauaji mengine kuleta KATIBA na Mabadiliko katika NCHI hii, hata hivo ikilazimu Maandamano, tútaandamana kwa kua ni HAKI.
Hamna mahali popote pale DUNIANI, Kiongozi akaua watu...
📍🔰 CCM 360 ni zaidi ya akili kidigitali.
CCM app iliyoboreshwa zaidi na ziadi. Jisajili, lipa Ada na zungumza moja kwa moja na mtoa huduma wa CCM HQ kupitia CCM 360.
Habari ya mjini ni CCM 360...
Vijana jengeni nchi yenu wenyewe kwa akili na mikono yenu, wazungu hawana fedha za kutupa tujenge nchi yetu, wenyewe wamefilisika vibaya sana. Hata wazungu wanakwenda China na Uarabuni kuomba...
Ni heri tule manyasi kwa kukosa fedha lakini tuko huru, tuna amani na tuko salama sisi na mali zetu.
Tufanye kila kitu kitakachotufanya tuwe huru, tuwe na amani na salama sisi na mali zetu...
Kwa hili acha niseme ,mkiamua kuniokotea mawe mnipige fresh tuu!!!
Pichani ni mzee wa sukuma ndani Agrey Mwanri, hapa Ccm wametisha sana kumrejesha mwamba mchezoni tena kwa wakati sahihi, huyu ni...
NATAMANI KUWAOMBA MSAMAHA KINA CHIEF MANGUNGO
____________________
Kuna nyakati huwa Natamani Sisi Watanzania Kuwaomba Msamaha mababu zetu akiwemo Chief Mangungo kwa KUWACHEKA na Kuwa na HASIRA...
Haya maneno sijawahi kuyasikia toka kwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, lakini Katibu Mkuu John Mnyika ameongea kwa nidhamu kabisa.
Huyu ndiye kiongozi sasa na ishara ya maridhiano naiona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.