Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Video oct 29 za watu waliopigwa risasi hawakuwa maeneo yaliyo haribiwa ni majumbani inaonesha waliuwawa kwasababu hawamtaki samia na sio waharifu. Watu walio uwawa walimkataa samia ndio maana...
1 Reactions
3 Replies
117 Views
Mauwaji na utekaji sio jambo dogo la kutuweka pamoja ndio maana wananchi wamegawanyika na ajiandae kuona jeshi likiasi hatuwezi kuwa kitu kimoja. Mauwaji na utekaji hauwezi kutujenga kitu kimoja...
3 Reactions
6 Replies
231 Views
Chama cha Mapinduzi badala ya kuwa msaada, kimegeuka kampuni binafsi ya watawala na familia zao. Chama hiko kimegeuka kuwa saratani isiyotibika inayoitafuna Tanganyika. Tushikamane kupambana na...
4 Reactions
4 Replies
82 Views
Amsterdam ongea na Trump amkomboe Lissu, maana anaonewa hana kosa. Hakuna wa kumtetea kwani huyu mama akeshaamua kummalizia jela! Sounds awkward, but anything is possible in this era! 1. Nani...
7 Reactions
18 Replies
373 Views
Kufikishwa ICC Kwa Samia Suluhu na Genge lake kunaenda kutupatia Katiba Mpya na Tume Mpya huru ya Uchaguzi yenye Reforms za kutosha. Taarifa za Uhakika kabisa ni kua, SAMIA na Genge lake...
11 Reactions
16 Replies
347 Views
Mtanzania Philipo Mwakibinga amewataka Watanzania kuwapuuza baadhi ya wanaharakati wa mitandaoni wenye nia ovu wanaoeneza uzushi kuwa Rais Samia ana migogoro ya ndani na wasaidizi wake...
1 Reactions
6 Replies
217 Views
Kuna hii taarifa inasambaa inayosema kuwa serikali ya Tanzania inatumia zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kutafuta ushawishi ndani ya Marekani, ikiwemo kuwashawishi Serikali ya Marekani na wadau...
7 Reactions
8 Replies
218 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 16, 2026 kwa ajili ya upande wa Jamhuri kuwasomea hoja za awali (PH) askari Polisi wawili wanaokabiliwa na mashtaka ya kuchapisha taarifa za uongo...
0 Reactions
4 Replies
324 Views
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dkt. Hellen Kijo Bisimba amesema "Kwa uzoefu wa Tanzania, serikali huwa na hofu kubwa dhidi ya maandamano na maandamano...
8 Reactions
16 Replies
280 Views
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya...
7 Reactions
90 Replies
2K Views
If the AG nominates me, I will form a team to defend our lovely madam President. In any court of justice should she face any charges I solemnly affirm and states as follows I’m well acquainted...
3 Reactions
29 Replies
429 Views
Kuna baadhi ya kauli ukizisikia zikitoka kwa viongozi wa CCM, unabakia unajiuliza, hivi ndani ya CCM hakuna watu wenye akili kubwa, mpaka chama kinaamua kuwapa uongozi watu ambao, kwa kipimo...
4 Reactions
2 Replies
127 Views
Majibu ya kebehi unayowapa wananchi wanaolilia wapendwa wao uliowaua kabla na baada ya Oktoba 29 2025 yapo recorded na yanatafsirika. WHO ARE YOU anakuja after YOU Unajibebisha kwa mabalozi...
18 Reactions
14 Replies
257 Views
Nimesikiliza video ya dada Mmoja anajiita Lucy Michael mkazi wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe, anajitambulisha kuwa yeye ni Mkatoliki akimtuhumu Padri Kitima kwa kujihusisha na siasa...
1 Reactions
2 Replies
132 Views
Ni kwasababu ya jinsi anavyo onekana? Ni kwasababau ya matamko nonsense na uropokaji useless? Au ni kwasababu za hali yake ya kiuchumi? Wafuasi wa Chadema masalia wanamchukuliaje huyu muungwana...
2 Reactions
15 Replies
186 Views
Hapo awali Marekani alitumia vikwazo vya kusafiri, kiuchumi na kibiashara kwa madikteta mbalimbali ambao walikuwa wanavunja haki za binadamu, kutesa wananchi wao na Wananchi wa Mataifa mengine...
2 Reactions
12 Replies
194 Views
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗔𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗔 𝗞𝗜𝗞𝗔𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗭𝗔 𝗞𝗜𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗔 𝗭𝗔𝗠𝗕𝗜𝗔 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 16, 2026 ameongoza kikao cha kimkakati na Mawaziri, Naibu...
1 Reactions
1 Replies
123 Views
Mungu wabariki Wazungu ,wabariki sana sana sana , waendelee kuwepo Hapa Duniani na wazidi kua na Nguvu !!. Wakuu, Muda wowote tangu Sasa Marekan na Ulaya watatangaza Vikwazo dhidi ya Top...
78 Reactions
128 Replies
6K Views
GT. Ila Mungu anajua kuwaumbua wajinga leo wansema FR Kitima ni Askofu. Hii ni project endelevu ya kujaribu. kulichafua kanisa ikiongozwa na Mwigulu Nchemba.
6 Reactions
47 Replies
909 Views
Ukiangalia Tanzania kwa macho ya wazi bila ujinga, bila woga, bila kuogopa nani atasema nini, utajua huu ni mojawapo ya nchi tajiri sana duniani, sio Afrika tu, hata baadhi ya nchi za Ulaya...
7 Reactions
11 Replies
239 Views
Back
Top Bottom