Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge...
23 Reactions
304 Replies
41K Views
Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"...
17 Reactions
367 Replies
58K Views
Wanabodi, Kupitia bandiko hili, Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge Nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado...
135 Reactions
297 Replies
33K Views
Wanabodi, Hii ni sehemu ya pili, au muendelezo wa ile Makala yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla", ambazo zinachapishwa kwenye Gazeti la Raia Mwema la kila siku za Jumatatu. Makala...
66 Reactions
167 Replies
20K Views
Wanabodi, Wakati taifa likiwa bado limepigwa na butwaa ya kilichomtokea Mhe. Tundu Lisu, najiunga na kumtakia uponyaji wa haraka, japo nakiri mimi ni miongoni mwa wale wanao leave all options...
18 Reactions
102 Replies
13K Views
Kuna a researcher aliangalia maandamano between 1900-2000 yaliyofanikiwa kufanikisha regime change akagundua kitu called The 3.5% Rule. Aligundua kwamba maandamano yaliyofanikiwa kuondoa serikali...
6 Reactions
30 Replies
795 Views
Kuna kampuni inaitwa RockTronic ya Moshi mkoani Kilimanjaro imepewa kujenga barabara ya Arusha-Moshi kipande cha UsaRiver-KIA kujenga upya barabara tajwa. Miezi miwili sasa hata njia za Diversion...
12 Reactions
61 Replies
1K Views
Hali ya sintofahamu imejitokeza katika eneo la Bon City, mtaa wa Mlimani, kata ya Murieti, jijini Arusha, baada ya wananchi kulalamikia machinjio yanayodaiwa kuhatarisha afya na mazingira ya...
1 Reactions
4 Replies
100 Views
Yaani kama vile at any time ataachia risasi! Yaani yuko alert to shoot! I was walking, nikapita karibu naye maana sikuwa na namna ya kumkwepa.....mimi hapa naye huyu hapa! Nikageuka...
23 Reactions
84 Replies
2K Views
MAMENEJA WA RUWASA, TANROADS MARA WAONJA ‘JOTO YA JIWE’ KWA WAZIRI MKUU WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewabana Mameneja wa RUWASA na TANROADS mkoani Mara kwa kuwahoji maswali huku akiwaonya...
1 Reactions
11 Replies
222 Views
Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
1 Reactions
31 Replies
533 Views
Simanzi nzito na majonzi yasiyo na kifani yametanda kote nchini kufuatia taarifa za kusikitisha za kifo cha ghafla cha Suez Daniel Maradufu. Marehemu, ambaye alikuwa dereva mwaminifu wa Makamu...
5 Reactions
31 Replies
855 Views
Kwakuwa hii sijaiona JF, nimeona niiweke for our records: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo, Prof.Pius Mbawala, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika...
4 Reactions
16 Replies
472 Views
Tanzania ni nchi iliyojengwa juu ya msingi wa amani, umoja na mshikamano. Hata hivyo, hali ya sasa imewafanya wananchi wengi kujiuliza mustakabali wa taifa letu. Moja ya changamoto kubwa...
5 Reactions
12 Replies
197 Views
Hii ni Taarifa ya sasa kutoka Kigoma, na Uchunguzi huo unatarajiwa kufanyika leo USIONDOKE JF kwa Taarifa kamili za Uchunguzi huo
18 Reactions
62 Replies
1K Views
  • Redirect
Kwaajili ya pesa tu tena za wafadhili mabeberu, halafu kibaraka moja kwa tamaa zake binafsi, anaamua kudhulumu uhai wa mfanyakazi wake? Kwanini ampe mfanyakazi wake mabilioni ya pesa akalale nayo...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Tanzania, John Magufuli amefanya mabadiliko ndani ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kumteua bosi mpya wa jeshi hilo na kumhamisha aliyekuwepo. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania...
20 Reactions
130 Replies
35K Views
Baada ya CCM kupitia serikali yake dhalimu kupiga marufuku mikutano ya siasa na wao kuanza kumtumia waziri mkuu wao fake Mwigulu kumwaga sumu ya kuwa maandamano yameandaliwa kuleta vurugu na wao...
3 Reactions
15 Replies
286 Views
Wana bodi, hii ni kubwa kuliko na kali ya aina yake sio tetesi, ni uhakika wa 100% Kagoda inajulikana na wote, ni Safi, na kamwe haitafikishwa mahakamani. Nikiwa mjini Dodoma kwenye kona kona za...
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Back
Top Bottom