Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna nchi duniani kuzaliwa, ni kama vile wazazi wako walifanya makosa kukuletea duniani na mfano mzuri ni Banana Republic moja inayopatikana East Africa ambapo wenye akili wako jela huku wenye...
7 Reactions
10 Replies
158 Views
Inasikitika kuwa raia wa nchi yenye viongozi wa namna hii. Kwa lugha nyepesi hapa wooooote watu milioni 70 tumeonwa hatuna akili. Ina maana hawa viongozi hata aibu hawana? Hata hafikirii akiwa...
2 Reactions
8 Replies
165 Views
Leo nimeona Mwaipopo ana vijana wamefunikwa uso na kutishia maisha ya watu wasiandamane, JWTZ kwenye lile tangazo lako kama kweli wanalinda mipaka na mamlaka ya nchi hii wanatakiwa walichukulie...
0 Reactions
7 Replies
157 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, anatarajiwa kuwahoji kwa maswali ya dodoso (cross-examination) Kamishna Mkuu wa Magereza pamoja na Mkuu wa Gereza la...
6 Reactions
11 Replies
394 Views
Katika Kumbukumbu la Torati 30:19, twasoma "Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na...
2 Reactions
12 Replies
145 Views
Akizungumza na waandishi wa habari kwa hisia kali leo Julai 1, 2026, jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Velena Gati Marwa, ameanika...
3 Reactions
29 Replies
543 Views
  • Featured
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi wakati akifanya mahojiano na UTV Julai 1, 2026, amesema maandamano yoyote yanapaswa kufuata taratibu za kisheria ili yarasimishwe na kuwekwa...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
JWTZ ni dhahiri limekubali kujinasibisha na SIASA- ambayo ni kinyume na KATIBA ya JMT ni hatari zaidi kwa ustawi wa TZ. Kwa mfano kauli ya Msemaji wa JWTZ kusema KAZI na UTU ni kauli ya kisiasa...
11 Reactions
19 Replies
315 Views
-Yuko wapi huyu Naibu Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Bukombe-CCM? -Ni nani alirithi mikoba yake, maana natambua kwamba mkeka wa 2025 ulichanika? -Namuona Waziri Mkuu wa sasa anahaha...
3 Reactions
17 Replies
382 Views
Kwako Mheshimiwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, Nina ushauri Mmoja tu kwako. Naomba nikushauri ya kwamba tofautisha nafasi ya Uwaziri Mkuu na nafasi ya ukatibu mwenezi wa CCM. Ushauri wangu ni...
16 Reactions
33 Replies
546 Views
Je, ni kwasababu ya kuhoji matumizi ya fedha na kuibua mashaka dhidi ya upigaji wa fedha za mabwenyenye ya magharibi na zile ambazo huchangishwa kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa? Na je...
1 Reactions
37 Replies
422 Views
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema keki ya taifa ni ndogo sana, hivyo wananchi wanapaswa kuchagua viongozi makini wenye uwezo wa kuipigania ili kuhakikisha maendeleo yanafika katika...
0 Reactions
3 Replies
123 Views
Nimemkumbuka bwana huyu maana kipindi hicho alivunja lekodi kwa kuvitumikia vyama viwili kwa wakati mmoja yani CCM na Chadema mwenyekujua bwana huyu yupo wapi anafanya Nini kisiasa yupo hai au au...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo nimewaza na kuwazua, sikupata jibu: dola ni nini? Je, ni mkusanyiko wa viongozi na wananchi au ni viongozi peke yao? Kazi ya dola ni nini? Kujilinda au kulinda wengine? Wajibu wa raia kwa...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
Tangu Samia aingie madarakani tokana na ajali ya kifo cha Jiwe, ameshikilia sera uchwara ya uchawa. Je, naye ni chawa au mfuga machawa? Je, taifa. limefaidika vipi tokana na sera hii kama kweli...
1 Reactions
18 Replies
310 Views
Kila mtu anajua kuwa sio rahis kutoa sadaka maisha yako ili mabadiliko ya watu wengi au nchi ipatikane. Lakini kuna mtu mmoja anayeitwa Tundu lisu amepigwa kwa fimbo na mateke na kila aina ya...
19 Reactions
14 Replies
427 Views
Hii itasaidia kuimarisha Mapato yao kwani Raia na Kampuni za Ulinzi zitanunua Silaha hizo kutoka kwenye Maduka yao kama ilivyo kwa TANGANYIKA ARMS na hii pia itasaidia Serikali kupunguza matumizi...
1 Reactions
7 Replies
100 Views
Chadema ya Tundu Lissu na John Heche wamekuwa na utamaduni mbaya sana hasa kuhusu VIFO.Kwanza wamekuwa VINARA wa kushangilia VIFO vyote vya Wanaccm na Viongozi wa Serikali "Utamduni" ambao...
0 Reactions
3 Replies
77 Views
Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bw.Said Mwambungu amefariki dunia katika hospitali ya Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na matatizo ya figo. Mwenyezi Mungu...
8 Reactions
114 Replies
22K Views
10. Liti Kidanka. Mzaliwa wa Singida Tanganyika miaka ya 1860 na mwaka 1903 aliongoza majeshi ya jadi dhidi ya uvamizi wa Wajerumani hadi mwaka 1907 ambapo alikatwa kichwa na Wajerumani na mpaka...
12 Reactions
101 Replies
7K Views
Back
Top Bottom