Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano. Kwanza, anaridhiana na nani? Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani? Tatu, ni kiasi...
0 Reactions
1 Replies
76 Views
Ni usiku wa SAA kumi, Sina hakika kama Rais umelala usingizi WA pono, Sina hakika waziri mkuu kama umesinzia usingizi WA pono, MAKAMU je nawe umeupiga usingizi? Mkuu wa MAJESHI wewe ni jirani...
1 Reactions
4 Replies
175 Views
Ujumbe wa wataalam kutoka TANROADS Makao Makuu kupitia Kitengo cha Ushauri wa Kihandisi (TECU), kwa kushirikiana na TANROADS Mkoa wa Mbeya, umefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la Sungwe...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Fatma Karume alisimamishwa kufanya kazi za uwakili kwa upande wa Tanzania bara tangu mwaka 2019 akipinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG) Dkt Adelarus Kilangi aliyeteuliwa na rais John...
3 Reactions
12 Replies
366 Views
Mpasuko CCM!? Ni ziara ya HOVYOOO! Mzee Butiku amvaa vikali Mwenezi wa chama cha CCM Kenani Kihongosi na ziara yake huko mikoani.
11 Reactions
27 Replies
705 Views
Vijana wa CCM, Warioba aliwakosea Nini? Makonda alimpiga ngumu ya shavu, nimwonavyo. Kihongosi Mzee wa ziara tomba x, akipewa bastora atamuua je aliwawakosea Nini?
1 Reactions
3 Replies
164 Views
Sikiliza, amerudi kwenye msitari kwa leo. Sijui kesho!
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea...
4 Reactions
36 Replies
906 Views
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Foundation) imeandaa mkutano wa mazungumzo kuhusu amani, umoja, haki na maendeleo ya watu, mkutano unaotarajiwa kufanyika Alhamisi ya Januari 22 mwaka...
4 Reactions
26 Replies
532 Views
https://youtu.be/L2GVEcJT2vs?si=ZwNrFhMEKZN3Z1e9 Taasisi nne zinazoheshimika duniani zimekusanya uthibitisho wa ushahidi usio na shaka juu ya uhusika wa vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania...
41 Reactions
164 Replies
3K Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi unatokana na nguvu na mizizi iliyoanzia ngazi za chini...
3 Reactions
29 Replies
406 Views
Umofia kwenu wakuu. Kuna taarifa za kutoka Chanzo cha kuamimika kwamba Halimashauri ya wilaya ya Karatu imempatia mtoto wa Samia, Abdulu eneo la mnada wa Karatu ili ajenge Hoteli. Kwa mlio wahi...
1 Reactions
7 Replies
233 Views
Mzee Butiku anasema usalama walimfata wakamwambia waende nae wakamfiche walikoficha V.I.P wenzake mkoa wa Mara siku ya tarehe 29 Oktoba, 2025 Ameenda mbali zaidi anadai akawauliza V.I.P ni nani...
4 Reactions
18 Replies
440 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 19, 2026 amefanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dkt. Maimbo Mndolwa na ujumbe wake katika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Hamjambo wote! 1. Watibeli tunafuatilia Kila hatua inayoendelea. 2. Kwenye Haki, kile unachotendea wengine hata kama hakistahili nawe unatakiwa kutendewa kitu hichohicho. Hiyo ni HAKI. 3. Haki...
6 Reactions
40 Replies
530 Views
MAMBO SABA USIYO YAJUA KUHUSU TUNDU LISSU. - Courtesy: BBCSwahili.com Katika historia ya siasa za Tanzania, ni vigumu kutaja majina ya wanasiasa walioteka hisia za watu kwa hoja, ujasiri na...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi, heshima kwenu nyote. (Unaitikia igweeeeee) Serikali ya CCM imefeli sana kwenye utoaji huduma. Ni kweli. Achana na mahospitali, shule za umma, jeshi la polisi na kwingine kote...
2 Reactions
7 Replies
263 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo. Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya...
15 Reactions
128 Replies
4K Views
Leo 2026, miaka mingi imepita tangu Muammar Gaddafi auawe kama mnyama mbele ya macho ya dunia. Waafrika wengi wanazungumza kwa hisia, lakini ukweli mchungu ni kwamba sisi wenyewe tulifungua...
1 Reactions
4 Replies
156 Views
Kitendo cha Kihongosi kumfokea Mzee Warioba kwa sababu tu katoa maoni tofauti na chama chake CCM si cha kiungwana kinatakiwa kukemewa na jamii nzima na wapenda haki wote. Mzee hanuniwi mzee...
6 Reactions
11 Replies
228 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…