Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi...
Ni usiku wa SAA kumi, Sina hakika kama Rais umelala usingizi WA pono, Sina hakika waziri mkuu kama umesinzia usingizi WA pono, MAKAMU je nawe umeupiga usingizi?
Mkuu wa MAJESHI wewe ni jirani...
Ujumbe wa wataalam kutoka TANROADS Makao Makuu kupitia Kitengo cha Ushauri wa Kihandisi (TECU), kwa kushirikiana na TANROADS Mkoa wa Mbeya, umefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la Sungwe...
Fatma Karume alisimamishwa kufanya kazi za uwakili kwa upande wa Tanzania bara tangu mwaka 2019 akipinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG) Dkt Adelarus Kilangi aliyeteuliwa na rais John...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea...
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Foundation) imeandaa mkutano wa mazungumzo kuhusu amani, umoja, haki na maendeleo ya watu, mkutano unaotarajiwa kufanyika Alhamisi ya Januari 22 mwaka...
https://youtu.be/L2GVEcJT2vs?si=ZwNrFhMEKZN3Z1e9
Taasisi nne zinazoheshimika duniani zimekusanya uthibitisho wa ushahidi usio na shaka juu ya uhusika wa vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi unatokana na nguvu na mizizi iliyoanzia ngazi za chini...
Umofia kwenu wakuu. Kuna taarifa za kutoka Chanzo cha kuamimika kwamba Halimashauri ya wilaya ya Karatu imempatia mtoto wa Samia, Abdulu eneo la mnada wa Karatu ili ajenge Hoteli.
Kwa mlio wahi...
Mzee Butiku anasema usalama walimfata wakamwambia waende nae wakamfiche walikoficha V.I.P wenzake mkoa wa Mara siku ya tarehe 29 Oktoba, 2025
Ameenda mbali zaidi anadai akawauliza V.I.P ni nani...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 19, 2026 amefanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dkt. Maimbo Mndolwa na ujumbe wake katika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa...
Hamjambo wote!
1. Watibeli tunafuatilia Kila hatua inayoendelea.
2. Kwenye Haki, kile unachotendea wengine hata kama hakistahili nawe unatakiwa kutendewa kitu hichohicho. Hiyo ni HAKI.
3. Haki...
MAMBO SABA USIYO YAJUA KUHUSU TUNDU LISSU.
-
Courtesy: BBCSwahili.com
Katika historia ya siasa za Tanzania, ni vigumu kutaja majina ya wanasiasa walioteka hisia za watu kwa hoja, ujasiri na...
Ndugu wanabodi, heshima kwenu nyote. (Unaitikia igweeeeee)
Serikali ya CCM imefeli sana kwenye utoaji huduma. Ni kweli.
Achana na mahospitali, shule za umma, jeshi la polisi na kwingine kote...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Leo.
Kiukweli kabisa, upinzani Tanzania una hali mbaya sana, uko dholfu bin taaban kwa kukosa watu wa mikakati, hivyo kuendelea kufanya...
Leo 2026, miaka mingi imepita tangu Muammar Gaddafi auawe kama mnyama mbele ya macho ya dunia. Waafrika wengi wanazungumza kwa hisia, lakini ukweli mchungu ni kwamba sisi wenyewe tulifungua...
Kitendo cha Kihongosi kumfokea Mzee Warioba kwa sababu tu katoa maoni tofauti na chama chake CCM si cha kiungwana kinatakiwa kukemewa na jamii nzima na wapenda haki wote.
Mzee hanuniwi mzee...