Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je, Kilio cha Haki Kitasikika? Inaonekana ukosefu wa haki umeenea kila mahali. Fikiria mifano miwili ya watu waliohukumiwa isivyo haki: Mnamo Januari 2018, hakimu nchini Marekani aliamuru...
1 Reactions
7 Replies
134 Views
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nini kimewasibu? Wanatumia salaam za Chama cha Mapinduzi za Kazi na Utu. Halafu wanalazimisha baadhi ya vyombo vya habari vikate hicho kipande cha Salaam...
8 Reactions
61 Replies
1K Views
Wanabodi, Karibu kwenye matangazo haya Live from viwanja vya 77 Kilwa Rd jijini DSM, kuwaletea ufunguzi rasmi wa maonyesho haya ya 50 ya DITF, mgeni rasmi ni rais wa Msumbiji akiandamana na...
5 Reactions
54 Replies
830 Views
Ndio napanda kwenye jukwaa title kama ilivyotumwa kwenye laini yangu ya halotel. Vip huko nyie mmetumiwa nini?? Tuambatanishe na kapicha kama kapo. JOTO LA MAANDAMANO NI KALI
1 Reactions
12 Replies
98 Views
Hivi vikundi maalumu vya kijeshi visivyo rasmi vinavyo tumika kulinda mamlaka kwa njia yoyote ni hatari sana tena zaidi ya hatari. Huko tuendako kama nchi ni hatari hivi vikundi vikiendelea...
16 Reactions
25 Replies
383 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema kuwa majukumu ya ulinzi na usalama wa rai na mali zao ni jukumu lao na sio kikundi cha watu Akizungumza wakati akihojiwa Jambo Tv, Kamanda wa Polisi Mkoa...
0 Reactions
12 Replies
268 Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo...
1 Reactions
14 Replies
240 Views
Katika miaka ya hivi karibuni watawala wa nchi hii wamezidi kushusha hadhi ya jeshi letu pendwa lililojijengea heshima kubwa kwa miaka mingi Kwa miaka niliyonayo nimekua na kuona namna JWTZ...
6 Reactions
13 Replies
249 Views
Leo nikuweka Post inayohusu HAKI kwenye Bibilia kwa makusudi na nia ovu mkaiondoa, Bibilia si kitabu cha uchochezi kama mnavyodhani, ni kitabu Kitakatifu hivyo nukuu zake lazima ziheshimike kama...
3 Reactions
15 Replies
161 Views
Kwanza mjue cheo ni dhamana kubwa hata unapotolewa unaumia, Mwigulu ni mtu aliyekulia mazingira magumu sana na anajua matatizo muhimu ya watanzania kwa kuyaishi, wakati Nape kakulia kwenye...
13 Reactions
98 Replies
13K Views
Maneno anayosema Mbunge wa Viti Maalumu, Sigrada Mligo, kwenye video kwa maandishi Sigrada- "Mmeona wabunge huko wana wanakutana wanajadili mafuta? Yaani wako siriasi kuwasemea wananchi kuhusu...
7 Reactions
10 Replies
411 Views
CCM inatumia kila njia kuua uandishi asilia (conventional journalism) ili isikosolewe hadharani na habari mbaya kuwahusu zisiwafikie watanzania. Na CCM kwa upotofu wao hutumia mfano wa China kama...
10 Reactions
25 Replies
322 Views
  • Poll Poll
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030 unahitaji viongozi wenye kuendeleza maono, uadilifu na uwezo wa kuendeleza maendeleo ya Taifa ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan katika...
5 Reactions
143 Replies
2K Views
Leo Julai 1, 2026 majira ya saa 10:00 asubuhi, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limepokea taarifa kutoka kwa Ndugu Mrimi Zabron Mwita, mkazi wa Sirari na Katibu wa Mheshimiwa John Heche, kuwa...
1 Reactions
47 Replies
1K Views
Tarehe 30 Juni 2026, Ikulu ya Dar es Salaam ilishuhudia hafla ya kila mwaka ya upokeaji wa gawio na michango ya taasisi za umma. Miongoni mwa waliopanda jukwaani ni Mamlaka ya Vitambulisho vya...
11 Reactions
83 Replies
2K Views
Tanzania haijabaki nyuma katika diplomasia hii muhimu.
3 Reactions
5 Replies
223 Views
Ni kweli hakuna anayependa vurugu nachoshangaa jumbe za tunza amami kupitia line yangu ya simu nimetumiwa mara kwa mara neno haki halisemwi je amani bila haki inawezekana!
6 Reactions
10 Replies
230 Views
Mwenyekiti wa umoja wa kuwezesha Waandishi wa Habari na wapiga Picha Wilaya Tarime, Tarime Reporters Empowerment Union (REU), Jacob Karoli akizungumza kwa niaba ya waandishi Wilaya ya Tarime...
4 Reactions
3 Replies
171 Views
Taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi DCP David Misime,julai 5,2026 kuhusu hali ya usalama nchini ------ Tarehe 19, Juni 2026 Jeshi la Polisi Tanzania lilitoa taarifa kwa wananchi juu ya hali ya...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Mmeomba viinua mgongo kipindi mkiwa bungeni mmelipwa (Lissu alilipwa) mmeomba ruzuku zilizo kwama mmelipwa zote na Rais Dr Samia Suluhu Hassan, Lissu ameomba Hela za matibabu amelipwa zote Leo...
1 Reactions
23 Replies
268 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…