Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechagua mfumo wa demokrasia ya vyama vingi. Hii ina maana kwamba uwepo wa vyama tofauti vya siasa si tatizo bali ni sehemu ya msingi wa utawala wetu wa...
3 Reactions
8 Replies
97 Views
Watanganyika wameikataa CCM. Hawatishiki kwa kesi na matumizi ya vyombo vya dola.👇
7 Reactions
5 Replies
392 Views
Utawala wa sheria maana yake nini? Kama Watuhumiwa wakipotea chadema hawataki na wakipelekwa chadema mahakamani hawataki pia, Wanataka nini?. Kuchoma mali za umma na za wengine hata ukiwa na...
1 Reactions
93 Replies
722 Views
Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
50 Reactions
244 Replies
6K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuongeza thamani ya rasilimali zake na kuimarisha miundombinu ya kikanda ili kujenga uchumi imara na...
0 Reactions
1 Replies
60 Views
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally, amefunguka kuhusu safari yake ya kutoka kwenye taaluma ya ufundishaji katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kuingia kwenye uongozi wa...
2 Reactions
9 Replies
285 Views
  • Featured
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika amesema kuwa chama hicho na Mwenyekiti wake Tundu Lissu mpaka hivi sasa hakijafanya mazungumzo yoyote na serikali huku akiipinga kauli...
18 Reactions
31 Replies
1K Views
WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa lengo...
0 Reactions
0 Replies
41 Views
https://www.youtube.com/watch?v=5g9jC1GuadI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa AFRICA5O na Jukwaa la Miundombinu Afrika (INFRA...
0 Reactions
2 Replies
69 Views
Dkt. Azaveli Lwaitama, ametoa wito mzito kwa serikali na wadau wa siasa kuchukua hatua za makusudi na za kisheria ili kujenga mazingira ya kuaminiana na kurejesha maridhiano ya kweli miongoni mwa...
3 Reactions
4 Replies
98 Views
Kesi ya kupanga na kula njama za kufanya matendo ya ugaidi inayowakabili wanachama 17 wa CHADEMA, akiwamo Katibu wa chama hicho Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imeshindwa kuendelea Agosti 4...
1 Reactions
2 Replies
93 Views
Akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 4, 2026 na Saut Digital, Dkt. Azaveli Lwaitama, amesema suala la maridhiano inahitaji msuluhishi kutoka nje kama Jumuiya ya Common Wealth na SADC...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
Kesi ya kupanga na kula njama za kufanya matendo ya ugaidi inayowakabili wanachama 17 wa CHADEMA, akiwamo Katibu wa chama hicho Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imeshindwa kuendelea Agosti 4...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, "Ukistaajabia ya Musa, utayaona ya Firauni." Leo msemo huu unaonekana kupata tafsiri mpya katika jamii yetu. Tumeshuhudia taarifa za wafanyabiashara na...
4 Reactions
19 Replies
323 Views
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi. Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
3 Reactions
205 Replies
3K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta nchini kwa mwezi Julai 2026, kufuatia kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia. Kwa mujibu wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Zunguka Tanzania nzima utakutana maelfu kwa mamilioni ya wanannchi wakichimba dhahabu kwenye hali duni kabisa. Hawana mitaji, vifaa vya kisasa na mazingira wanayofanyia kazi ni hovyo. Leo hii...
6 Reactions
27 Replies
504 Views
Ni muhimu zaidi vyama vya siasa vyenye sifa za kikatiba za kushiriki chaguzi ndio haswa viketi chini pamoja na kushauriana namna ya kuliunganisha taifa kwa hiyari katika maridhiano hayo miongoni...
6 Reactions
69 Replies
553 Views
Kanisa Katoliki Tanzania limetoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, kinachoanza rasmi Jumatano ijayo tarehe 14 Februari 2018 [ambayo ndiyo siku ya...
45 Reactions
642 Replies
103K Views
Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
78 Reactions
411 Replies
67K Views
Back
Top Bottom