Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu.
lakini Sasa hivi urais umekuwa msumari wa moto...
Mzee Butiku Mimi sijawai mwelewaga maana hawagi wa moto Wala WA baridi, ila Ili la Leo limenikumbisha mbali sana Hasa kwenye mambo ya ulinzi wa viongozi wakubwa WA nchi.
Tunafahamu sote, viongozi...
Bila juhudi za kweli, za dhati na makusudi kuleta suluhisho la kudumu ndani ya Tanzania, kuna uwezekano mkubwa wa Tanzania kupoteza uenyeji wa AFCON 2027.
Wanaharakati wanaendelea na juhudi za...
Kama nchi ikiongozwa kwa falsafa za Kishoshalisti, kikomunist na kijamaa laana zifuatazo huwa ni sehemu ya maisha ya jamii husika.
Viongozi hulazimisha kuabudiwa.
Vyombo vya dola hugeuka kuwa...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema kuwa licha ya Tanzania kukubali mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, bado wapo watu na baadhi ya vyama...
Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza Rais Mteule wa Uganda, Yoweri Museveni kwa kuchaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo.
Katika ujumbe wake, Rais Samia amesema ushindi wa Rais Museveni unaakisi...
Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, alipokuwa akizungumzia sakata la kutekwa kwa Dk. Olimboka, alisema kuwa tukio hilo ni mwendelezo wa kile alichokitaja kuwa ni...
Okay, kama ametumia kifaa basi Mkuu wa kituo na Maaskari wa kituo husika wawajibishwe kwa sababu ni jukumu lao kuhakikisha usalama wa raia awe ndani ya kituo au nje ya kituo.
Inakuaje mtu ana...
Mataifa mbalimbali duniani kama Marekani, Umoja wa Ulaya, Ghana, Africa Kusini, Australia, Kenya n.k wameonesha kusikitishwa na vitendo haramu kama ubakaji, utekaji, mauaji, ufiraji, kesi haramu...
Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekanusha vikali tuhuma zinazomhusisha na mauaji ya aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho, Ali Mohamed Kibao...
Taarifa inayosambaa mitandaoni kwamba viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje wamechota kiasi cha USD million 4 kwa ajili ya kwenda nje kusafisha nchi ni za uzushi hazina ukweli na zipuuzwe.
Baada ya...
Wanabodi
Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa...
Samia alikuwa na nafasi nzuri ya kujijengea heshima mbele ya Taifa na mbele ya Mataifa kama angekubali ushauri aliokuwa akipewa na watu mbalimbali akiwemo Lissu wa kuahirisha uchaguzi na kufanya...
Mbowe alipenda sana siasa za kujaza tumbo lake.
.
Alikuwa yupo tayari kuuza watu ili mradi yeye na tumbo lake washibe na kwenda chooni.
Kwa namna alivyoteswa Tundu Lissu leo hii Mbowe angekuwa...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema kuwa licha ya Tanzania kukubali mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, bado wapo watu na baadhi ya vyama...
Kaka yake Humphrey Polepole, anayejitambulisha kama Kanali Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe au apelekwe Segerea kwa Mama yake, vinginevyo Kikwete, Ridhiwani, Samia, IGP na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.