Katika mkutano wa hadhara wa Chama cha ACT Wazalendo wa Septemba 11, 2026, uliofanyika Kata ya Dutwa, Jimbo la Bariadi mkoani Simiyu, mwananchi Fulani amesimama na kumhoji Katibu Mkuu wa chama...
Ndugu Zangu Watanzania,
Ni Ukweli ulio wazi Kuwa Mzee Warioba amelitumikia Taifa hili kwa Muda mrefu ,ni kweli kabisa Kuwa Mzee Walioba Anahitaji Kuheshimiwa siyo kwa Umri wake bali kwa mchango...
Mgogoro kati ya wamiliki wa nyumba Sinza dhidi ya wizara ya ardhi, nyumba na makazi unazidi kutanuka kila uchao, huku wizara na madalali wake wakikataa kabisa kumtaja huyo anayetambuloshwa kwa...
Tumeshuhudia roho mbaya sana ya CCM kuzidi ya wanyama wakali wa mwituni , leo tunashuhudia mtandaoni Chadema na wananchama wake wakiwa na Roho Mbaya zaidi ya ile ya CCM !! Tutaponea wapi wananchi...
Na anajitahidi kuweka imani aaminike,
System inaweza kukufunga hata gerezani miaka kadhaa uchunguze mtu fulan mfungwa au tukio fulan ndani,
Na ika ku harass sana huku nyuma ya mlango ikikupoza...
Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi ya Lissu. Watasema wamesafiri kikazi! siku kumi na nne za kesi zikiisha wajipe muda zaidi maana hawataweza kujibu maswali
Ndugu Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Napenda Kuwasilisha Kwenu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Inayopendekezwa, Ikiwa ni Rasimu ya Katiba Yenye Sura (14) na Ibara...
Karibu kila Katiba duniani inasema "Mahakama ni huru." Ni sentensi rahisi kuandika, lakini historia imeonyesha mara nyingi kwamba sentensi hiyo peke yake haitoshi. Uhuru wa kweli wa Mahakama...
Saaa CCM inageuka kuwa na misimamo isiyoeleweka.
Imekuwa ukitofautiana kimawazo katika CCM basi wewe ni ugaidi.
CCM yenyewe sasa in mtazamo wa kigaidi.
Kama CCM na kina Wassira bado wanawapenda...
Nadhani hakuna ubishi wala mashaka dhidi ya haiba, uwezo, uzoefu, uadilifu na weledi wa Dr. Emmanuel John Nchimbi kwenye nafasi yake kama makamu wa Rais wa Tanzania. Mungwana amesimana vizuri...
Jamaa amekabidhiwa chama majuzi tu lakini kimeshinda yeye siasa kwake ni kurumisha mitusi mwanzo mwisho. Kwake hakina pont of consensus hata kidogo.
Inawezekana ana akili ya darasani ili hekima...
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kaijage, ameachiwa huru kwa masharti na Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma baada ya Serikali kuondoa nia ya kuendelea na mashtaka yaliyokuwa...
Kwanza tukubaliane Nchimbi sio chawa. Alichokisema alimaanisha. Msikilize vizuri Nchimbi.
"ningekuwa na uwezo wa kuwaambia bila watu kusikia basi ningesema Pambaneni mpate katiba Mpya"...
Rushwa hasa rushwa kubwakubwa na rushwa za barabarani.
Sababu zinawanufaisha wafadhili wa chama na zinafanya kazi kama malipo au fadhila kwa vyombo kuwatuliza ili waendelee kukibeba chama.
Jambo...
Wanabodi,
Leo nimepata fursa ya kuifanyia PNA hotuba ya rais Samia siku ya kilele cha maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA ambayo yamekwenda sambamba na utoaji wa tuzo ya...
Lisu kwa Golugwa.
'
1. Je baada ya maoni ya Jumuia za kimataifa juu za ubovu wa uchaguzi serikali ilifanyeje
Golugwa: Mama alihutubia akasema wasitupangie.
Tundu lisu; Je hizo lipoti zilimaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.