CCM na Wassira, tuelezeni Nchimbi yuko wapi?

CCM na Wassira, tuelezeni Nchimbi yuko wapi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,284
Reaction score
30,159
images.webp


Saaa CCM inageuka kuwa na misimamo isiyoeleweka.
Imekuwa ukitofautiana kimawazo katika CCM basi wewe ni ugaidi.
CCM yenyewe sasa in mtazamo wa kigaidi.

Kama CCM na kina Wassira bado wanawapenda wananchi wao, watueleze Nchimbi yuko wapi?
 
Kama CCM na kina Wassira bado wanawapenda wananchi wao, watuekeze Nchimbi yuko wapi?
Huku sasa ni kuwaonea bure CCM!,mtu wameisha mtimua,kwanini wamfuate fuate tena?!

Nimeelezwa https://www.jamiiforums.com/threads...ikiliwa-ni-ameamua-kutulia-kunyamaza.2469446/

Wenye jukumu la kuwaeleza Watanzania EN yuko wapi,ni media,ila ndio hivyo tena https://www.jamiiforums.com/threads...ehewe-kuandika-ukweli-au-ni-zuzu-tuu.2470629/

CCM inawajibika kwa wanachama wake tuu na sio wananchi wa kawaida

P
 

Attachments

  • Screenshot 2026-08-31 at 14-41-33 Instagram.png
    Screenshot 2026-08-31 at 14-41-33 Instagram.png
    1,007.3 KB · Views: 2
View attachment 3668841

Saaa CCM inageuka kuwa na misimamo isiyoekeweka.
Imekuwa kutifautiana kimawazo katika CCM ni ugaidi.
CCM yenyewe sasa in mtazamo wa kigaidi.

Kama CCM na kina Wassira bado wanawapenda wananchi wao, watuekeze Nchimbi yuko wapi?
Nchimbi amestaafu siasa na utumishi wa umma. AmepumIzika. Na sio jukumu la CCM kuelezea yupo wapi na anafanya nini.
 
Nchimbi amechaguliwa na wananchi kwa nini hawataki wananchi wawe na TAARIFA sahihi
Ni nani hawataki?,wenye wajibu wa kujua EN alipo ni nani?. Je umemsikia ndugu yeyote,jamaa yeyote,rafiki yeyote au mwananchi yeyote akimuulizia?.

Mwenye jukumu la kuujulisha umma EN yuko wapi ni nani?
Je umesikia media yoyote ikisema imefika nyumbani kwa EN kumjulia hali?

No one amemuulizia EN, no mainstream media imefanya any followup ya his whereabouts!
Tukisema sisi Watanzania ni mazuzu na media yetu ni media ya kizuzu,ni tukuwa tunaonewa au ni halali yetu?

P
 
Huku sasa ni kuwaonea bure CCM!,mtu wameisha mtimua,kwanini wamfuate fuate tena?!

Nimeelezwa https://www.jamiiforums.com/threads...ikiliwa-ni-ameamua-kutulia-kunyamaza.2469446/

Wenye jukumu la kuwaeleza Watanzania EN yuko wapi,ni media,ila ndio hivyo tena https://www.jamiiforums.com/threads...ehewe-kuandika-ukweli-au-ni-zuzu-tuu.2470629/

CCM inawajibika kwa wanachama wake tuu na sio wananchi wa kawaida

P
Mbona Polepole hawakumtimua so technically ni/alikuwa mwanachama wao lakini hawatuelezi yuko wapi?
Mbona walitujibu ya Ali Kibao kuwa 'kifo ni kifo tu' wakati si member wa chama chao?
Technically kura milioni 31 plus wanazodai walipigiwa Samia/Nchimbi inamaanisha alipewa nafasi na hao 'wapiga kura' sasa kwanini wasifahamishwe mtu waliyemuamini na kumpa nafasi ya kuwaongoza mahali alipo na yuko katika hali gani? Je ni kwamba thamani ya hao wapiga kura iliisha siku ile ya kupiga kura na sasa hawastahili hata kufahamishwa alipo mtu waliyemchagua kuwaongoza?
 
Back
Top Bottom