Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Hili ni Hakikisho la Kiusalama, kesho hali ni shwari kabisa, usalama umeimarishwa!, Umetolewa Mwito, Wananchi tujitokeze kwa wingi, kwenye Maonesho ya Saba Saba!. ============ Mheshimiwa...
6 Reactions
60 Replies
1K Views
Wakuu, nipende kuwatangazia kuwa siku ya tarehe 9 ya mwezi wa 9 (9/9), kutakuwa na maandamano makubwa Tanzania nzima. Maandamano haya yatakuwa yakushtukiza, yaani Kila mtanzania ataweka hii...
8 Reactions
62 Replies
897 Views
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema agenda ya sekta binafsi siyo tu agenda ya sekta binafsi pekee bali ni agenda muhimu na mtambuka ya taifa...
6 Reactions
38 Replies
456 Views
HONGERENI CHADEMA, MMEWAITA NA WAMEJAA KWENYE TARGET KWA MARA YA PILI Haina shaka yoyote tena kuwa tishio la kuifungia CHADEMA kwa kumtumia Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa Sisty Nyahoza na...
6 Reactions
8 Replies
310 Views
Kutokana na tishio la Maandamano Makubwa kufanyika Nchi nzima tarehe 7.7 ni wazi kabisa sasa kwamba Maonesho ya kimataifa ya biashara yanayofanyika kila mwaka na kufikia kilele chake July 7...
39 Reactions
94 Replies
3K Views
  • Featured
Januari 16, 2026 WASHINGTON, D.C. — Ikikabiliwa na uangalizi wa kimataifa kufuatia matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025 ulioharibu sifa yake, Serikali ya Rais Samia imezindua...
21 Reactions
115 Replies
6K Views
Wakuu, Katika ulimwengu wa siasa na diplomasia za kimataifa, taswira ni kila kitu. Lakini taswira hiyo inagharimu kiasi gani, na ni nani anayelipa ankara hiyo? Uchunguzi wa kina umebaini...
7 Reactions
13 Replies
385 Views
Wakuu umuofia kwenu! Nawasilimu kwa jina la Tanzania...... Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap" Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza...
2 Reactions
5 Replies
189 Views
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameihimiza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuacha kutegemea ukusanyaji wa mapato pekee na badala yake kukumbatia ubia kati ya...
3 Reactions
9 Replies
274 Views
Ameandika Dr. Godbless Charles Na: Godbless Charles Kwa Watanzania wengi, tarehe 7 Julai ni siku ya kumbukumbu ya kihistoria. Lakini kwa wachumi, wafanyabiashara na wawekezaji, tarehe hiyo ni...
1 Reactions
3 Replies
157 Views
Leo hii ilitangazwa kuwa itakuwa ni siku ya maandamano nchi mzima. Huyo admin wa hayo maandamano inaonekana anatumia akili nyingi sana huku akiiacha serikali ikiandaa ulizi wakidhania watakutana...
44 Reactions
107 Replies
2K Views
Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Licha ya hali ya hewa kua na mvua za hapa na pale maeneo mengine ya Dar Es Salaam, hali ya kiusalama ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kama kawaida, NYOMI LA SABASABA...
4 Reactions
58 Replies
886 Views
====================== Gwajima alimuonya Samia, ni rahisi sana kuiba kura kwa Bunduki Lakini ni ngumu sana kutawala nchi kwa kupitia uchaguzi wa kutumia Bunduki Aliwaambia CCM wazi pia kwamba...
1 Reactions
2 Replies
109 Views
Akili ndogo ya tafakari kama mwanazuoni wa siasa za kikanda au kiuchumi na kiulinzi na kiusalama inakupeleka kwenye hitimisho moja muhimu sana. Tanzania imekuwa "under attack" kwa muda mrefu sana...
8 Reactions
69 Replies
1K Views
Wamemtangaza..watamuapisha Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao... Lakini hadi hivi...
37 Reactions
134 Replies
6K Views
Moja ya sifa ya tishio la ugaidi ni kuzuia shughuli kuacha kufanyika. Iwe kwenda sokoni, kanisani, kwenye biashara ama kukusanyika kwa namna yeyote ile. Kinachotokea sasa kuhusu maandamano na...
4 Reactions
5 Replies
184 Views
Watoto wetu wanarudishwa majumbani kwa tarifa ya kupisha maandamano Kama ndivyo, serikali haioni ni wakati mwafaka kuwatangazia waandamaji kuwa ni ruksa na kwamba jeshi la polisi litayalinda...
25 Reactions
39 Replies
805 Views
In general wote tunajua palipo na vurugu au tishio la amani hata Hela huwa tunakosa sehemu ya kuzitumia lakini mtu anazungumzia mapato ya nchi huu ni ujinga kwakweli. Sasa hebu jiulizeni inamaana...
0 Reactions
11 Replies
189 Views
  • Redirect
Leo ndo nimeamini akili ndogo haiwezi kushinda akili kubwa. Maandamano yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Mauaji yameandamana yakiwa na mitutu ya bunduki kwa niaba yetu na kusimamisha uchumi.
3 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…