Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Katika ulimwengu wa siasa na diplomasia za kimataifa, taswira ni kila kitu. Lakini taswira hiyo inagharimu kiasi gani, na ni nani anayelipa ankara hiyo? Uchunguzi wa kina umebaini...
7 Reactions
13 Replies
385 Views
Wakuu umuofia kwenu! Nawasilimu kwa jina la Tanzania...... Leo Watanzania wameionyesha dunia kuwa sio "cheap" Watanzania huwa hawashirikiani na jambo wasilolijua mzizi wake, unaweza...
2 Reactions
5 Replies
189 Views
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameihimiza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuacha kutegemea ukusanyaji wa mapato pekee na badala yake kukumbatia ubia kati ya...
3 Reactions
9 Replies
274 Views
Ameandika Dr. Godbless Charles Na: Godbless Charles Kwa Watanzania wengi, tarehe 7 Julai ni siku ya kumbukumbu ya kihistoria. Lakini kwa wachumi, wafanyabiashara na wawekezaji, tarehe hiyo ni...
1 Reactions
3 Replies
157 Views
Leo hii ilitangazwa kuwa itakuwa ni siku ya maandamano nchi mzima. Huyo admin wa hayo maandamano inaonekana anatumia akili nyingi sana huku akiiacha serikali ikiandaa ulizi wakidhania watakutana...
44 Reactions
107 Replies
2K Views
Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Licha ya hali ya hewa kua na mvua za hapa na pale maeneo mengine ya Dar Es Salaam, hali ya kiusalama ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku kama kawaida, NYOMI LA SABASABA...
4 Reactions
58 Replies
886 Views
====================== Gwajima alimuonya Samia, ni rahisi sana kuiba kura kwa Bunduki Lakini ni ngumu sana kutawala nchi kwa kupitia uchaguzi wa kutumia Bunduki Aliwaambia CCM wazi pia kwamba...
1 Reactions
2 Replies
109 Views
Akili ndogo ya tafakari kama mwanazuoni wa siasa za kikanda au kiuchumi na kiulinzi na kiusalama inakupeleka kwenye hitimisho moja muhimu sana. Tanzania imekuwa "under attack" kwa muda mrefu sana...
8 Reactions
69 Replies
1K Views
Wamemtangaza..watamuapisha Watawalazimisha Watanzania kumpenda na kumuimbia tena...picha zake zitajazwa kila kona Atakapoapishwa atapangua jeshi la polisi na kuwalaumu wao... Lakini hadi hivi...
37 Reactions
134 Replies
6K Views
Moja ya sifa ya tishio la ugaidi ni kuzuia shughuli kuacha kufanyika. Iwe kwenda sokoni, kanisani, kwenye biashara ama kukusanyika kwa namna yeyote ile. Kinachotokea sasa kuhusu maandamano na...
4 Reactions
5 Replies
184 Views
Watoto wetu wanarudishwa majumbani kwa tarifa ya kupisha maandamano Kama ndivyo, serikali haioni ni wakati mwafaka kuwatangazia waandamaji kuwa ni ruksa na kwamba jeshi la polisi litayalinda...
25 Reactions
39 Replies
805 Views
In general wote tunajua palipo na vurugu au tishio la amani hata Hela huwa tunakosa sehemu ya kuzitumia lakini mtu anazungumzia mapato ya nchi huu ni ujinga kwakweli. Sasa hebu jiulizeni inamaana...
0 Reactions
11 Replies
189 Views
  • Redirect
Leo ndo nimeamini akili ndogo haiwezi kushinda akili kubwa. Maandamano yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana. Mauaji yameandamana yakiwa na mitutu ya bunduki kwa niaba yetu na kusimamisha uchumi.
3 Reactions
Replies
Views
Wafuasi wa Chadema wanahitaji tiba akili, otherwise tutakuwa na watu wenye upungufu wa afya ya akili wengi sana nchini na Africa mashariki. Imagine from nowhere mtu anaanza kutukana watu na...
6 Reactions
37 Replies
383 Views
Kuna mambo yanaendelea ni ya kushangaza, Sasa ona Leo hata kazi za ujenzi wa taifa na uchumi wa individuals hazijafanyika kisa Waandamanaji wamealikana wao wenyewe lakini walioandamana na kwa...
2 Reactions
5 Replies
152 Views
Ziara hizi zimeratibiwa kiufundi kwa lengo la kisiasa ama imetokea kwa nasibu tu?
8 Reactions
32 Replies
869 Views
Ingekuwa vyema baadhi ya masheikh hasa wa BAKWATA wajitokeze hadharani kukemea, kulaani na kujitenga na jambo analofanya sheikh Mwaipopo la kukusanya makundi ya kupambana na kufanya mapigano.
8 Reactions
34 Replies
631 Views
Sabasaba ni alama ya biashara, uwekezaji na maendeleo. Ili ifikie malengo hayo kikamilifu, kunahitajika mazingira yenye utulivu, yanayojengwa juu ya utawala wa sheria, mazungumzo ya wazi, na imani...
3 Reactions
4 Replies
149 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…