Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Unadhani kwanini baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani nchini Tanzania vimeaamua kuacha kupambana kutafuta kuungwa mkono na wananchi kwa kutumia itikadi za vyama vyao, sera na agenda za kuvutia...
4 Reactions
29 Replies
232 Views
Mimi ni Amos Ngosha, ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vyombo vya Habari vya Utangazaji Tanzania. Huu ni umoja wa vyombo vya habari vyenyewe, sio wamiliki wa vyombo vya habari. Kwanza tunasema kuna ule...
2 Reactions
6 Replies
226 Views
Habari wana JF Kama kichwa kinafyojieleza hapo juu. Hii mikataba mbalimbali ya kimataifa ambayo serikali husaini kwa ajili ya ushirikiano wa kimataifa na upatikanaji wa fedha za maendeleo kwa...
2 Reactions
10 Replies
52 Views
Happy Sunday guys ❤️ Humu jukwaani kuna ile standard Ukiingia jukwaa fulani, unajua utakutana na nini Ukiingia jukwaa kama hili la siasa unajua kabisa utakutana na quality fulani Hata kama huyu...
16 Reactions
131 Replies
1K Views
"Mimi pia maneno yale, nilikuwa wakili wa kwanza kufanya kesi ya ugaidi mahakamani kuwatetea watu, mashehe wa Arusha, waliokaa gerezani kwa miaka tisa. Halafu baadaye mahakama ikathibitisha...
0 Reactions
1 Replies
59 Views
Ripoti hii si uchunguzi wa kweli; ni jaribio la kisiasa la kuficha nyayo za utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uchaguzi wa Oktoba 2025 ambao, kwa mujibu wa taarifa hii, ulikuwa wa...
0 Reactions
3 Replies
73 Views
https://youtu.be/Ic6aeqb4dQ4?si=wMGbIlaoqB7qvBm8 Hii ni very exclusive and the best ever interview kati ya mtangazaji mwanadada huyu wa NijuzeNews TV na Wakili Msomi Peter Madeleka juu ya mambo...
0 Reactions
3 Replies
65 Views
Wazee wa Geti Jeusi hebu tupia kitu cha kutuchangamsha Mjini. Hizi mbanga za Simba na YANGA Sasa hivi Hazishitui tena...leteni vitu vipya tuchangamke Mjini
0 Reactions
8 Replies
144 Views
Mahojiano ya Wakili Peter Madeleka, yaliyorushwa na SAUT Digital Agosti 9, 2026 eo: Madeleka: Kitakachokwenda kupatikana kwenye tume hii ni ripoti. Ripoti ambayo ni mali ya Rais. Mali ya Rais...
1 Reactions
0 Replies
48 Views
Wakili Peter Madeleka, amewashutumu baadhi ya wasaidizi na watu waliopo pembeni mwa Rais kwa kumhujumu kiongozi huyo wa nchi na kuingiza taifa kwenye hatari. Soma: Heche: Tutawaandikia barua FIFA...
1 Reactions
3 Replies
126 Views
Matumizi ya ukatili wa kingono, udhalilishaji, na ukatili wa kisiasa dhidi ya wakosoaji, wanaharakati, na wanasiasa ni suala zito sana katika misingi ya maadili ya kibinadamu na taifa, utu na haki...
11 Reactions
26 Replies
627 Views
Angalia hapa halafu Toa Maoni yako Soma Azim Dewji: Siamini serikali inaweza kuwa na sababu ya kumpoteza mtu; anaweza kufungwa au kutafutiwa kesi ili kumuondoa kwenye reli
8 Reactions
22 Replies
533 Views
Mange kitambi amesema kuna mpango wa kugawa Chadema. Mpango huo utahusisha Freeman Mbowe na Viongozi wengine wakubwa wa Chadema. Pesa za opesheni hiyo itapita kwenye Bank M ambayo itatumika...
16 Reactions
73 Replies
1K Views
Mwandishi:"Na unahisi hawa wanaosema ugaidi, wanasema kuwa bahati mbaya..." Peter Madeleka:"Wanamhujumu Rais. Wanamhujumu Rais tuliyonaye huyu. Anajitahidi sana lakini kundi la watu waliopo...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Kama haukubaliani na mimi tueleze kwanini viongozi hawa wanaiba kura?
7 Reactions
17 Replies
241 Views
TAARIFA KWA UMMA YA NDG. LUHAGA JOELSON MPINA KUHUSU UCHAMBUZI WA RIPOTI YA JUMUIYA YA MADOLA KWENYE KIKAO CHA 73 CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE NA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA (CMAG)...
11 Reactions
8 Replies
220 Views
Miongoni mwa habari zilizozua gumzo hivi karibuni ni Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutumia Sh611.92 milioni kutunza vyura wa Kihansi huko Marekani, gazeti hili limefan-ya uchambuzi...
7 Reactions
54 Replies
5K Views
..kuliita genge hili " wasiojulikana, " badala ya magaidi, sio kumung'unya maneno ndugu zangu? ..matendo yao ya kuteka, kutesa, kujeruhi, na kuuwa, yana tofauti gani na matendo ya magaidi wa...
19 Reactions
43 Replies
450 Views
Back
Top Bottom