Sijui ni nani msimamizi wa jambo hili linaloitwa press conference nchini .
Kwa maoni yangu ni kwamba kila mwenye fedha anaitisha press conference na hakuna wa kumbabaisha.
Tabia hii itakomeshwa lini?
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Waryoba Butiku, amesema kuwa mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mtu ni mahakama. Aliongeza kwamba, “Leo mtu anaingia kwenye...
Natambua kwamba ulipokea wito wa kuhojiwa na kinachoitwa Tume ya Jaji Othman Chande kuhusu Mauaji ya Oktoba 29 na kuendelea, ulipangiwa kuhojiwa tarehe 22 January hii
Soma pia Askofu Mwamakula...
Kile kitendo cha kueleza kuwa alikuwa anafanya mawasiliano ya kila mara na Humphrey ni circumstantial evidence kuwa huyu mzee anajuwa wapi alipopelekwa Polepole.
Kama walijadili juu ya Polepole...
Hakika DW wanastahili tuzo.
Na wafanyakazi wake wanaitendea vizuri fani ya uandishi wa habari.
Hii ni jana/ juzi tarehe 18 Januari.
https://youtu.be/1evPobXaZXM?si=Q9nzoGZEYBlbvqwG
Safi sana...
Daaah, baada ya kuwasikiliza watu wawili kutoka Arusha na Dsm nimeamini mliwazika shimo Moja kama Taka taka aise shame on you!
Najiuliza hivi Rais awa wanao jitokeza kwa tume umasikia? Je kweli...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhili Maganya, amesema mafunzo yanayotolewa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni suluhu muhimu katika...
Mzee wasira alikua na mdomo aswaaa, kwenye kampeini alikuwa anaongea Kwa dharau, kebehi na majivuno.
Mungu si Abdul Wala Mchengerwa kwenye MO29, vijana walipiga kiberiti nyumba ya Wasirra.
Hii...
Hamjambo!
1. Kuna nyumba hapa mwaka mpya na Christmas hawakusherehekea.
2. Hawakupika chakula cha maana.
3. Lakini Kila wakisikia taarifa msiba ya kiongozi wa kiserikali wanafanya tafrija...
Vyombo vyetu vya habari vimekaa kimya. Japo Mimi sio CCM ila Mwambe ni Hazina ya taifa. Ni mwanasiasa anayejali watu wa vyama vyote. Mtanzania halisi asiye na unafiki
Kwa mara ya kwanza nilionana...
GT
Hawa CCM na Samia wao bado hatujamalizana nao pitia hii report kwa makini.
Kiufupi ni kwamba yale ya M029 dunia inajua kila kitu technology is power.
Hii Document ni ripoti ya shirika la...
ASKOFU MWAMAKULA APATA WITO KUFIKA MBELE YA TUME YA RAIS!
Ndugu Watanzania!
Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Siku ya...
Yawezekana usinielewe wewe UNAE soma hapa, lakini nahisi Lile kundi alilolitema ndo lingemsaidia KUMSAFISHA na kusafisha anga la tarehe 29.10 kinyume chake Hali ni mbaya mbaya mbaya na Nina hakika...
Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi...
Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi...
Ni usiku wa SAA kumi, Sina hakika kama Rais umelala usingizi WA pono, Sina hakika waziri mkuu kama umesinzia usingizi WA pono, MAKAMU je nawe umeupiga usingizi?
Mkuu wa MAJESHI wewe ni jirani...
Ujumbe wa wataalam kutoka TANROADS Makao Makuu kupitia Kitengo cha Ushauri wa Kihandisi (TECU), kwa kushirikiana na TANROADS Mkoa wa Mbeya, umefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la Sungwe...
Fatma Karume alisimamishwa kufanya kazi za uwakili kwa upande wa Tanzania bara tangu mwaka 2019 akipinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG) Dkt Adelarus Kilangi aliyeteuliwa na rais John...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.