Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo... Hebu tujadili kuhusu...
4 Reactions
2 Replies
71 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
3 Reactions
31 Replies
414 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye. "Kabla...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors. Baadhi ya Sababu...
1 Reactions
0 Replies
62 Views
Mbunge huyu wa upinzani Time Kadrijaj alimrushia mayai Waziri Mkuu wa muda wa Kosovo Albin Kurti wakati wa kikao cha bunge siku ya Jumamosi. Waziri Mkuu Albin Kurti aliomba muda zaidi wa kufanya...
1 Reactions
4 Replies
101 Views
Mtangazaji (Rausath Sued):"Tumeona Rais amezindua tume ikachunguze wale waliohusika na yale matukio yaliyotokea tarehe 29. Kwa unavyona, hii tume iliyoundwa na Rais ni tume ya kijaji kama...
2 Reactions
1 Replies
85 Views
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu. 1. Moshi Huu mji ulianza...
3 Reactions
14 Replies
446 Views
Utekaji unaweza fanyika katika nyanja mbili, Moja igizo { Drama } au utekaji halisi Tanzania tumeshindwa Kutofautisha tukio halisi naa Igizo { Drama } hatujui kabisa maana ya Utekaji { Kidnaping...
9 Reactions
59 Replies
6K Views
Mgombea wa ChademaTz anapewa fomu na msimamizi msaidizi wa uchaguzi, Bi. Diana Kabondo, ambayo imejazwa kuwa hajateuliwa kugombea nafasi ya ujumbe wa mtaa, Mji wa Bariadi, kabla hata siku ya...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha_ya_mikoa_ya_Tanzania_kwa_Pato_la_Taifa
2 Reactions
25 Replies
366 Views
The minister is materially wrong to put the case of the soldiers who were killed by the assailants and Azory Gwanda who was kidnapped treacherously by the people who presented themselves so...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama kawaida yet u watanzania kila baada ya miaka 5 ufanyika uchaguzi mkuu wa Urais,Ubunge na Udiwani, Mwaka 2015 umefanyika uchaguzi uliomuacha Magufuli kileleni kwa kura 8,000,000 za...
2 Reactions
102 Replies
8K Views
Nilijiuliza sana Hivi zile clip za maongezi ya Lissu na Baadhi ya watendaji wa Accacia alizipata wapi? Nikapotezea Nikajuliza Clip za Anna Kilango kazipata wapi? Juzi nikasikia kwamba ana voice za...
36 Reactions
190 Replies
24K Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa Kaiza Buberwa amebainisha kuwa nchi inaendelea kukabiliwa na changamoto za kisiasa kwa sababu watawala wamekuwa wakiahirisha matatizo badala ya kuyapatia ufumbuzi wa...
2 Reactions
3 Replies
110 Views
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao, 1.Magufuli - CCM 2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo 3.CHAUMA- Hasim Rungwe 4.CUF - Ibrahim Lipumba 5.Dovutwa 6.Chief Lotalosa yembe Sina budi kumpa kura yangu...
7 Reactions
106 Replies
10K Views
Kupitia mambo mengi yanayoendelea nchini kwetu, mengi yanazungumzwa tena Kwa Ushabiki, Ninawaza kwamba hivi kwanini tusiwe na Azimio la Chato ambalo litazungumza haya 1.Mtanzania huruhusiwi...
10 Reactions
32 Replies
3K Views
Hii inaanzia Kwa mkubwa alafu Kwa kina Jerry Muro, Makonda, na Happi wa Iringa Kufoka foka sio kipimo cha Utendaji bora....Na wala sio kila anayefokewa atawajibika kwa ufasaha kutekeleza...
10 Reactions
22 Replies
3K Views
MABADILIKO YA THAMAN YA SHILINGI KULINGANISHA NA DOLLA (1966-1972) 1 USD = 5 TZS, (1973-1975) 1 USD =7 TZS, 1976,,1 USD=12 TZS 1977, 1 USD =12 TZS (1978-82)-1USD-20TZS 1983- 1USD:22 TZS 1984-1...
23 Reactions
151 Replies
27K Views
“KAFITI HATOSHI ILEMELA?”KAULI YA RC MWANZA KWA KAFITI “KUKALIA KITI NUNUSU”. Siku chache zilizopita Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, alitoa kauli yenye mashaka na utata ndani yake kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Nafikiri nitaeleweka kirahisi. Tujadili kuhusu; Commission of Inquiry into the Post-Election Violence (CIPEV), chini ya Jaji Philip Waki, Waki Commission (Tume ya Waki) iliundwa kwa tangazo la...
3 Reactions
1 Replies
50 Views
Back
Top Bottom