♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo...
Hebu tujadili kuhusu...
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye.
"Kabla...
Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors.
Baadhi ya Sababu...
Mbunge huyu wa upinzani Time Kadrijaj alimrushia mayai Waziri Mkuu wa muda wa Kosovo Albin Kurti wakati wa kikao cha bunge siku ya Jumamosi.
Waziri Mkuu Albin Kurti aliomba muda zaidi wa kufanya...
Mtangazaji (Rausath Sued):"Tumeona Rais amezindua tume ikachunguze wale waliohusika na yale matukio yaliyotokea tarehe 29. Kwa unavyona, hii tume iliyoundwa na Rais ni tume ya kijaji kama...
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu.
1. Moshi
Huu mji ulianza...
Utekaji unaweza fanyika katika nyanja mbili, Moja igizo { Drama } au utekaji halisi
Tanzania tumeshindwa Kutofautisha tukio halisi naa Igizo { Drama } hatujui kabisa maana ya Utekaji { Kidnaping...
Mgombea wa ChademaTz anapewa fomu na msimamizi msaidizi wa uchaguzi, Bi. Diana Kabondo, ambayo imejazwa kuwa hajateuliwa kugombea nafasi ya ujumbe wa mtaa, Mji wa Bariadi, kabla hata siku ya...
The minister is materially wrong to put the case of the soldiers who were killed by the assailants and Azory Gwanda who was kidnapped treacherously by the people who presented themselves so...
Kama kawaida yet u watanzania kila baada ya miaka 5 ufanyika uchaguzi mkuu wa Urais,Ubunge na Udiwani,
Mwaka 2015 umefanyika uchaguzi uliomuacha Magufuli kileleni kwa kura 8,000,000 za...
Nilijiuliza sana
Hivi zile clip za maongezi ya Lissu na Baadhi ya watendaji wa Accacia alizipata wapi?
Nikapotezea
Nikajuliza Clip za Anna Kilango kazipata wapi?
Juzi nikasikia kwamba ana voice za...
Mchambuzi wa masuala ya siasa Kaiza Buberwa amebainisha kuwa nchi inaendelea kukabiliwa na changamoto za kisiasa kwa sababu watawala wamekuwa wakiahirisha matatizo badala ya kuyapatia ufumbuzi wa...
Kupitia mambo mengi yanayoendelea nchini kwetu, mengi yanazungumzwa tena Kwa Ushabiki,
Ninawaza kwamba hivi kwanini tusiwe na Azimio la Chato ambalo litazungumza haya
1.Mtanzania huruhusiwi...
Hii inaanzia Kwa mkubwa alafu Kwa kina Jerry Muro, Makonda, na Happi wa Iringa
Kufoka foka sio kipimo cha Utendaji bora....Na wala sio kila anayefokewa atawajibika kwa ufasaha kutekeleza...
“KAFITI HATOSHI ILEMELA?”KAULI YA RC MWANZA KWA KAFITI “KUKALIA KITI NUNUSU”.
Siku chache zilizopita Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, alitoa kauli yenye mashaka na utata ndani yake kuhusu...
Nafikiri nitaeleweka kirahisi.
Tujadili kuhusu; Commission of Inquiry into the Post-Election Violence (CIPEV), chini ya Jaji Philip Waki,
Waki Commission (Tume ya Waki) iliundwa kwa tangazo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.