Haya mambo huenda taratibu sana lakini madhara ni makubwa
Jumuia ya madola ilimtuma Chakwera viongozi wetu wakampiga siasa wakajua wamemtuliza kumbe aliandika hati chafu leo hii tunaona tamko...
Serikali imekuwa ikitangaza fursa nyingi za kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi. Hata hivyo, kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya vijana kwamba mchakato wa kupata fursa hizo si wa wazi na...
Mmoja ya Viongozi toka Jumuiya ya Amani Nchini Sheikh Alhad Mussa Salum amewataka wale wanaojaribu kumchafua mmoja ya Wafanyabiashara wakubwa Tanzania Nilesh Suchak kuacha mara moja.
Soma...
Makonda ni mtoto pendwa maybe kuliko wote ukiondoa Wanu.
Sasa Mtaka si akubali yaishe, atapona Ukuu wake wa mkoa?
Pia soma: Ni kweli Makonda Ndo ameamua kuchagua rais wa kamati ya Olympic Tanzania?
UTANGULIZI: Kutoka Kwenye Matumaini Makubwa Hadi Kwenye Ukweli Mchungu
Ili kuuelewa vizuri uongozi wa Hayati Rais John Pombe Magufuli, ni lazima turudi nyuma kwenye miezi yake ya kwanza kabisa...
Binafsi huwa nikimsikiliza naishia kusikitika, sidhani kama ana akili timamu.
Ni kweli kwenye kusaka tonge waweza kufanya lolote, Maana ccm inapenda sana kuwatumia Wajinga, Lakini sidhani kama...
Guys Guys Guys
Kufa kwa Nyani miti yote huteleza huku ynapigwa nyundo za ecowas hujakaa vizuri unazomewa na watanzania ŵaliokuchagua kwa 98%.
Lakini tukumbuke back then tukio kama hilihili...
Tanzania iko mbioni kupokea mkopo wa takriban shilingi trilioni 1.165 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), baada ya Bodi ya Wakurugenzi ya shirika hilo kukamilisha tathmini ya mwisho ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KMICC) kati ya Kituo...
Nakumbuka mwaka Jana baada ya uchaguzi wa CHADEMA, kundi la G55 lililohamia chaumma lilidai limehama kwa sababu ya CHADEMA kutokushiriki kwenye uchaguzi mkuu kupitia kauli mbiu ya no reform no...
Sikiliza shule ya haki with regard to our Judges.
Huwezi kutenda haki kama uliteuliwa na Rais kuwa Jaji.
Majaij duniani kote wanaomba kazi ya Ujaji kwa kupitia well regulated strict interview...
My Take
Tutaelewana tuu, tena Bora CCM huko CHADEMA kumejaa watu ambao wanawaona kina Heche na Lisu ni miungu watu ambao Kila wanachoambiwa wao ni ndio Mzee
Ni hivi zile zama za zidumi fikra...
Hiki kizazi cha milenials + genz lazima CCM itoke itake isitake.
Milenials ndiyo kizazi kilichotaka sana mabadiliko sema vitoto vya Nyerere ndiyo vilikuwa kikwazo hivyo milenials wakajikuta wako...
Wakati wa CCM umepita. Chama hiki kwa sasa ni kama simba mzee aliyechoka, anayepigania siku zake za mwisho.
CCM sasa haina rafiki wa dhati, wote waliopo ni wanafiki na wanasubiri kwa mbali kuona...
Mwandishi wa habari Khalifa Said amesema mali ambazo CCM imekuwa ikizitaja kuwa ni mali zake zinapaswa kuangaliwa upya, akidai nyingi zilipatikana kwa fedha za umma zilizotokana na kodi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.