Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Iran, nchi ambayo kabla ya mapinduzi ya Kiislam, ilikuwa ndiyo nchi pekee yenye uchumi mzuri uliokuwa unakua kwa kasi Mashariki ya kati, leo wananchi wake, chini ya utawala shetani wa Ayatollah...
10 Reactions
99 Replies
2K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya kufungulia mwaka kwenye gazeti la Leo la Mwananchi...
4 Reactions
41 Replies
688 Views
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura. Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate? Je...
11 Reactions
69 Replies
796 Views
Mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama amewaasa wanatanzania kuwapuuza watu wanaochafua viongozi na watoto wa viongozi kwani wamenunuliwa kwa kupewa pesa nyingi ili tu kufanya hivyo kwa leo la...
3 Reactions
17 Replies
641 Views
Wakuu! Alex Msama ameshangaa Viongozi wa Dini kufanya Siasa Makanisani akidai kuwa si rahisi kutumikia mabwana wawili na ukimtukana Rais Samia, unamtukana Mungu maana ndiye kampa Mamlaka.
3 Reactions
84 Replies
4K Views
Kwa haya matukio yake na maneno yake mabaya, hafai kabisa kuwa sehemu kama hii, naona hata mwaka 2024 ni kama walimpa tu! =================== Samia hakuwemo kwenye orodha ya Forbes Rais wa...
1 Reactions
8 Replies
359 Views
https://www.youtube.com/live/EJPutwDEwWI?si=34CGu0w1t3vdHky0 Leo taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation ilikusanya wazee na kujadili mauaji ya zaidi Watanganyika 10,000 yaliyofanywa na serikali ya...
0 Reactions
4 Replies
199 Views
I'm asking myself if this face is a human being or something fabricated in the workshop.
2 Reactions
6 Replies
147 Views
https://youtu.be/GyaJZGMF0a4
0 Reactions
0 Replies
76 Views
"Chama hiki ni chama cha watanzania wote, hiki ndo chama pekee kisicho na ubaguzi, hiki ndo chama pekee kinachojali vyama vyote, hiki ndo chama pekee kinachojali utu wa watanzania, chama cha...
2 Reactions
14 Replies
176 Views
Kiongozi anatakiwa kuwa Chaguo la Mungu, Wengine wanapata uongozi kwa Dhuruma, Rushwa, wewe uliyeingia kwa njia hizo sio chaguo la Mungu, na Mungu anakukataa kama alivyomkataa sauli. Padre Denis...
8 Reactions
11 Replies
220 Views
Kwa sababu mpaka sasa Tundu Lissu sio mfungwa bali wanaomshikilia inaonekana wameamua kumfanya mahabusu wa kudumu ndani ya magereza itakuwa vizuri wampeleke akamzike Edwin Mtei mwanzilishi wa...
1 Reactions
3 Replies
128 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watanzania wenzetu kwa kuungana na maadui zetu kwa chuki zao binafsi walidhamiria na kupanga kuliangamiza na kuliteketeza kabisa Taifa letu. Walidhamiria...
3 Reactions
39 Replies
883 Views
Wakuu, Ziko taarifa kuwa ziara ya Kihongosi inayoendelea inaacha maumivu makubwa kwa wananchi na wafanyabishara ambapo kwa upande wa Wakurugenzi wanalazimishwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya...
8 Reactions
16 Replies
373 Views
Hii nchi inanuka uonevu kila mahali, sasa kosa la huyu ninini.....Samia suluhu utalipa kwa haya unayowafanyia watanzani....Jeshi la polisi la TZ ni jeshi la hovyo kuwahi kutokea duniani... George...
45 Reactions
168 Replies
4K Views
Tuna mambo mengi na muda mchache au mfupi wa kuyasikiliza. Mzee Butiku kamaliza kusema. Kapingwa na kupuuzwa. Lakini tujiulize: Saa mbovu ikisema muda sahihi tutaitii na kuamka au tutapuuza? Mzee...
10 Reactions
13 Replies
379 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza dhamira yake ya kujenga chuo cha kumbukumbu kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa chama hicho, Mzee Edwin Mtei. Kwa mujibu wa chama hicho, chuo...
7 Reactions
23 Replies
366 Views
Kwa muda mrefu Mzee Butiku alikuwa anaheshimika ndani ya CCM na vijana kwa ujumla. Ndani ya CCM aliheshimika kama mmoja wa waasisi na mlezi wa vijana. Pia viongozi wa CCM walikuwa wakienda kwake...
10 Reactions
19 Replies
348 Views
Mbele ya mwili wa Jenista Mhagama na kabla hajazikwa kiongozi mkubwa katika moja ya mihimili alinukuliwa akisema Victor Mhagama, mtoto wa Jenista arithi Ubunge wa Jimbo la Peramiho. Hii ilikuwa...
3 Reactions
9 Replies
251 Views
Mzee Butiku anaongea muda huu na wazee jijini Dar es salaam. Aidha alizungumza kuhusu hali ya kisiasa nchini, akigusia masuala ya demokrasia na nafasi ya vyama vya siasa. • Alitaja hoja kuhusu...
3 Reactions
13 Replies
481 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…