Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimejaribu kuwaza maana maisha wanayoishi raia siyo poa kabisa. Ukiwa mjini utaona mambo yako sawa kiasi nenda vijijini mzee, aseeee Ni mwendo wa kubeba bendera za Britain na chanting za "Long...
4 Reactions
20 Replies
188 Views
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA UJUMBE MAALUM WA DRC Waziri Kombo afanya Mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
1 Reactions
3 Replies
94 Views
..Jaji Chande amesema Oct 29 kuna watoto waliuwawa. ..kwa muktadha huo naomba tutafakari kauli za Mwenyekiti, na Katibu Mkuu, wa Ccm. .Je, nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi? ..Je, vyombo...
3 Reactions
12 Replies
186 Views
Habari za mtu wa ndani kabisa wa vyombo vya usalama amenambia kwamba wakeshapewa maelekezo kufunga account za chadema wakitimiza 200M+ Na imepenyezwa propaganda kuwa zifungwe zote za benk na...
44 Reactions
102 Replies
3K Views
Je nani ni mzalendo wa kweli kati ya yule anayetangaza nchi yake na anayemtangaza mkuu wa nchi yake? MY TAKE Ukila na kipofu usimguse Mkono. Haya ndi mambo Samia anataka ndo anaita Uzalendo...
13 Reactions
21 Replies
525 Views
Je huu mradi bado UPO na kama UPO umefikia wapi BBT
6 Reactions
41 Replies
1K Views
TANU haikuchangiwa kama inavyochangiwa Chadema hii ya Leo. Chadema ya leo imepata vizingiti vya kila aina. Kuwekwa ndani, kubambikiwa kesi za uhaini na kupowa mali zao. Tanu ilichangiwa na...
6 Reactions
12 Replies
434 Views
Mtandao wa Taasisi za Kiraia nchini (AZAKI) umeitaka Serikali kuacha mbinu za "ujanja ujanja" katika kushughulikia mkwamo wa kisiasa na badala yake utekeleze mapendekezo matano yaliyotolewa na...
2 Reactions
2 Replies
120 Views
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba. Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo...
2 Reactions
9 Replies
224 Views
Huyu Jamaa Sasa ndio kajionyesha yeye ni Mtu wa Aina gan. Tulidhani labda ni Matumizi tu mabaya ya Nafasi ya Baba yake... Huyu Mtu ana uchu wa Madaraka, Mtu aliyetayari kufanya lolote ili mradi...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Sote ni mashahidi, kwamba katibu mkuu wa chadema, hata kwa kumtazama tu kwa macho, achilia mbali kumskiliza, ni wazi kabisa anaweza kua ni kichochea cha ufisadi unaoendelea chadema na matumizi...
4 Reactions
77 Replies
819 Views
Bila uoga, kutetereka wala kumuogopa mtu yeyote, mwanahabari na mwanasheria nguli, Mzee Pascal Mayalla ameeleza kinagaubaga bila kuacha shaka jinsi Ben Saanane na Azory Gwanda walivyotekwa na...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Ukiangalia kwa makini sana hii barabara ya Morogoro - Dodoma, hasa eneo ambalo daraja limeng'olewa ni lazima upigwe na bumbuwazi! Hakuna hata mawe wala kingo za maana, ujazo wa lami uliowekwa...
27 Reactions
99 Replies
10K Views
Nataka imfikie mh Raisi, wa Tanzania najua ikulu inayo wahaya, wamtafsillie ILA kwa ufupi Prof Tibaijuka Hana Deni.
3 Reactions
11 Replies
249 Views
Nimepotea kabisa. Msikilize 1. Kuwekwa na Mungu 2. Kujiweka Which is which?
8 Reactions
19 Replies
623 Views
Huwa tunapenda sana kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Hata hivyo majibu ya namna hiyo hayatibu ugonjwa. Mtaji wa kwanza wa chama cha siasa ni wanachama waaminifu ambao wapo tayari...
2 Reactions
66 Replies
963 Views
Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE. unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji. Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua...
5 Reactions
5 Replies
112 Views
Wanabodi Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani ambalo naliendesha kwa hoja za maswali Kwanza hebu msikilizeni nabii huyu...
16 Reactions
50 Replies
3K Views
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo. Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi...
16 Reactions
187 Replies
24K Views
Huu uzi ukiusikiliza kama wewe ni mpenda haki lazima utavimbiwa na mihasira. Nawaomba tumsikikize Tena wandugu maana wimbo mzuri daima hauchuji.
3 Reactions
10 Replies
247 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…