𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗭𝗜𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗞𝗔𝗭𝗜
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi.
Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu anatarajiwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ataongoza zoezi maalum la upandaji miti litakalofanyika tarehe 27 Januari, 2026, maeneo ya Bungi Kilimo na Kizimkazi...
Huu ni Msiba wa familia ya Mtei, Ambayo ipo n.a. inawajibika na Msiba wa Baba yao.
Ni kweli kwamba Freeman Mbowe ameoa mtoto wa Mzee Mtei, n.a. ni kweli Mwamba yuko kwenye Msiba n.a. anashiriki...
Victor Mhagama amepitishwa na chama chake (ccm) kugombea Ubunge Jimbo la Peramiho Mkoani Ruvuma.
Ni baada ya kifo cha Mama yake mzazi ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo hilo la Peramiho kufariki...
Serikali ni kama imetoa greenlight kwa wafanyabiashara kupandisha bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia wiki ijayo. Hata maduka kwa sasa order yoyote hawatoi, wanakuam subiri bei mpya kuanzia Jumatatu...
Wakuu
Je, wingi wa wanawake katika mikutano ya CCM unaakisi nguvu ya mtandao wa uhamasishaji kupitia jumuiya na vikundi vya kijamii, mvuto wa ajenda zinazogusa maisha ya kila siku kama huduma za...
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.
Inaonekana mara kadhaa Rais wa...
Najiuliza Lile kusanyiko la watu walio kwenda kwa balozi wa Vaticani kwenda kumshitaki faza Kitima na Askofu Rwaichi lilikuwa halali?
Pale waliopo kufanyika ni karibu kabisa na MAKAO MAKUU ya...
Huyu tapeli ana rekodi mbaya kwenye utapeli wa ardhi na madawa ya kulevya. Nawasihi BASATA au Tume ya uchaguzi (NEC) msimruhusu kamwe ajihusishe na uchaguzi mkuu wa 2025.
--
TAMASHA la kuombea...
Yanahitaji maandamano makubwa ya kudai miili ya wapendwa wetu.
Ukisikiliza watu wanaofika mbele ya tume kutoa ushahidi wa jinsi wapendwa wao walivyouawa na miili yao kupotezwa kwa kweli...
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ndugu Salum Mwalim ataongoza ujumbe wa viongozi na wanachama wa Chama hicho kwenda katika maziko ya Hayati Edwin Mtei yatakayofanyika...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,
UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA...
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti...
Bongo zozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wamepolwa uraia wa Tanzania na serikali.
Aidha maneno yake ya "madini niliyoiba" yamezua...
Yale mauaji ya October 29 yaliyo ongozwa na Polisi wetu kuanzia aliesababisha mpaka alieshiriki kuua hapaswi kua Ofisini sasa hivi.Aliekua anampa report Rais kua wale ni raia kutoka nchi jirani...
Jina la Alex Mwita Msama halihitaji utambulisho wa makelele mengi.
Alex Msama ameweka alama na nembo isiyofutika katika jamii ya Watanzania. Ameibua , kukuza na kuendeleza vipaji vya wengi...
𝗝𝗘, 𝗦𝗘𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗨𝗖𝗛𝗨𝗠𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗭𝗜𝗠𝗘𝗟𝗘𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗘𝗨𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗨𝗖𝗛𝗨𝗠𝗜?
Tangu kupata uhuru, sera za uchumi za Tanzania zimepitia mabadiliko makubwa—kutoka mfumo wa ujamaa wa 𝗨𝗷𝗮𝗺𝗮𝗮, hadi uliberali wa soko...
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Januari 19, 2026, imekutana na Wananchi wa Wilaya ya Temeke kwa lengo la...
Nilipoona mtandaoni tu yakuwa siku yako ya KUZALIWA utaisherekea kwa kupanda miti, hapo hapo nikaanza mazoezi ya kunywa maji nikojolee miti yako istawi vyema.
Unasherekea miaka ya kuishi ili hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.